Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

Waache wale wali wale wali wao(WWWWWW) hawa jamaa wa znz muungano ukivunjika watasambaratika na hali yao itakuwa tete
 
wanaitaka nchi "yao" ya zanzibar; wanataka kurudia "utukufu wa zanzibar" kwa kuwa hapa walipo sasa hawaoni manufaa "yoyote" kwa zanzibar. Wanasema wanaitaka nchi yao waliyonyang'anywa na wadanganyika (ati watanganyika). Wanataka warudishiwe nchi yao waliyonyang'anywa na nyerere na watu wa bara.

Ni zanzibar ipi hiyo wanayoitaka?


  • zanzibar ya historia ya kale (zenj - nchi ya weusi?) ambayo ni zaidi ya visiwa vya unguja na pemba bali na mwambao wa afrika ya mashariki
  • zanzibar ya sultani(ambaye naye utawala wake ulizidi mipaka ya unguja na pemba)
  • zanzibar ya sultani chini ya mwingereza
  • zanzibar ya baada ya uhuru na sultani akiwa bado ni mkuu wa nchi na serikali ya mseto
  • zanzibar ya mapinduzi kabla ya muungano
  • zanzibar "mpya" ambayo haijawahi kuwepo yaani ya baada ya muungano

ni ipi hasa wanayoitaka? Ni ipi hasa zanzibar "proper". Isije kuwa ni kama nchi ya ahadi ambayo iko katika fikra za watu tu lakini haijawahi kuwepo; yaani ile nchi imiminikayo maziwa na asali na kwamba watu wa bara na dunia nzima wanataka kuwanyang'anya wazanzibari. Na labda hapa itabidi tulijibu swali pia kuwa mzanzibari ni nani hasa?


huu ni waraka kutoka kanisa lipi ???????????????????????
 
waache wale wali wale wali wao(wwwwww) hawa jamaa wa znz muungano ukivunjika watasambaratika na hali yao itakuwa tete

hizo ni ndoto mnazoziota! Zanzibar ilikuwepo na hakuna lolote lillotokea zanzibar kabla ya muungano ambalo halijatokea mwahala mwengine.
 
..sasa Maalim Seif kadai akichaguliwa ataimarisha muungano!!

wewe unaona vipi..hujuwi sera ya CUF kuhusu muungano nimesikia na chadema wanayo kama hiyo, sijuwi...!
Mkuu wazanzibar weshajiwekea utaratibu wa jambo lolote litakalogusa mustakbali wa nchi yao wanalipeleka kwa wananchi wenyewe, hapa tunamsubiri huyo aliyekosa kunyonya maziwa ya mama yake atoe tusi lake (maana Pinda tushamjibu kwa vitendo na nyoko hajasema) ataona nini umma wa Wazanzibar utafanya, na ilivyokuwa dunia ndiyo iliyofadhili referendum hatuna cha kuhofia wala cha kupoteza zaidi ya minyororo na mirija ya kinyonyaji ya SMT, tupo tayari kuiambia dunia tunachokitaka, tukaeleweka na kitakuwa tu...utaratibu si upo!
 
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya katiba,na ulionishangaza ni ule uliohusishwa kuchanwa kwa muswada wa kukusanya maoni huko Zanzibar!Mimi ni mmoja kati ya watu ambao tuliupinga kwa nguvu zetu zote muswada huo,lakini tulijitahidi sana kuficha hisia za UTANGANYIKA wetu!Kinachonifanya niandike makala hii ni huu uzanzibari uliojitokeza,kwanza naomba niwaambie hawa kuwa hata sie tunaitaka Tanganyika yetu lakini tumefikiri kwa kina na tumegundua kuwa hakuna mtu anaeweza kujifanya ni mzawa wa zanzibar.Sio seif,wala Aboud jumbe,sio Hamad Rashid wala Dr. Omar!Hivi makabila ya zanzibar ni yapi na hawa wanaoitaka zanzibar ni wa makabila hayo?Zanzibar si mali ya waarabu wala wangoni, zanzibar si mali ya wanyamwezi wala wajaruo,zanzibar si mali ya wanyakyusa wala wahindi,basi zanzibar ni mali ya nani? Nakubaliana na kauli ya Mwalimu kuwa ni mtu mwendawazimu tu ndio anaeweza kuutaka uzanzibari, ni mroho wa madaraka tu tena kwa manufaa binafsi na ya ukoo wake ndie atakaeitaka Zanzibar.Nakubaliana na mwalimu kuwa wanasema Zanzibar ni nchi kwa sababu tu Kuna Tanzania nyuma yake!Historia inawahukumu "wazanzibar hawa" kuwa hukukuwahi kuwa na nchi inayoitwa Zanzibar. Kwangu mimi huu ni Mkoa au wilaya ndani ya Tanzania.Hata mikiitaka kwa nguvu Zanzibar mtatakiwa kujiuliza hivi nyie kweli ni wazawa wa asili ya visiwa hivyo?au mlikuja babu zenu walipokuwa wakoloni ndani ya visiwa hivyo?hata huku bara wakoloni walikuwapo".Hivi nyie kweli ni wazawa wa zanzibar au ni wamakonde,na wanyamwezi mlioenda kam watumwa wa waarabu kulima mashamba!Nataka kabla ya kuanza madai yenu mjiulize kama kweli manastahili kuwepo hapo,vinginevyo tutawasihi kwa roho nyeupe asieitakia mema Zanzibar arudi nyumbani kwao asilia "mwarabu rudi Oman,Mchaga rudi Kilimanjaro, mnyakyusa nenda Mbeya,Mngoni rudi sonea na Mnyamwezi rudi Tabora ili tuone visiwa hivi vinabaki na kabila gani!Najua wengi watanikosoa kwa hili ingawa najua wengi mtaniunga mkono!Najaribu kuvitendea haki visiwa vya zanzibar ambavyo ni sehemu ya Tanzania!
 
