Ni wenye pesa tu ndo watakaohudhuria mahafali ya 40 UDSM

Watoto wa siku hizi hamtaki kuambiwa, kama unashindwa kulipa 45 degree haina msaada kwako si bora ufundishe hata tuition uswahilini uokote. Kuliko kulalamika vitu vilivyo ndani ya uwezo manake ata demu mkali hung'oi utataka favour
 
kazi gani wanalipa pesa hiyo? Na mtu anayelipwa mshahara huo anakuwa na taaluma gani?

Labda shamba boy na house girl?

Hivi mtu wa kulipwa 45,000 kwa mwezi na taaluma yake yupo kweli? Hebu huyu bwana aache uzembe wa kufikiri. Haya ndo matatizo ya elimu ya TZ mtu unatoka chuo kikuu hata huwezi kuwaza cha kufanya mpaka usaidiwe na wazazi! Hii ni aibu! Yaani hapo utakuta mtu anawaza tu kuajiriwa.

Hivi wana muda gani tangu watoke chuoni? Yaani miezi yote ya kukaa nyumbani wamebweteka tu!! Unakuta jitu zima linabaki kuchora pembetatu tu yaani Chai asubuhi - Mitaani - chakula cha mchana, bila kuwaza kitu cha kumwingizia pesa japo kidogo. Sasa unaona matokeo yake 45,000 inakuwa shughuli kuipata.

Ukikosa ndugu yangu jikalie tu nyumbani maadamu cheti chako utapata wala isikusumbue sana!
 
Ninyi msihangaike na majoho, kama huna usihudhurie,hakuna kinachopungua.

Tatizo watu wanataka sura zao zionekane kwenye picha zilizotundikwa chini, kwenye tv, kwenye magazeti na wazungumziwe kwenye midomo ya watu kwamba 'fulani alikwepo kwenye graduu' na kingine hawataki sababu ijulikane kwamba ni UKOSEFU WA SHILINGI 45,000/-
 
Labda shamba boy na house girl?

Hivi mtu wa kulipwa 45,000 kwa mwezi na taaluma yake yupo kweli? Hebu huyu bwana aache uzembe wa kufikiri. Haya ndo matatizo ya elimu ya TZ mtu unatoka chuo kikuu hata huwezi kuwaza cha kufanya mpaka usaidiwe na wazazi! Hii ni aibu! Yaani hapo utakuta mtu anawaza tu kuajiriwa.

Hivi wana muda gani tangu watoke chuoni? Yaani miezi yote ya kukaa nyumbani wamebweteka tu!! Unakuta jitu zima linabaki kuchora pembetatu tu yaani Chai asubuhi - Mitaani - chakula cha mchana, bila kuwaza kitu cha kumwingizia pesa japo kidogo. Sasa unaona matokeo yake 45,000 inakuwa shughuli kuipata.

Ukikosa ndugu yangu jikalie tu nyumbani maadamu cheti chako utapata wala isikusumbue sana!

mkuu usichukulie mambo kwa ujumla, kumbuka watu wanaishi ktk mazingira tofauti, na sidhan kama hawana shughuli yeyote ya kujikimu, kinachoongelewa ni uhalali wa hiyo 45,000 ili wakuazime hilo gauni. Kwangu bado hawajanishawishi, siwez wapa pesa watu wanaokula kuku, utumbo mpaka miguu.
 
Labda shamba boy na house girl?

Hivi mtu wa kulipwa 45,000 kwa mwezi na taaluma yake yupo kweli? Hebu huyu bwana aache uzembe wa kufikiri. Haya ndo matatizo ya elimu ya TZ mtu unatoka chuo kikuu hata huwezi kuwaza cha kufanya mpaka usaidiwe na wazazi! Hii ni aibu! Yaani hapo utakuta mtu anawaza tu kuajiriwa.

Hivi wana muda gani tangu watoke chuoni? Yaani miezi yote ya kukaa nyumbani wamebweteka tu!! Unakuta jitu zima linabaki kuchora pembetatu tu yaani Chai asubuhi - Mitaani - chakula cha mchana, bila kuwaza kitu cha kumwingizia pesa japo kidogo. Sasa unaona matokeo yake 45,000 inakuwa shughuli kuipata.

Ukikosa ndugu yangu jikalie tu nyumbani maadamu cheti chako utapata wala isikusumbue sana!

asante saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana..! Biiiiig up, hebu waambie ukweli. Hata beki-tatu wetu halipwi hiyo, analipwa kubwa zaidi. Yaani unamaliza chuo kikuu 45000 unalalamika? Duh! Hii aibu, sijapata kuona, sasa umuhimu wa chuo ni nini. JOB K, thanx umeongea ukweli. Wanapiga pembe tatu tu kila siku.
 
asante saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana..! Biiiiig up, hebu waambie ukweli. Hata beki-tatu wetu halipwi hiyo, analipwa kubwa zaidi. Yaani unamaliza chuo kikuu 45000 unalalamika? Duh! Hii aibu, sijapata kuona, sasa umuhimu wa chuo ni nini. JOB K, thanx umeongea ukweli. Wanapiga pembe tatu tu kila siku.

kwa hyo unataka kusema, mtu akimaliza chuo kikuu mazingira aliyokuwa akiishi kabla ghafla yanabadika? Consumption rate ya jamii inayomzunguka inabadika na shughuli/biashara yeyote atakayoifanya itakuwa kuwa affordable kwa hao watu ndan ya muda mfupi? Kama ni hivyo basi tusingekuwa tunazungumzia umaskin nchi hii. Fikir kwa upana hata kama housegal wenu analipwa zaid ya hicho kiasi. Shukuru Mungu kama hujapitia hali ya kushnda/kulala bila kula.
 
