Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,178
- 41,996
jk ni dhaifu: mnyikakaskazini ijitenge - Nassari
wavuta sigara na wanywa pombe wakioko serikali mapato yatatoka wapi?: kafulila
jk ni dhaifu: mnyikakaskazini ijitenge - Nassari
ushindani bungeni ni hoja sio vijembe na taarabu.wabunge wetu kwa sasa hawana hoja wanaimba tu taarabu
Sijui huu ni mkakati Maalum wa Spika Dhidi ya wabunge wa Chadema na wapinzani?
ktk hotuba ya bajeti inavyoendelea utagundua kuna mkakati umepangwa na CCM dhidi ya wabunge wanaonekana wanazungumza sana kwa ukali kutoka chadema.
Mbunge wa Chadema akimaliza kuchangia, ameandaliwa mbunge maalum wa CCM kwa kazi maalum na anaelingana sifa za maneno na kejeli kama alivyo wa chadema.
Kwa mfano, alipomaliza Lissu akaja Mchemba. na sote tulivyoona
alipomaliza kafulila- Akaja Lisinde. na kila mtu aliona jinsi ya Lusinde alivyombana kafulila huku Naibu SPika akicheka na kumrudisha Lusinde kurudia kauli yake huku akidai hajasikia.
alipotaka kumaliza Mnyika, kaandaliwa Mbunge machachari wa Mara.
Akimaliza Msigwa. unaweza ukaona nyuma yake yupo mbunge mwengine wa CCM anaelingana kwa kejeli na vijembe bungeni
nadhani jinsi ya wachangiaji wa Chadema walivyopangwa. basi nyuma kuna beki aliepewa kazi ya kukaba. na Mpaka sasa washambuliaji wa Chadema wamekwama
Kwa taarifa yako Mnyika kwenye medani za siasa tokea jana yupo juu kichizi mwaka huu wenu mtapiga yowe sanaMbona bunge lililopita Dr Slaa alijizolea umaarufu mkubwa kwa wananchi,hii ni kwa kuwa alikuwa anajenga hoja sio kucheza ngonjera kama hizi za kina mnyika
hilo utapima mwenyewe na kujua upo upande gani,mchezaji au mpiga ngoma
Sijui huu ni mkakati Maalum wa Spika Dhidi ya wabunge wa Chadema na wapinzani?
ktk hotuba ya bajeti inavyoendelea utagundua kuna mkakati umepangwa na CCM dhidi ya wabunge wanaonekana wanazungumza sana kwa ukali kutoka chadema.
Mbunge wa Chadema akimaliza kuchangia, ameandaliwa mbunge maalum wa CCM kwa kazi maalum na anaelingana sifa za maneno na kejeli kama alivyo wa chadema.
Kwa mfano, alipomaliza Lissu akaja Mchemba. na sote tulivyoona
alipomaliza kafulila- Akaja Lisinde. na kila mtu aliona jinsi ya Lusinde alivyombana kafulila huku Naibu SPika akicheka na kumrudisha Lusinde kurudia kauli yake huku akidai hajasikia.
alipotaka kumaliza Mnyika, kaandaliwa Mbunge machachari wa Mara.
Akimaliza Msigwa. unaweza ukaona nyuma yake yupo mbunge mwengine wa CCM anaelingana kwa kejeli na vijembe bungeni
nadhani jinsi ya wachangiaji wa Chadema walivyopangwa. basi nyuma kuna beki aliepewa kazi ya kukaba. na Mpaka sasa washambuliaji wa Chadema wamekwama
kaskazini ijitenge - Nassari
kwa hiyo dawa yao imeshapatikana????
hyo ina maana CCM ina majembe sema tu ilikuwa haiyatumii