Zanzibar ni ya Wazanzibari, Mzanzibari ametajwa ndani ya katiba ya Zanzibar 1984 na ndani ya Sheria inayoitwa the Zanzibaries act no.5 ya 1985. kufikiria kwamba wazanzibari hatujitambui huo ni ujinga Zanzibar ilikua Jamhuri kabla ya Muungano, Zanzibar imepata uhuru wake tarehe 09, December 1963, na imepata kuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa kabla ya Tanganyika, na wala Tanganyika haijawahi kuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa. ukifikiria kwamba Zanzibar ni kama Tarafa unahitaji kwenda Mirembe kupimwa akili
 
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya katiba,na ulionishangaza ni ule uliohusishwa kuchanwa kwa muswada wa kukusanya maoni huko Zanzibar!Mimi ni mmoja kati ya watu ambao tuliupinga kwa nguvu zetu zote muswada huo,lakini tulijitahidi sana kuficha hisia za UTANGANYIKA wetu!Kinachonifanya niandike makala hii ni huu uzanzibari uliojitokeza,kwanza naomba niwaambie hawa kuwa hata sie tunaitaka Tanganyika yetu lakini tumefikiri kwa kina na tumegundua kuwa hakuna mtu anaeweza kujifanya ni mzawa wa zanzibar.Sio seif,wala Aboud jumbe,sio Hamad Rashid wala Dr. Omar!Hivi makabila ya zanzibar ni yapi na hawa wanaoitaka zanzibar ni wa makabila hayo?Zanzibar si mali ya waarabu wala wangoni, zanzibar si mali ya wanyamwezi wala wajaruo,zanzibar si mali ya wanyakyusa wala wahindi,basi zanzibar ni mali ya nani? Nakubaliana na kauli ya Mwalimu kuwa ni mtu mwendawazimu tu ndio anaeweza kuutaka uzanzibari, ni mroho wa madaraka tu tena kwa manufaa binafsi na ya ukoo wake ndie atakaeitaka Zanzibar.Nakubaliana na mwalimu kuwa wanasema Zanzibar ni nchi kwa sababu tu Kuna Tanzania nyuma yake!Historia inawahukumu "wazanzibar hawa" kuwa hukukuwahi kuwa na nchi inayoitwa Zanzibar. Kwangu mimi huu ni Mkoa au wilaya ndani ya Tanzania.Hata mikiitaka kwa nguvu Zanzibar mtatakiwa kujiuliza hivi nyie kweli ni wazawa wa asili ya visiwa hivyo?au mlikuja babu zenu walipokuwa wakoloni ndani ya visiwa hivyo?hata huku bara wakoloni walikuwapo".Hivi nyie kweli ni wazawa wa zanzibar au ni wamakonde,na wanyamwezi mlioenda kam watumwa wa waarabu kulima mashamba!Nataka kabla ya kuanza madai yenu mjiulize kama kweli manastahili kuwepo hapo,vinginevyo tutawasihi kwa roho nyeupe asieitakia mema Zanzibar arudi nyumbani kwao asilia "mwarabu rudi Oman,Mchaga rudi Kilimanjaro, mnyakyusa nenda Mbeya,Mngoni rudi sonea na Mnyamwezi rudi Tabora ili tuone visiwa hivi vinabaki na kabila gani!Najua wengi watanikosoa kwa hili ingawa najua wengi mtaniunga mkono!Najaribu kuvitendea haki visiwa vya zanzibar ambavyo ni sehemu ya Tanzania!

dah! mkuu ... umeamuwa kuandika hii makala baada ya kufanya utafiti kweli... au imekaa kishabiki zaidi no offence znz ni nchi... nakumbuka katika somo ra uraia darasa 5 nilisoma tanzania ni muungano wa nchi mbili. Tanganyika na zanzbar. sasa unaponiambia mkoa nakuwa sikuelewi ..? mkoa wenye wimbo wa taifa, bendera yao.. rais wao..! nakushauri kaa kimya Acha wajitenge! kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchuuzi

The United Republic of Tanzania was formed out of the union of two sovereign states namely Tanganyika and Zanzibar. Tanganyika became a sovereign state on 9th December, 1961 and became a Republic the following year. Zanzibar became independent on 10th December, 1963 and the People's Republic of Zanzibar was established after the revolution of 12th January, 1964. The two sovereign republics formed the United Republic of Tanzania on 26th April, 1964. However, the Government of the United Republic of Tanzania is a unitary republic consisting of the Union Government and the Zanzibar Revolutionary Government.

soma zaidi hapa katika web ya taifa The Tanzania National Website
 
analysis nzuri lakin itaamsha mengi maana itafikia hatua na watanganyika mtajiuliza mlitokea wapi hadi mkawa tanganyika?? kimsingi mipaka ya wakoloni ndo source ya kuwepo znz na tanganyika leo. naunga mkono hoja km utanieleza na wewe ulifikafikaje tanganyika au babu zako walifikafikaje.
 
