Hatukatai kwamba matusi yapo na yanatumiwa lakini hili la kiongozi kupanda jukwaani na kuanza kutoa matusi kama yale kusema kweli ni KOSA KUBWA sana la Uongozi na dhaman aalopewa na wananchi. Hivi kweli ofisa wako wa kazi anaweza yasema haya akiwa kazini?..Mwalimu akitukana matusi kama haya hata kwa uchache wake huachishwa kazi inakuwaje mbunge kusimama mbele ya hadhara ya watu kama wale na kutoa matuzi mazito mazito iwe jambo la kawaida..Tunaanda mazingira gani ya Kisiasa nchini?.Wanaofundisha watoto kutukana wamejaa kila mahali. Acheni unafiki wa kumuangalia mtu mmoja tu. Hili ndio tatizo la chad-emwa.
mkuu andika kiswahili, Lusinde Mitusi mbona hata ngeli haikwei ujumbe huu atashindwa kuuelewa!Though i am coming late into this news, but at least i want to know the whereabouts of Livingstone Lusinde. With all the insults, i cant imagine they have lost the game. You made people to think twice whether the honorables are really honorable. For you i must say i can not address you as such.
Yule bwana darasa la tatu so pale ndio mwisho wa akili yake! Alikimbia umande na kwenda kutega ndege vichakani huko mtera!
halafu ni makao makuu ya hospitali ya vichaa Milembe. Lakini huenda wanaweza kujitetea kuwa Lusinde katoroka kutoka Milembe ha ha ha
Wanaofundisha watoto kutukana wamejaa kila mahali. Acheni unafiki wa kumuangalia mtu mmoja tu. Hili ndio tatizo la chad-emwa.