ukweli mtuputafuna karanga mbichi kwa sana. Zilimsaidiia sana rafiki yangu
nawasalim woote wana jf. Naomba kujuzwa ni vyakula vp hasa mwana mume anaweza kuvila kuboresha ndoa yake badala ya kutumia dawa za kichina na zinginezo ambazo zina sadikika kuleta madhara. nawasilisha
nawasalim woote wana jf. Naomba kujuzwa ni vyakula vp hasa mwana mume anaweza kuvila kuboresha ndoa yake badala ya kutumia dawa za kichina na zinginezo ambazo zina sadikika kuleta madhara. nawasilisha
Na hivi vyakula vya GMO yani itafika siku wanaume ukifanikiwa kukaa juu ya kifua for 10 minutes unashangalia kama umeshinda jackport! Nawaonea huruma watoto wetu.
Vyakula vya Gmo ndo vp mkuu mbona sivitambui?
mkuu sikuungi mkono hata kidogo ?Hahahaaaaaaaaaaaa watu wanadanganyana sana vijiweni....Mwanamme wa kawaida umchukua dkk 1 hadi dkk 5 kufika mshindo sasa hizo dkk 10 zote za nini? Kama nungayembe unataka kulikomoa(kufaidi hela yako) hapo sawa.
Tafuna karanga mbichi kwa sana. Zilimsaidiia sana rafiki yangu