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya katiba,na ulionishangaza ni ule uliohusishwa kuchanwa kwa muswada wa kukusanya maoni huko Zanzibar!Mimi ni mmoja kati ya watu ambao tuliupinga kwa nguvu zetu zote muswada huo,lakini tulijitahidi sana kuficha hisia za UTANGANYIKA wetu!Kinachonifanya niandike makala hii ni huu uzanzibari uliojitokeza,kwanza naomba niwaambie hawa kuwa hata sie tunaitaka Tanganyika yetu lakini tumefikiri kwa kina na tumegundua kuwa hakuna mtu anaeweza kujifanya ni mzawa wa zanzibar.Sio seif,wala Aboud jumbe,sio Hamad Rashid wala Dr. Omar!Hivi makabila ya zanzibar ni yapi na hawa wanaoitaka zanzibar ni wa makabila hayo?Zanzibar si mali ya waarabu wala wangoni, zanzibar si mali ya wanyamwezi wala wajaruo,zanzibar si mali ya wanyakyusa wala wahindi,basi zanzibar ni mali ya nani? Nakubaliana na kauli ya Mwalimu kuwa ni mtu mwendawazimu tu ndio anaeweza kuutaka uzanzibari, ni mroho wa madaraka tu tena kwa manufaa binafsi na ya ukoo wake ndie atakaeitaka Zanzibar.Nakubaliana na mwalimu kuwa wanasema Zanzibar ni nchi kwa sababu tu Kuna Tanzania nyuma yake!Historia inawahukumu "wazanzibar hawa" kuwa hukukuwahi kuwa na nchi inayoitwa Zanzibar. Kwangu mimi huu ni Mkoa au wilaya ndani ya Tanzania.Hata mikiitaka kwa nguvu Zanzibar mtatakiwa kujiuliza hivi nyie kweli ni wazawa wa asili ya visiwa hivyo?au mlikuja babu zenu walipokuwa wakoloni ndani ya visiwa hivyo?hata huku bara wakoloni walikuwapo".Hivi nyie kweli ni wazawa wa zanzibar au ni wamakonde,na wanyamwezi mlioenda kam watumwa wa waarabu kulima mashamba!Nataka kabla ya kuanza madai yenu mjiulize kama kweli manastahili kuwepo hapo,vinginevyo tutawasihi kwa roho nyeupe asieitakia mema Zanzibar arudi nyumbani kwao asilia "mwarabu rudi Oman,Mchaga rudi Kilimanjaro, mnyakyusa nenda Mbeya,Mngoni rudi sonea na Mnyamwezi rudi Tabora ili tuone visiwa hivi vinabaki na kabila gani!Najua wengi watanikosoa kwa hili ingawa najua wengi mtaniunga mkono!Najaribu kuvitendea haki visiwa vya zanzibar ambavyo ni sehemu ya Tanzania!


Mkuu hebu jikumbushe kwa hili, usikurupuke tu kwa jazba na kejeli. Wazanzibari wamekuwapo kabla ya nyinyi kuja kutoka Cameroons.


TANGANYIKA

tanganyika.jpg

Tanganyika 1815-1886



Tanganyika kama taasisi ya kijiografia na kisiasa haikuchukua sura kuwapo kabla ya wakati wa Ubeberu Mkuu (High Imperialism), jina lake limeanza kutumika baada ya kile kilichojulikana na kuitwa kama “Ujerumani ya Afrika ya Mashariki” (German East Africa) kuhamishiwa na kukabithiwa kwa Uingereza kama Mamlaka ya Umoja wa Mataifa katika mwaka 1920. Huu ndio mukhtasari wa historia ya eneo ambalo baadae itakuwa ni nchi ya Tanganyika.

Katika 1698 na tena katika 1725 wa-Omani waliwang’oa Wareno kutoka bandari za biashara kwenye pwani ya Afrika Mashariki, hasa kutoka Kilwa na Zanzibar. Wakati wa karne ya 18, Zanzibar ilikuwa ilijitokeza kama bandari kubwa ya kanda (Region) na pwani ya Afrika Mashariki. Biashara kwa ujumla ilikuwa na ikafanikiwa, mlolongo wa miji ya pwani pamoja na biashara kati yao ikiwemo TANGA na BAGAMOYO, alikuwa na kushamiri.

Katika 1841, Sultani Sayyid Said kahamishia makao makuu yake kutoka Muscat na kuleta Zanzibar; pamoja naye walikuja Waarabu wengi ambao waliukuza uchumi. Katika 1856, Usultani wa Zanzibar ulitengwa na Usultani wa Oman, na Zanzibar ikabaki na mamlaka yake ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba ikiwemo ardhi ya pwani ya Afrika Mashariki, ikiwa ni pamoja na Kilwa. Wafanyabiashara wa Kiarabu walimarisha njia na misafara katika maeneo ya ndani ya Afrika, ngamia ikiwa ndio vyombo vikuu vya usafiri.
Bandari ya Zanzibar ilikuwa ikitembelewa na meli za Kiholanzi, Kiingereza na Ufaransa. British East India Company alikuwa mwakilishi wa Zanzibar, ambayi ilifanya kazi kama mshauri wa Sultan.
Mwaka 1848 Misionari wa Ujerumani Johannes REBMANN 'aligundua' Mlima Kilimanjaro, nae Burton na Speke 1858 'aligundua' Ziwa Tanganyika.

Katika 1877 mfululizo wa kwanza wa misafara ya Ubelgiji iliwasili Zanzibar. Katika mtiririko wa misafara hiyo, mwaka 1879 kituo cha kwanza kilianzishwa KAREMA ukingoni mwa mashariki ya Ziwa Tanganyika, na kufuatiwa na kituo cha MPALA ukingo wa pili yake magharibi ya ziwa. Vituo Wote walikuwa vilianzishwa kwa jina la COMITE D'ETUDES DU HAUT CONGO, ni shirika lililotangulia kile kilichoitwa baadae "Kongo Free State". Ukweli kwamba kituo hiki kilikuwa kimeimarishwa na kuhudumiwa na mahitaji yake yote hutolewa kutoka na kuongozwa (Adminstered) kutoka Zanzibar na Bagamoyo kilipelekea kuingizwa Afrika Mashariki katika eneo la Bonde la Kongo (CONVENTIONAL BASIN OF THE CONGO) katika Mkutano BERLIN wa 1885.
Katika meza ya mkutano wa Berlin, kinyume na mtazamo mkubwa ulokuwapo, Afrika haikuwa partitioned; badala yake sheria zilianzishwa na kuimarishwa miongoni mwa mamlaka za ukoloni na mamlaka ya kikoloni zilizotarajiwa hapo baadae, jinsi ya kuendelea katika uanzishaji wa makoloni na Himaya (protectorates). Wakati maslahi yao Ubelgiji haraka kujilimbikizia na kujiimarisha kwenye Mto Kongo, Waingereza na Wajerumani wa Afrika Mashariki katika 1886 waliikata mapande (partitioned) Bara Afrika Mashariki miongoni mwao wenyewe; Usultani wa Zanzibar, ukaporwa mamlaka yake na kubakizwa na visiwa vya Unguja na Pemba tu, na kubakia na kutambuliwa kama ‘nchi huru’.

