Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Sijui huu ni mkakati Maalum wa Spika Dhidi ya wabunge wa Chadema na wapinzani?
ktk hotuba ya bajeti inavyoendelea utagundua kuna mkakati umepangwa na CCM dhidi ya wabunge wanaonekana wanazungumza sana kwa ukali kutoka chadema.
Mbunge wa Chadema akimaliza kuchangia, ameandaliwa mbunge maalum wa CCM kwa kazi maalum na anaelingana sifa za maneno na kejeli kama alivyo wa chadema.
Kwa mfano, alipomaliza Lissu akaja Mchemba. na sote tulivyoona
alipomaliza kafulila- Akaja Lisinde. na kila mtu aliona jinsi ya Lusinde alivyombana kafulila huku Naibu SPika akicheka na kumrudisha Lusinde kurudia kauli yake huku akidai hajasikia.
alipotaka kumaliza Mnyika, kaandaliwa Mbunge machachari wa Mara.
Akimaliza Msigwa. unaweza ukaona nyuma yake yupo mbunge mwengine wa CCM anaelingana kwa kejeli na vijembe bungeni
nadhani jinsi ya wachangiaji wa Chadema walivyopangwa. basi nyuma kuna beki aliepewa kazi ya kukaba. na Mpaka sasa washambuliaji wa Chadema wamekwama
ktk hotuba ya bajeti inavyoendelea utagundua kuna mkakati umepangwa na CCM dhidi ya wabunge wanaonekana wanazungumza sana kwa ukali kutoka chadema.
Mbunge wa Chadema akimaliza kuchangia, ameandaliwa mbunge maalum wa CCM kwa kazi maalum na anaelingana sifa za maneno na kejeli kama alivyo wa chadema.
Kwa mfano, alipomaliza Lissu akaja Mchemba. na sote tulivyoona
alipomaliza kafulila- Akaja Lisinde. na kila mtu aliona jinsi ya Lusinde alivyombana kafulila huku Naibu SPika akicheka na kumrudisha Lusinde kurudia kauli yake huku akidai hajasikia.
alipotaka kumaliza Mnyika, kaandaliwa Mbunge machachari wa Mara.
Akimaliza Msigwa. unaweza ukaona nyuma yake yupo mbunge mwengine wa CCM anaelingana kwa kejeli na vijembe bungeni
nadhani jinsi ya wachangiaji wa Chadema walivyopangwa. basi nyuma kuna beki aliepewa kazi ya kukaba. na Mpaka sasa washambuliaji wa Chadema wamekwama