Mponde Maxence mello, na PAWNajitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.
Ni wimbo lakini wewe unatakiwa uandike jinsi alivyopanda,je alianguka/ aliiendesha/Aligonga/ aligongwa au alifika salama huko alikokwenda? Nalog offHiyo ni story au wimbo mkuu? Nalog off
Nilikuwepo ila nilikuwa nakwepesha macho yangu yasigongane nako!mwee, vp mbona sikukuona kanisani.
Nashukuru,kwa vile kanisani huwa unakuwa mtulivu,Ha ha ha, mi niliondoka walivyoanza kuchangisha michango ya kwaya.
Najitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.
tehe tehe, si unajua tena kanisani wamenipandisha cheo wiki mbili zilizopita kwahiyo inabidi niwe mfano wa kuigwa
Huyo Feisi mbona ni kidume au na wewe unakubaliana na maoni ya Cameron.