Kongo Free State hatimaye iliazimka kuondoa madai yake juu ya Karema (kituo kikongwe katika Afrika ya Kati) na katika wilaya zote za mashariki ya Ziwa Tanganyika, na kuwachia mamalaka kwa Ujerumani.
Tanganyika a British Mandate 1918-1939
Kipindi cha utawala wa Uingereza kilianza na uvamizi wa kisiwa cha MAFIA, na Royal Navy katika 1914. Mwaka 1916, koloni lilichukuliwa na kutawaliwa; askari wa Kijerumani, wakiongozwa na Paul von Lettow-VORBECK waliliendelea kupingana dhidi ya wavamizi mpaka mwisho wa vita vikuu vya dunia WW1. Mwaka 1920, Umoja wa Mataifa, ulikabidhi kwa Uingereza mamlaka yote ya utawala wa zamani wa Ujerumani katika koloni la Ujerumani ya Afrika Mashariki, isipokuwa Rwanda na Burundi.

Katika 1920 Koloni lilipewa jina la Wilaya za Tanganyika (Tanganyika Territories). Katika 1921 Wabelgiji walikabidhi rasmi kwa utawala wa Uingereza ‘Wilaya’ ya Kigoma, ambayo walikuwa wakiitawala tangu mwanzo wa uvamizi, Uingereza na Ubelgiji walisaini makubaliano kuhusu mipaka kati ya Tanganyika na Ruanda-Urundi katika 1924..

Sera ya Uingereza ilikuwa na utawala wa moja kwa moja, yaani kwa njia ya viongozi wa Afrika. Katika 1926, Halmashauri ya bunge ilianzishwa, ambayo ilikuwa na ushauri wa mkoa. Katika 1928 Reli baina ya Tabora na Mwanga ilifunguliwa kwa usafiri, line kutoka Moshi na Arusha katika 1929.

Katika 1919 idadi ya watu ilikuwa inakadiriwa kufikia 3,500,000. Katika 1931 sensa rasmi ya wakazi wa Tanganyika wakati wenyeji 5,022,640, kwa kuongeza 32,398 wa-Asia na wa-Ulaya 8,228.
Chini ya utawala wa Uingereza, juhudi yalifanyika kupambana na Tsetse Flies (Charles Swynnerton, tangu 1919), ya kupambana na Malaria na Bilharziasis; hospitali zaidi zilijengwa.

Mwaka 1926, chini ya utawala wa kikoloni zilitolewa ruzuku kwa shule zinayoendeshwa na wamisionari, na wakati huo huo kuanzisha mamlaka yake ya Uendeshaji ya usimamizi na kuanzisha miongozo. Hata hivyo, katika 1935, bajeti ya elimu kwa ajili ya Tanganyika nzima yalifikia tu (Marekani) $ 240,000.
 
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya katiba,na ulionishangaza ni ule uliohusishwa kuchanwa kwa muswada wa kukusanya maoni huko Zanzibar!Mimi ni mmoja kati ya watu ambao tuliupinga kwa nguvu zetu zote muswada huo,lakini tulijitahidi sana kuficha hisia za UTANGANYIKA wetu!Kinachonifanya niandike makala hii ni huu uzanzibari uliojitokeza,kwanza naomba niwaambie hawa kuwa hata sie tunaitaka Tanganyika yetu lakini tumefikiri kwa kina na tumegundua kuwa hakuna mtu anaeweza kujifanya ni mzawa wa zanzibar.Sio seif,wala Aboud jumbe,sio Hamad Rashid wala Dr. Omar!Hivi makabila ya zanzibar ni yapi na hawa wanaoitaka zanzibar ni wa makabila hayo?Zanzibar si mali ya waarabu wala wangoni, zanzibar si mali ya wanyamwezi wala wajaruo,zanzibar si mali ya wanyakyusa wala wahindi,basi zanzibar ni mali ya nani? Nakubaliana na kauli ya Mwalimu kuwa ni mtu mwendawazimu tu ndio anaeweza kuutaka uzanzibari, ni mroho wa madaraka tu tena kwa manufaa binafsi na ya ukoo wake ndie atakaeitaka Zanzibar.Nakubaliana na mwalimu kuwa wanasema Zanzibar ni nchi kwa sababu tu Kuna Tanzania nyuma yake!Historia inawahukumu "wazanzibar hawa" kuwa hukukuwahi kuwa na nchi inayoitwa Zanzibar. Kwangu mimi huu ni Mkoa au wilaya ndani ya Tanzania.Hata mikiitaka kwa nguvu Zanzibar mtatakiwa kujiuliza hivi nyie kweli ni wazawa wa asili ya visiwa hivyo?au mlikuja babu zenu walipokuwa wakoloni ndani ya visiwa hivyo?hata huku bara wakoloni walikuwapo".Hivi nyie kweli ni wazawa wa zanzibar au ni wamakonde,na wanyamwezi mlioenda kam watumwa wa waarabu kulima mashamba!Nataka kabla ya kuanza madai yenu mjiulize kama kweli manastahili kuwepo hapo,vinginevyo tutawasihi kwa roho nyeupe asieitakia mema Zanzibar arudi nyumbani kwao asilia "mwarabu rudi Oman,Mchaga rudi Kilimanjaro, mnyakyusa nenda Mbeya,Mngoni rudi sonea na Mnyamwezi rudi Tabora ili tuone visiwa hivi vinabaki na kabila gani!Najua wengi watanikosoa kwa hili ingawa najua wengi mtaniunga mkono!Najaribu kuvitendea haki visiwa vya zanzibar ambavyo ni sehemu ya Tanzania!



