Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 562
Mkuu kwa heshima na taathima tupe progress tukuunge mkono
Mie Mkweche mmeniacha na Vingeleza vyenu!Au mwataka tujue mupo kwa O-bama!Pamoja na yote Bwana Kichuguu Msamehe Bure Mzee Msekwa!Sijajua kama ndio njia ya Kirudisha Taswira ya Chama ktk Jamii au Ulimi kuteleza!Kama Mchwa na Nguchiro wamewezaishi pamoja kwa wewe Kichuguu,Iweje sisi Binadamu tusiishi Pamoja juu ya Udongo!And what might be the difference? Mind explaining?
That said, it would be interesting to learn exactly how your pending defamation lawsuit squares up to the following established standards in the US legal system:
Defamation and the First Amendment
Basic requirements of a defamation case
A defamation plaintiff must usually establish the following elements to recover:· Identification: The plaintiff must show that the publication was "of and concerning" himself or herself.· Publication: The plaintiff must show that the defamatory statements were disseminated to a third party.· Defamatory meaning: The plaintiff must establish that the statements in question were defamatory. For example, the language must do more than simply annoy a person or hurt a person's feelings.· Falsity: The statements must be false; truth is a defense to a defamation claim. Generally, the plaintiff bears the burden of proof of establishing falsity.· Statements of fact: The statements in question must be objectively verifiable as false statements of fact. In other words, the statements must be provable as false.· Damages: The false and defamatory statements must cause actual injury or special damages.
Msekwa is the ignominious face of official grand graft within the ruling clergy...............hiki kiburi chake ni dhahiri kinatokana na kulewa madaraka na kutudharau raia........ninakumbuka huko nyuma wakati Malecela akiwa waziri wa ujenzi alipoulizwa kuhusu kero za usafiri wa TRC alidiriki kusema..........."they can go to hell"................na Cleopa Msuya aliwahi kutubeza kwa kusema kila mmoja wetu abebe msalaba wake wakati wa kwake sote tumeubeba kwa kumpa madaraka kemukemu...................naye Pesambili Mramba aliwahi kusema..........................."kuliko Raisi akose ndege yake ni bora watanzania wale majani..........."
<br />Msekwa is the ignominious face of official grand graft within the ruling clergy...............hiki kiburi chake ni dhahiri kinatokana na kulewa madaraka na kutudharau raia........ninakumbuka huko nyuma wakati Malecela akiwa waziri wa ujenzi alipoulizwa kuhusu kero za usafiri wa TRC alidiriki kusema..........."they can go to hell"................na Cleopa Msuya aliwahi kutubeza kwa kusema kila mmoja wetu abebe msalaba wake wakati wa kwake sote tumeubeba kwa kumpa madaraka kemukemu...................naye Pesambili Mramba aliwahi kusema..........................."kuliko Raisi akose ndege yake ni bora watanzania wale majani..........."
Mimi kama mmoja wa wanachama waandamizi wa Jamii Forums ambapo nimekuwa mwanchama kwa karibu miaka mitano sasa tangu ikiwa Jambo Forums kabla ya kubadili jina na kuwa Jamiiforums nimekerwa sana na matamshi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa forums hii ni ya vijana wa CHADEMA. Naona kuwa amenivunjia sana heshima yangu mbele ya wenzangu kwa kunipa image ya kuwa mimi ni mpiga propaganda wa CHADEMA.
Baada ya kutafakari kwa kina matamshi ya Pius Msekwa na jinsi yalivyoathiri image yangu kama mwanachama wa JamiiForums, nimeamua kumfungulia mashtaka ya defamation kwenye mahakama ya Douglas County hapa Omaha Nebraska nchini Marekani. Nimejadiliana na mwanasheria wangu ambaye amenipatia kifungu cha sheria kinachoniruhusu kumshitaki raia wa nchi ya nje kwenye mahakama hii, iwapo marekani ina uhusiano wa kibalozi na nchi ya mshitakiwa. Sasa hivi tuko katika hatua za mwisho mwisho za kukusanya ushahidi imara.
