Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #81
Mtu mzima wacha ujinga ,hivi kuna pasi za Tanganyika ? au ndio wataka tuburuza sie tusio na pasi ?
Mnapenda kusafiria Pasi za Jamhuri ya Muungano wa TAnzania au mnataka Nchi ya Zanzibar iwe na pasi zake za kusafiria? ni swali rahisi ambalo halihitaji kumuitwa mtu mjinga au vyovyote vile.