Hii ndio Zanzibar tunayoitaka ambayo mliivamia na kuichakachua April 1964.

Daini Tanganyika yenu mlioiua wenyewe, Zanzibar for Zanzibaris:

AMAZING HOW ADVANCED ZANZIBAR WAS: And nearby Mwera people were the first to taste it

1901 January
Tea: the first packet of tea made in East Africa was packed in
Dunga. The leaves were the first products of the garden that was laid
out there in 1899. It was manufactured with such appliances as were to
hand, rolled on the deal table, sun-dried, and fired with ordinary
charcoal stove.


1901 August
The first bulk oil installation started in Zanzibar following
the completion of tank and pier at Mtakuja.The tank for reception of
petroleum in bulk was erected by Messrs. Smith Mackenzie and Co. the Agent for Shell
Transport and Trading Company Limited.The installation was most complete
comprising also of a factory for the manufacture of kerosene oil tins.


1901 September 18
The first Zanzibar street band was formed by the local bandsmen
who were discharged by the Sultan. The band was available for social
events.


1903 August 21
The first newspaper in Zanzibar "Samachar" was printed. It was
later reorganized as a daily paper with the first appearing on Monday
August 21, 1905.Later on several newspapers were published in Zanzibar .


1903 September 26
A powerful light house at Kigomasha in Pemba and that of Chumbe
were opened. The light houses were constructed by the Public works
Department. Great improvements took place to the Zanzibar light houses
from the beginning of 1900 by converted to a flashing system of A.G.A.
i.e. the sun valve control hereby the lights are extinguished shortly
after dawn and relit before sunset automatically.
The first modern market in Zanzibar was opened at Darajani and
named Estella Market of commonly known as Marikiti Kuu. Estella ,
Countess Cave was a sister of General Sir Lloyd Mathews then First
Minister and Consul General of Zanzibar. Opened by Sultan Ali bin
Hamoud, credit is due to Mr. Bomanjee Maneckjee, the Minister for Public
Work who turned an old ruined site into a building of a considerable
architectural beauty.


1904
A powerful light house at Kigomasha in Pemba and that of Chumbe
were opened. The light houses were constructed by the Public works
Department. Great improvements took place to the Zanzibar light houses
from the beginning of 1900 by converted to a flashing system of A.G.A.
i.e the sun valve control hereby the lights are extinguished shortly
after dawn and relit before sunset automatically.


1904 July 18
Sultan Hamoud bin Mohammed died and Seyyid Ali bin Homoud took
over the throne. Ali was the youngest Sultan to take over the throne at
the age of 18. He was the first Sultan to have western education and was
very much influenced by the western culture by his dresses, food and
language.


1904 August

The French Post Office of Zanzibar was closed.French Consular
post office issued stamps of various denominations of Peace and Commerce
which were issued by the French Metropolitan Government between 1876 and
1900.


1905

The first Government School started in Zanzibar through the
initiative of Sultan Ali bin Hamoud accommodated mainly the Royal Family
and Upper Class Arabs. This school was later on became Town Boys Primary
School at Darajani.
The famous Bububu Railway was built by an American firm. The 7
mile Railway connected Bububu and Forodhani consisted of a 3 ft gauge
light track. It was sold to the Government in 1911. The Railway stopped
its passenger service in July 1922 and used for the haulage of stone for
the harbor works. The engines and the rolling stock of Bububu Railway
completed their journey in August 31,1929.


1905 September

Electric light and power was supplied within a radius of 5 miles
from the Sultan's Palace. The plant was installed by Mr. J. A. Jones of
New York , and thereafter the streets of Zanzibar town lit with
electricity much earlier than other streets in London which were still
to make do with gas lamp.


1906 July 04

The Official switching on of the electric light in the Streets
of Zanzibar town. This was the first time in the history of any town in
East Africa . Indeed,Telephone services in public use and private with
switchboard installed at the Old Fort. The facilities were installed by
an American Company and hence opened in the Independence day of America


1907
Zanzibar Army was disbanded and the defence of the country
entrusted to two companies of King's African Rifles [KAR].

The official opening of Shangani Post Office. The British Post
al Services started in1873 in the Mackenzie Building and in 1895
December the service took a more formal charge when it joined into the
Postal Union. Meanwhile the Zanzibar first postage stamps appeared on
September 20, 1896 printed by the firm of the De la Rue.


1907 December 10
Official opening of the wireless telegraphy services at Mnazi
Mmoja. This first wireless telegraphy in East Africa was opened by Mrs.
Cave, the wife of then British Consul General. The service connected
Zanzibar and Pemba within a few minutes was another red letter I the
annals of Zanzibar .


1908 January
The silver Rupee of British India made the standard coin of the
Protectorate and Zanzibar currency notes issued.Final abolition of the
Consular court's of Zanzibar of the various powers. All subjects,
irrespective of nationality, thus became amenable to British
jurisdiction.



1908 May 13
The Zanzibar Court of Justice at Vuga was officially opened. The
building is a fine piece of Saracenic architecture, the creation of Mr.
J. H.Sinclair. And the dome surmounting the clock tower and the vista of
arches are a distinct addition to the place.