Nimeshapata nakala za magazeti ya kiswahili na kiingereza ila nimekuwa natafuta video clip yenye kumwonyesha Msekwa akiwa anasema maneno hayo. Vile vile bado tunashauriana kiwango cha malipo ya Punitive Damages na Compensatory Damages; mwanasheria anashauri kuwa viwango hivyo vipimiwe zaidi kwa kuangalia jinsi gani Msekwa binafsi na chama chake walivyofaidika au watakavyofaidika kutokana na matamshi yake hayo, na kwa kiasi kidogo jinsi gani yalivyoathiri image yangu binafsi kama mwanachama mwanadamizi ambaye hujitambulisha kwa wenzagu wote kuwa mimi ni Premium Member wa JamiiForums.
Tukikamailisha taratibu zote, nitawaarifuni au mtasikia kwenye vyombo vya habari Msekwa akiwa subpoenaed kwenye kesi hii ambayo pamoja na mambo mengine ninataka kuwadhibiti wanasiasa wasiwe wanaropoka mambo bila kuwa na uhakika nayo.
Kaka nadhani watambua vyema fitiza zifanyazo na chama chake pamoja na serikali ya chama chake. Nadhani angalia wasije kukutibulia mambo yako huko, isije ikawa ya ze utamu! Hili jukumu ni vyema km ingefanywa na sisi huku tz. Kifupi ni wazo zuri, na imeonyesha ni kwa kiasi gani umekereka, realy ur thinker and patriot. Tupo pamoja!
Mimi kama mmoja wa wanachama waandamizi wa Jamii Forums ambapo nimekuwa mwanchama kwa karibu miaka mitano sasa tangu ikiwa Jambo Forums kabla ya kubadili jina na kuwa Jamiiforums nimekerwa sana na matamshi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa forums hii ni ya vijana wa CHADEMA. Naona kuwa amenivunjia sana heshima yangu mbele ya wenzangu kwa kunipa image ya kuwa mimi ni mpiga propaganda wa CHADEMA.
Baada ya kutafakari kwa kina matamshi ya Pius Msekwa na jinsi yalivyoathiri image yangu kama mwanachama wa JamiiForums, nimeamua kumfungulia mashtaka ya defamation kwenye mahakama ya Douglas County hapa Omaha Nebraska nchini Marekani. Nimejadiliana na mwanasheria wangu ambaye amenipatia kifungu cha sheria kinachoniruhusu kumshitaki raia wa nchi ya nje kwenye mahakama hii, iwapo marekani ina uhusiano wa kibalozi na nchi ya mshitakiwa. Sasa hivi tuko katika hatua za mwisho mwisho za kukusanya ushahidi imara.
Nimeshapata nakala za magazeti ya kiswahili na kiingereza ila nimekuwa natafuta video clip yenye kumwonyesha Msekwa akiwa anasema maneno hayo. Vile vile bado tunashauriana kiwango cha malipo ya Punitive Damages na Compensatory Damages; mwanasheria anashauri kuwa viwango hivyo vipimiwe zaidi kwa kuangalia jinsi gani Msekwa binafsi na chama chake walivyofaidika au watakavyofaidika kutokana na matamshi yake hayo, na kwa kiasi kidogo jinsi gani yalivyoathiri image yangu binafsi kama mwanachama mwanadamizi ambaye hujitambulisha kwa wenzagu wote kuwa mimi ni Premium Member wa JamiiForums.
Tukikamailisha taratibu zote, nitawaarifuni au mtasikia kwenye vyombo vya habari Msekwa akiwa subpoenaed kwenye kesi hii ambayo pamoja na mambo mengine ninataka kuwadhibiti wanasiasa wasiwe wanaropoka mambo bila kuwa na uhakika nayo.