Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Nimekuwa nikijiuliza, ni vitu gani vinavutia katika maeneo tofauti hapa duniani. Je ni kitu gani chenye kuvutia kukiangalia na labda ukawa unatamani kwenda kukiona mara kwa mara, inaweza ikawa ni katika eneo unaloishi, wilaya, mkoa au hata nchi.
Inaweza ikawa ni lugha inayozungumzwa hapo, milima na mandhari, mito na mabonde, sherehe za kimila zinazofanyika kwa msimu kwa mfano kule Zanzibar wana sherehe za Mwakakogwa, au kitu chochote ambacho uliwahi kukiona mahali fulani kikakuvutia.................
Kwa mfano, niliwahi kumtembelea rafiki yangu kule Lushoto Tanga, niliyapenda sana mandhari ya kule milimani, hali ya baridi, chemchem na vijito vidogo vidogo natamani sana kama vekesheni yangu ya mwezi huu ningeenda kule.................
Inaweza ikawa ni lugha inayozungumzwa hapo, milima na mandhari, mito na mabonde, sherehe za kimila zinazofanyika kwa msimu kwa mfano kule Zanzibar wana sherehe za Mwakakogwa, au kitu chochote ambacho uliwahi kukiona mahali fulani kikakuvutia.................
Kwa mfano, niliwahi kumtembelea rafiki yangu kule Lushoto Tanga, niliyapenda sana mandhari ya kule milimani, hali ya baridi, chemchem na vijito vidogo vidogo natamani sana kama vekesheni yangu ya mwezi huu ningeenda kule.................