Ni wenye pesa tu ndo watakaohudhuria mahafali ya 40 UDSM

ila huyu ndugu anacholalamika kuwa watu wengi wameshindwa kupata hiyo pesa.



kisa hawajapata kazi! Na kuna matabaka udsm. Duh!

sijakupata mkuu, unataka ufafanuzi au unauliza swali?
 
Mtoa maada unaweza kutuelimisha rationale ya joho na graduation kwenye taaluma au ndo nyie mnaolilia wazazi wenu kutowanunulia nguo za xmas,idd,pasaka na mwaka mpya? Teh wewe kweli umebaka elimu tena UDSM! Hapa ndo tunapoprove kwamba UD hamna kitu bora sisi wa Teoflo Kisanji University.
 
Mtoa maada unaweza kutuelimisha rationale ya joho na graduation kwenye taaluma au ndo nyie mnaolilia wazazi wenu kutowanunulia nguo za xmas,idd,pasaka na mwaka mpya? Teh wewe kweli umebaka elimu tena UDSM! Hapa ndo tunapoprove kwamba UD hamna kitu bora sisi wa Teoflo Kisanji University.

kweli kutoka kunahitaji ubunifu, naona mtoto wa TEKU umepata cha kuongea.
 
Acha ulimbuken wewe,45,000 ndo unaona ni kidogo. Watanzania maisha yao ni magumu kupita maelezo. Hata kama umepata kajikaz bt kumbuka wadogo na ndugu zako wanakutegemea kwa kila kitu. 45 siunamlipia dogo ada ya mwaka mzima shule ya kata bwana.. Huu ni wiz tena wa wazwaz. Watu weng wanashindwa kuaford hizo gharama dats y hawahudhurii hayo mahafali. UD NA VYUO VINGINE ACHENI WIZI
 
Acha ulimbuken wewe,45,000 ndo unaona ni kidogo. Watanzania maisha yao ni magumu kupita maelezo. Hata kama umepata kajikaz bt kumbuka wadogo na ndugu zako wanakutegemea kwa kila kitu. 45 siunamlipia dogo ada ya mwaka mzima shule ya kata bwana.. Huu ni wiz tena wa wazwaz. Watu weng wanashindwa kuaford hizo gharama dats y hawahudhurii hayo mahafali. UD NA VYUO VINGINE ACHENI WIZI

Hao hawaazimishi majoho, "wanauza"!
Mimi nd'o maana nilisepa nalo kwa thamani ya sh. 10,000.
Nimeliweka kwenye kabati maalumla vioo kwa ukumbusho.
Mtu akitaka kulishika tu anatoa pesa kwanza na hakuna anayejaribu kulivaa kwa sababu kufanya hivyo ni sawa na kujiita Dr. Ndodi au Professor Majimarefu. Teheteheteheeeeeeeeeeee!
 
Hao hawaazimishi majoho, "wanauza"!
Mimi nd'o maana nilisepa nalo kwa thamani ya sh. 10,000.
Nimeliweka kwenye kabati maalumla vioo kwa ukumbusho.
Mtu akitaka kulishika tu anatoa pesa kwanza na hakuna anayejaribu kulivaa kwa sababu kufanya hivyo ni sawa na kujiita Dr. Ndodi au Professor Majimarefu. Teheteheteheeeeeeeeeeee!

mkuu umenena, dili ni kusepa nalo tu.
 
Haya Majoho kadri yanavyo shuka adhi ndivyo yanazidi kupandishwa bei za kuyakodi, siku hizi naona yanavaliwa na wototo wanaohitimu masomo ya awali, primary na sekondary, hivyo kwa vile yameingiliwa kwa demand yake kuwa juu ndiyo maana bei zinapanda: cha msingi ni kwa wanaohitimu Vyuo vikuu kuyasusa moja kwa moja.
 
Kwani lazma kuvaa joho! Mlimani mnajisifu kwa migomo, haya gomeni kutoa 45,000/= tuone kama hayo mahafali watafanya UDASA wenyewe.
 
Wewe na rafiki zako njooni niwaingilie kinyume na maumbile halafu niwalipie,maana ndipo mnapoelekea,tangu july hadi leo hamjapa 45K?
 
Wewe na rafiki zako njooni niwaingilie kinyume na maumbile halafu niwalipie,maana ndipo mnapoelekea,tangu july hadi leo hamjapa 45K?

senior expert mzima, bado una mtazamo wa namna hii!!!, duh! nimekuogopa.
 
Pasa za kuchangia harusi na kitchen party wa TZ wanazo na wanachangia sana. Sasa Waambie au chapisha kadi za kuomba mchango wa graduation yako na weka vikao kufanikisha hilo.

Kwani ni kumbukumbu nzuri sana hususan kwa wale undergraduate.
 