Mpwa japo ni kubwa lakini sio hio uliotaja, ni sh.42,000 na nimelipia leo kwa Masters labda kama undergraduate ni zaidi ya hapo ila kwa Masters ni kiasi hicho, na sisi tulilalamika sana maana at the same time huwezi kupokea thesis-dissertation yako hadi uwe umemaliza ada! Ni maumivu japo ni investment ya maisha!

Hongera Mpwa !
 
changeni tu,kwani pale hill park inatumika elfu ngapi kwa siku.

hivi unatumia kichwa kweli kufikiri, hivi matumiz ya hill park ndiyo yanahalalisha kukodisha hilo gauni kwa pesa yote hiyo...kama mnataka kwenda kumalizia vibanda vyenu, tafuteni stahili nyingine.
 
Sidhani kama ni Mantiki kupandisha kiwango cha kuazimia hayo magauni kwa kiasi hicho??..Nadhani wanacholalamikia ndugu zetu ni Ukubwa wa Ongezeko mfano kama mwaka Jana walikodisha kwa shiling 30,000/ au 25,000/- inakuwa ngumu kumeza yaan ndani ya miezi kumi na mbili kuwe na ongezeko la elfu 15 au 10.
Na hii dhana ya kusema msomi wa Chuo Kikuu hawezi kukosa hiyo amount ni Uzembe wa Kufikiri tu..manake tusijifanye kwamba unapomaliza shule maisha yanachange 'overnight'..tuongee fact jamani
 
Sidhani kama ni Mantiki kupandisha kiwango cha kuazimia hayo magauni kwa kiasi hicho??..Nadhani wanacholalamikia ndugu zetu ni Ukubwa wa Ongezeko mfano kama mwaka Jana walikodisha kwa shiling 30,000/ au 25,000/- inakuwa ngumu kumeza yaan ndani ya miezi kumi na mbili kuwe na ongezeko la elfu 15 au 10.
Na hii dhana ya kusema msomi wa Chuo Kikuu hawezi kukosa hiyo amount ni Uzembe wa Kufikiri tu..manake tusijifanye kwamba unapomaliza shule maisha yanachange 'overnight'..tuongee fact jamani

umeona mkuu, kinachoongelewa ni uhalali wa hiyo amount.
 
kwa hyo unataka kusema, mtu akimaliza chuo kikuu mazingira aliyokuwa akiishi kabla ghafla yanabadika? Consumption rate ya jamii inayomzunguka inabadika na shughuli/biashara yeyote atakayoifanya itakuwa kuwa affordable kwa hao watu ndan ya muda mfupi? Kama ni hivyo basi tusingekuwa tunazungumzia umaskin nchi hii. Fikir kwa upana hata kama housegal wenu analipwa zaid ya hicho kiasi. Shukuru Mungu kama hujapitia hali ya kushnda/kulala bila kula.

hebu tufikirie kwe undani, na sio kulalamika tu. 45000 kwa mtu mwenye mwenye taaluma yake anaweza kupata. Labda awe KULA KULALA ila kwa watoto wa mjini wanaoweza kuhustle na kuipata. Kwanza, kwani lazima ulipe? Utozi huo!
 
Sidhani kama ni Mantiki kupandisha kiwango cha kuazimia hayo magauni kwa kiasi hicho??..Nadhani wanacholalamikia ndugu zetu ni Ukubwa wa Ongezeko mfano kama mwaka Jana walikodisha kwa shiling 30,000/ au 25,000/- inakuwa ngumu kumeza yaan ndani ya miezi kumi na mbili kuwe na ongezeko la elfu 15 au 10.
Na hii dhana ya kusema msomi wa Chuo Kikuu hawezi kukosa hiyo amount ni Uzembe wa Kufikiri tu..manake tusijifanye kwamba unapomaliza shule maisha yanachange 'overnight'..tuongee fact jamani

ila huyu ndugu anacholalamika kuwa watu wengi wameshindwa kupata hiyo pesa.

mpaka sasa ni zaidi ya rafiki zangu kumi wamesema watashindwa kulipa pesa hiyo kwani ni nyingi mno na wengi ni masikini na mpaka sasa hawajapata kazi.
hivyo utofauti upo kati ya maskini na matajiri udsm

kisa hawajapata kazi! Na kuna matabaka udsm. Duh!
 
hebu tufikirie kwe undani, na sio kulalamika tu. 45000 kwa mtu mwenye mwenye taaluma yake anaweza kupata. Labda awe KULA KULALA ila kwa watoto wa mjini wanaoweza kuhustle na kuipata. Kwanza, kwani lazima ulipe? Utozi huo!

sasa kama ni kula kulala we unadhan anashindwa kulipiwa. Watu wanahustle kupa hela ya kodi ya nyumba, maji, umeme na misosi na siyo kunenepesha matumbo ya wachache.
 
Tindikali mbona unalia ndugu yangu? Nawe mlengwa nini? :)

hivi hata wabunge wanapolia kuhusu ukosefu wa dawa, maji nao huwa ni walengwa? Na hili ndilo tatizo letu, huwa tunasubiri yawe upande wetu ndipo tulalamike.
 
Back
Top Bottom