1908
The first currency Decree was promulgated and provided for and
issue of the first Zanzibar currency Notes.
The first car came to Zanzibar . This Germany made car "Daimler"
was used by Sultan Ali bin Hamoud. The motor car sfor passengers started
in 1927 when the trial was made for three cars: Morris Cowley, Citroen
and Fiat each carrying for passengers to Mangapwani.


1911 December
Seyyid Ali bin Hamoud visited England to attend the Coronation
of His Majesty King George V. Whilst in Europe he abdicated and decided
to leave in Paris where he died in 1918.
Seyyid Khalifa bin Haroub ascended the throne of Zanzibar and
his coronation was held at the House of Wonder. He wa the longest Sultan
to rule Zanzibar from 1911-1960.


1913
Control of Zanzibar Sultanate passed from the Foreign Office to
the Colonial Office.
1914 January
Control of Zanzibar transferred formally from Foreign Office to
Colonial Office. The new post British Resident an Chief Secretary were
created. Major F.B. Pearce was made the first British Resident and J. H.
Sinclair became the first Chief Secretary.


1914 August
The first World War was started. Zanzibar declared war on
Germany and the Treaty of Zanzibar with Germany lapsed.


1914 September

H.M.S. Pegasus the British Ship sunk in Zanzibar Harbor by the
German Cruiser "Koningsberg".


1915 July
The Zanzibar Theater Cinema House at Darajani Bridge was opened
in Saturday. The first installment of the serial Elmo the Mighty in
which Elmo Lincoln and Lucile Love the beautiful and talented favorite,
figure in exploits of sensetial adventures was successful screened
before a crowded house.


1916 August

The first naval airplane to Zanzibar landed during the period of
the first world. The Eastern African campaign during the War saw the
novel use of aircraft in naval operations. Majority of these aircraft's
had underpowered engines and wooden airframes which were prone to severe
problems in the tropical climate. Sultan Khalifa bin Haroub was the
first Arab ruler to view his kingdom from the air by flying the aircraft
piloted by Lt. J. Cull of Royal Navy Air Service.

1917 March

The Darajani bridge was opened by J. H. Sinclair, then British
Resident replacing the old wooden bridge. The bridge was designed by Mr.
Crawleys the Director of public work The bridge was a connecting link
between the town peninsular and the main island. The bridge was of 2
spans with a total length of 70 feet by 20 feet wide.


1918
The first motor lorry two-ton-Daimler to Zanzibar was bought by
Public Works Department. It was used for the construction of various
roads in the country side.


1918 November
Armistice signed and the First World War ended.


1920 July

Zanzibar experienced the closure of of the International
Maritime bureau established in 1892 for the purpose of centralization of
information relating to native vessels and slave trade in general.


1923
The new standard measure of weight and capacity were made: A
Pound being standard measure of weight in I, A gallon as standard
measure of capacity, A Yard as standard measure of length and Square
Yard as a standard measure of surface.


1923 June
Service of the two Companied of the K.A.R discontinued and the
defence of the country entrusted to the Zanzibar Police Department.


1925 December
The first tractor arrived in Zanzibar . The tractor named the
Guy Roadless Tractor of 19 horse power is what termed technically as a
half -track vehicle. It was used for construction of roads and its first
trials took place at Kidimni-Ndagaa road construction.


1926 March
Executive and Legislative councils constituted and the Zanzibar
Protectorate Council, formed in 1914 abolished. The establishment of
these bodies was in line with the British Policy to start with the
system of rule of Law. The Legislative council was later on became the
Parliament and Executive Council became Cabinet of Minister.
The first session of the Zanzibar Legislative Council opened by
His Highness Khalifa bin Haroud, the Sultan of Zanzibar.


1927 January
The first British Official messages were received at the
Zanzibar Station. The receiver installed was by the Marconi Company Ltd.
designed for reception of good headphone signals in any part of the
world of all high power continues wave stations.


1928 March
Siti bt Saad realized her first record of Taarab music. Siti and
her band signed a recording contract with AbdulKarim Hakim Khan His
Masters' Voice Agent in Zanzibar to go to Calcutta India to record their
music. Siti became the first women in East Africa to record her music
and the first person to ever record and release song in Kiswahili.


1929 July
First step was taken to improve the quality of cloves for export
by subjecting them to compulsory inspection in accordance with the
provisions of the Agricultural Produce Decree.


1929 October
Zanzibar census Report was published.
The harbor works was formally handed over to His Highness on
behalf of the Zanzibar Government by Mr. H. H. G. Mitchell, the
consulting Engineer of Messrs Coode, at the ceremony held at the
entrance of Harbor works in the presence of a large gatherings.


1929 November
Malindi Harbor opened. The harbor was designed by Col.
G.T.Nicholson- Harbor advisory Engineer to the Union of South Africa. It
had many facilities including a fresh water main with hydrants to supply
to the ships and pipe to convey the oil to and from ships alongside.


1929 December
Commencement of dimming electric lights at 8.00 p.m to give time
signal.


1930
Zanzibar first aerodrome was constructed at Dunga. The strip was
800 yards by 150 yards was used only for light and medium size aircraft.


1930 April
The first commercial plane landed on Zanzibar . The plane was
piloted by Captain T. Campbell Black, Managing Director of the then
Wilson 's Airways Ltd. By communicating with Police Station at Ziwani he
pilot managed to land on Mnazi Mmoja Golf Course on Monday at 10.00.


