Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Zingatia zaidi vyakula asilia na achana na vyakula artificial ambavyo tunavifagilia kwa kuwa ni vitamu vitamu
Zingatia maelezo haya ya amigooo kumbuka zamani babu zetu walikula vyakula asilia na "chukuchuku" walikuwa wanahudumia wake zao woote hata wakiwa nane husikii manung'uniko wala kutafuta power nzagamba au viagra aka "umkuyati umwinula mgosi agona"