Kiwango cha pesa kilichowekwa na chuo kikuu cha dar es salaam kwa ajili ya kukodi majoho kwa ajili ya mahafali ambacho ni zaidi ya 45000; kimeonekana kuwa tatizo miongoni mwa wahitimu wengi. mpaka sasa ni zaidi ya rafiki zangu kumi wamesema watashindwa kulipa pesa hiyo kwani ni nyingi mno na wengi ni masikini na mpaka sasa hawajapata kazi.
hivyo utofauti upo kati ya maskini na matajiri udsm

Hiki kiwango naamini haijazingatia hali halisi ya wahitimu walio wengi!

Btw, hii ni hela inatumiwa kufanyia nini hasa? Pengine hili lingekuwa wazi zaidi...na pengine lingepunguza baadhi ya manung'uniko.
 
Anaweza kulipia masomo kwa miaka 4, lakini hawawezi kuchangia kulitunza hilo joho lije kuvaliwa na wengine watakaomfuatia kusoma hapo! Hawezi kuona kuwa hiyo ni sehemu ya gharama za kupata kilichompeleka shule ili aingize kwenye bajet ya masaomo? Duh., kuandaa wataalaam wa TZ iko kazi kwelikweli..
Yaani 45,000 tu? Aaaaah jamani
 
Hivi ni lazima kwenda?

Kama hakuna anayelazimishwa kwa nini ujipe taabu ya kuwaza yote hayo? Halafu shida nyingine ya wanaolalamika wanawasemea na wengine, hii ndo taabu! Wewe kama huwezi kuilipa jikalie nyumbani usubiri kufuata cheti chako bwana! Hebu msitusumbue sisi!

Kwa taarifa yenu hiyo (Majoho) huwa ni miradi ya watu. Hebu jaribuni kufuatilia mnaweza kukuta kikundi cha baadhi ya watumishi hapo chuoni ndo wanasimamia huo mradi. Hebu fikria mko wanafunzi 2,000 mnaomaliza X 45,000/= si 90M hiyo? Sasa watu hawajatoka hapo? Na hayo majoho siyo kila mwaka wanashona mapya unaweza yakuta yana miaka kibao. Sasa kila mwaka jamaa wanavuna 90M. Kikubwa ukiona unaibiwa unaacha kwenda full stop!!!!!!

Chuoni kwetu ulikuwa mradi wa kikundi cha akinamama wa hapo chuoni. Sijui hapo kwenu kukoje? Ila kama ni mradi wa Serikali yenu ya wanafunzi, wakuu naomba mlipe hiyo pesa.
 
Hivi ni lazima kwenda?

Kama hakuna anayelazimishwa kwa nini ujipe taabu ya kuwaza yote hayo? Halafu shida nyingine ya wanaolalamika wanawasemea na wengine, hii ndo taabu! Wewe kama huwezi kuilipa jikalie nyumbani usubiri kufuata cheti chako bwana! Hebu msitusumbue sisi!

Kwa taarifa yenu hiyo (Majoho) huwa ni miradi ya watu. Hebu jaribuni kufuatilia mnaweza kukuta kikundi cha baadhi ya watumishi hapo chuoni ndo wanasimamia huo mradi. Hebu fikria mko wanafunzi 2,000 mnaomaliza X 45,000/= si 90M hiyo? Sasa watu hawajatoka hapo? Na hayo majoho siyo kila mwaka wanashona mapya unaweza yakuta yana miaka kibao. Sasa kila mwaka jamaa wanavuna 90M. Kikubwa ukiona unaibiwa unaacha kwenda full stop!!!!!!

Chuoni kwetu ulikuwa mradi wa kikundi cha akinamama wa hapo chuoni. Sijui hapo kwenu kukoje? Ila kama ni mradi wa Serikali yenu ya wanafunzi, wakuu naomba mlipe hiyo pesa.

mkuu mbona unafanya unachokikataza? Unakataza kusemea wengine, wakati huo huo unasema "msitusumbue wengine", wasiwasumbue wewe na nani?
 
Mtoa maada unaweza kutuelimisha rationale ya joho na graduation kwenye taaluma au ndo nyie mnaolilia wazazi wenu kutowanunulia nguo za xmas,idd,pasaka na mwaka mpya? Teh wewe kweli umebaka elimu tena UDSM! Hapa ndo tunapoprove kwamba UD hamna kitu bora sisi wa Teoflo Kisanji University.

Teoflo kisanji ni kitugani?
 
Wewe na rafiki zako njooni niwaingilie kinyume na maumbile halafu niwalipie,maana ndipo mnapoelekea,tangu july hadi leo hamjapa 45K?

Wewe inabidi upelekwe kwanza milembe alafu urudi hapa ili nijue ni mzima au huna akili timamu. acha matusi hadharani. AIBU YAKO.
 
Back
Top Bottom