1931 March
The first overseas air mail arrived at Zanzibar by the then
inaugurated African air mail services. It was posted in London on the
27th February, reached Kisumu on 10th March and arrived at Zanzibar
after five days.
Likewise the first air mail correspondence from Zanzibar to
outside world was dispatched on Friday 5th June 1931at 7.00 a.m


1932 February
First cinema talkie exhibited in Zanzibar at the Royal Cinema.


1935 March
The official opening ceremony of the new high pressure water
supply at Mwanyanya (Bububu) by sultan Khalifa bin Haroub to supply
water to the town of Zanzibar and Ng'ambo.


1936 January
The substitution of East African currency for Rupee currency
i.e. the new Shilling currency came into force following the
establishment of the common East African Currency Board. Postage stamps
of new denominations were introduced.


1936 February
Serious riot of Manga Arabs (commonly known as Vita Vya Wamanga
or vita vya Mbata) broke out in the town of Zanzibar . The cause of it
was in the application of Alliteration of Produce Decree. The Inspector
of Police was killed four rioters were killed and several other people
wounded. Great alarm prevailed in Zanzibar and all shop was closed.


1937 December 21
Official Opening ceremony of Jubilee Gardens at Forodhani laid
out by Government to celebrate silver Jubilee Of His Late Majesty King
George V and the memorial erected thereon by public inscriptions to
celebrate the silver Jubilee of Sultan Khalifa bin haroub.


1946
The first African, Sk. Ameir Tajo was appointed to join the
Legislative Council to represent the African majority in this law making
body.


1947 December
For the first time in Zanzibar 's history a Bull and Donkey
show was held at Mnazi Mmoja under the auspices of the Zanzibar Society
for revention of Cruelty to Animals.


1948 August
The employees of the African Wharfage Company went on strike and
Zanzibar was faced with complete paralysis of loading and unloading
shipping cargoes.


1948 September
Zanzibar witnessed an unprecedented strike in its history. All
African employees including domestic employees and Ayahs went on strike
in sympathy with the African Wharfage dock hands. The African Labor's of
P.W.D. and Sweepers joined in the Strike. All shops were closed and
business was at standstill.


1949 December
For the first time Gossage Cup Football match was played at
Seyyid Khalifa Sports Grounds (Mnazi Mmoja) between Uganda and
Tanganyika which resulted in a draw. The following day Kenya beat
Zanzibar by three goals to two in a good exciting match. Tangnyika beat
Kenya two nil in a final match.


1951 July
A serious riot broke out as a result of the opposition of the
cattle owners of Kimbe Samaki for compulsory inoculation against
Anthrax, commonly known as Vita vya Ngombe. Twenty cattle owners were
prosecuted an 19 sentenced to terms imprisonment. A crowd of
sympathizer's after making ill-advised effort to realize the prisoner's
as they were leaving the court, hurried to the jail bent on the same
purpose and serious riot took place outside the prison.


1957
The first election to be held in Zanzibar . The elections were
protested by both political parties and racial and religious
organization but in the end, the election was really became a contest
between ASP and ZNP. ASP won five out 6 seats.


1963 December
Zanzibar got its Independece and Mohammed Shamte Hamad became the first Prime Minister.But constitutionally it was declared the Sultan the Head of State and giving
him more power to appoint his Successor.


1964 January
The Revolution took place to topple not only the ZNP/ZPPP
Government but also the monarchy, under the Leadership of late Mzee,
Abeid Amaan Karume. With the establishment of of a republic and a new
coalition of classes in power, radical changes took places. In fact with
the exception of Guinea no country in tropical Africa changed radically
in so short time.


1964 March
Nationalization of Land and later distributed to the poor. This
was a major reform program to change the society and the ownership of
Land.


1964 April
The Republic of Zanzibar united with the Republic of Tanganyika
to form the United Republic of Tanzania. Under new setup the late Julius
Nyerere became the first President and Karume became the first Vice
President of Tanzania respectively.


1964 September
Education was declared free for all. The declaration made a
considerable changes in which the children from low class had
opportunity to attend the schools.Zanzibar today is almost self-
sufficient in man power.


1965 May


Decree to declare Zanzibar old zanzibar map.jpg one Party State . Afro Shirazi Party
was the sole Political Party until 1992 following the introduction of
Multi Party system in Tanzania .


Jee katika hio old map of Africa, Tanganyika ipo?

Wacha kuchokonoa mambo Mkuu, Zanzibar ina wenyewe na wapo macho na fitna zenu.
 
Hii ndio Zanzibar tunayoitaka ambayo mliivamia na kuichakachua April 1964.

Jee katika hio old map of Africa, Tanganyika ipo?

Wacha kuchokonoa mambo Mkuu, Zanzibar ina wenyewe na wapo macho na fitna zenu.

Mkuu na ujanja wooote wa kale umejikuta ukawa part of Tanzania,ama kweli ndege mjanja hunaswa tundu bovu.
Kwa taarifa yako omba kwa ustaarabu kutoka ndani ya muungano tukisema hutoki, hutoki.
 
Mtasema mchana usiku mtalala ngoma ya sikinde inaendeleaa ,wandugu haya mambo yeshakuwa makubwa kwa kingunge yeyote yule kutoka Dodoma kutokeza pua yake.

Yaani sasa mambo ya Zanzibar ni mbele kwa mbele tu ,machogo mmefuliya bwa ha ha ha :lol:

we pimbi nani chogo?
 
..sasa Maalim Seif kadai akichaguliwa ataimarisha muungano!!

..mimi nadhani wanasiasa wa Zenj wanawachezea akili wapiga kura wao.

..kwanini suala la kuwa na muungano, ama la, halikupigiwa kura ya maoni, sambamba na suala la kuundwa kwa serikali ya mseto?

..Muungano wa serikali tatu haufai kwasababu Tanganyika is too big compared to Zenj.

..muungano huu ni bora ukavunjwa na badala yake tushirikiane na wa-Zenj kupitia EAC.

