Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,028
- 1,793
Jamani wagogo, hivi mmepungukiwa na hekima kiasi cha kutuletea wagonjwa wa akili bungeni? Pamoja na kuwapa heshima ya mji wenu kuwa makao makuu ya nchi bado, hamjapata hekima? Sasa mna chuo kikuu kikubwa sana hapo Dodoma, jikomboeni kutoka katika utumwa wa kiakili. Someni mpate maarifa na si kuwa watu wa kusimama barabarani na makopo. Lusinde ni reflection ya busara zenu? Tafakari ewe mgogo.
This insane Lusinde should be judged individually.He is not a representative of a tribe as you claim.Was this crazy voted by all wagogo?What if any individual mistake will be viewed with the "eyes of tribe" as you do?So please and please mr/madam lets talk about Lusinde.His tribe has nothing to do with the case at hand.