Watu wamehamia kwenye udini. Mimi ninaona dini ni urithi tu. Ni urithi kwa sababu ni ngumu kumbadili mtu na dini aliyozaliwa nayo. Wengi wanatetea dini walizorithi au kuzaliwa nazo. Muhimu ni kuwa BWANA yupo juu ya dini zote! Na hivyo ni muhimu kuheshimu imani za watu! Wanaokejeli dini nyingine hawana tofauti na Nicki Minaj !!!