NB:

..kila siku wanadai wanashughulikia kero, sasa kero ya Zenj kuwa ndogo mno, na Tanganyika kuwa kubwa kupita kiasi, wataishughulikia namna gani?


Hakuna kero za Muungano Mkuu, Muungano wenyewe ndio kero.

Tuseme mara ngapi?
 
Mkuu na ujanja wooote wa kale umejikuta ukawa part of Tanzania,ama kweli ndege mjanja hunaswa tundu bovu.
Kwa taarifa yako omba kwa ustaarabu kutoka ndani ya muungano tukisema hutoki, hutoki.



Mtu haombi chake na iko siku mtajikuta hamna Tanzania wala Tanganyika na jeuri yenu hio.


"Ule wakati wetu na Nyerere tlikuwa tunakubali lakini hawa vijana wa leo hwakubali, Bw. Sitta, ITS OVER".
- Hassan Nassor Moyo, Former Govt Minister and CCM Veteran
 
Yap, Baada ya uhuru wa Zanzibar 1963, kulikuwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Unguja. Na hivyo ndivyo ilivyokuwa ikiandikwa katika nyaraka za serikali hiyo. Baada ya Mapinduzi ndio jina la Pemba likaanza kusikika na kuwa maarufu baada ya Muungano na Tanganyika.

Lete nakala Mkuu tuthibitishe hayo ya Serikali ya Unguja.
 
hivi ni kwa nini hawataki tujadili suala la Muungano? kwanini ni lazima Muungano ulindwe kwa gharama yeyote? ni maslahi ya wananchi wa hizi pande mbili au watawala? hivi tuliungana nini? na ili iweje? je tumefanikiwa au la? kwa nini watu wanalalamika sisi tunalazimisha tu? kuna nini kwenye muungano?
Zanzibar! zanzibar! tumechoka kama wanataka kwenda si waende? Nyerer na Karume by the way hawapo, wao ndo wanajua walichounganisha! SISI HAYATUHUSU HIVYO YASITUUMIZE VICHWA! EBO!!!!!!!!!!
 
Hivi Zanzibar wangependa kuwa na pasi zao za kusafiria kwenda ng'ambo kwa sababu wao ni nchi vile vile na hakuna sababu ya kutumia pasi ya Tanganyika?

Mwanakijiji printing machine za passport ziko mbili Tanzania moja Dar makao makuu ya Uhamiaji na nyingine Zanzibar. Zanzibar wanajitegemea kutoa passport kwa maombi yote yaliyoanzia Zanzibar. Tena ni kutokujua tu hebu fikiria bara nzima ina printing Unity ya Pass moja huku Zanzibar pamoja na udogo wake ina machine moja kulinganisha na bara. Huu ni upendelea na kama nia ni kuwa na kava la Passport lilioandikwa Zanzibar sawa lakini kama ni unafuu wa kupata passport kwa wakati na kwa haraka basi Zanzaibar wana nafuu. Duru zinasema kuwa wakati mwingine printing mashine ya bara inazidiwa maombi mengi, then huwa wanatumwa maofsa Zanzibar kuprint passport huku wakilipwa night
 
Sijui ni Zanzibar ipi wanaitaka maana hata mapinduzi sasa wanasema ni ya Nyerere, lakini wanasherehekea kila mwaka na waasisi wao wanawaenzi.Tatizo la Wazanzibar wengi ni kuimba nyimbo wasizojua tungo zake. Maswali ya MM hakuna anayejibu bali tunasikia wanaonewa.Inasikitisha kuwa hakuna Mzanzibar anayeongelea kwa uchache faida za muungano.Sidhani muungano huu ni dudu linalaowaumiza Wazanzibar bila kuwa na hata faida moja.
Hii inatokana na kulishwa chuki ambazo ukiuliza hakuna anayeweza kuzifafanua, lakini zipo mioyoni mwao kwasababu ya kupandikizwa tu.

Nimefauatilia majadiliano mengi ya Wazanzibar, wao wanataka Tanganyika irudi, na sijui ni kwanini kwasababu lengo lao ni 'kuirudisha' Zanzibar. Hili la Tanganyika ni la Watanganyika na Tanganyika au Tanzania zinaweza kubaki hivyo endapo wahusika watakubali, ni majina tu.
Wanzanzibar hawasemi hatutaki muungano, wanachosema ni kuwa muungano kama upo uwe wa mambo fulani. Hii maana yake ni kuwa hawataki muungano lakini wanataka ushirikiano kwa mambo wanayodhani nje ya muungano yatawaumiza sana. Wanajua wazi kuwa ni kupitia muungano kuna fursa wanazofaidika nazo,lakini wamependikizwa chuki ya kuchukia tu hata yale mema yanayotokana na muungano, na kuaminishwa kuwa kusema hili ni faida ya muungano ni sawa na kufru na dhambi mbele ya S.W.T.

Sioni kwanini walalame, wana baraza la wawakilishi linalofanya kazi kikamilifu na kubadili kila wakitakacho. Wanashindwa nini kuamua mambo ya muungano? mfano ni kuzuia wabunge wa JMT kutoka Zanzibar, kumrejesha makamu wa rais JMT, wao kuondoka bara na kurejea kwao, kuwatimua wabara kutoka visiwani, kutangaza pesa yao kama wimbo wao wa taifa n.k.

Nimekuwa nauliza hili swali mara nyingi na sitachoka, Wazanzibar niambieni Mtanganyika ataathirika vipi kwa kuvunjika muungano! tukizingatia kuwa Wazanzibar 500,000 wanaishi bara wana ajira na biashara, na wanafaidika na huduma zote za kodi za wabara kama elimu ya juu n.k. Tafadhali nifahamisheni, Tanganyika itaathirika vipi.
 
Back
Top Bottom