Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,603
- 52,312
Ha ha ha, mi niliondoka walivyoanza kuchangisha michango ya kwaya.
tupo kanisa moja nini
naona kama kastory kana ukweli.
Ha ha ha, mi niliondoka walivyoanza kuchangisha michango ya kwaya.
Najitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.
tukafanye nini kanisani?Nalog offwaislamu mnaenda kanisani siku hizi?
Najitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.