Nyamuleha jr
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 185
- 65
nambie technologia gani umeshindwa kuielewa kwa ufahamu wako wa binaadamu wa kawaida au inakushangazaa
kwa mfano mimi zamani nilikuwa nashangaa kanda ile na uzi wake unazunguka alafu muziki unaimba ndani yake, pia simu ya kuchaji wireless duu niambie na wewe?
kwa mfano mimi zamani nilikuwa nashangaa kanda ile na uzi wake unazunguka alafu muziki unaimba ndani yake, pia simu ya kuchaji wireless duu niambie na wewe?