Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

Kuna Tatizo kubwa hasa kwa kina dada, kuchelewa ama kutopokea simu kabisa, kwa kweli nimeshashuhudia watu wakirushiana maneo sana kwa mtu kuchelewa kupokea ama kutopokea kabisa simu,
mwanzo na mimi nilkuwa kwenye huo mkumbo wa kulaumu, lakini baada ya uchunguzi wangu nikaja ona wakina dada/mama wana pilika nyingi sana (kupika, kulea, kufanya usafi, kufua nk) ambazo mara nyingi huwafanya wawe mbali na simu na pia kwa wale wanaoenda maofisini pia unaweza kukuta mwanadada/mama kaweka simu kwenye pochi mpaka asikie mlio ni issue

Hapa ndipo naungana na Great Thinker The Finest, unaweza kugombana na mtu kwa sababu hakupokea simu na yote hayo ni 'Dirty Mind' zako tu, unaweza kukwazika sana kwenye issue ya simu, lakini mwenzio anakupenda kufa na anakutunzia heshima vibaya mno

anyway kwa kweli ni bonge la ushauri umeutoa The Finest
 
well said finest but we do most of the time take advantage ya mapenzi wanayotupa wale wanaotupenda sana kusamehe ni muhimu lakini mara nyingi yale makovu tunayoweka huwa ni ngumu sana kufutika ndio ile watu wanaendelea kuwepo tu kwa sababu labda ya watoto ,mtazamo wa jamii etc .

tujitahidi sana kuacha kuwafanyia mizaha wale wanaotupenda.mapenzi yakiingia majeraha ni sumu isiyotibika you will never be the same
 
Kuna Tatizo kubwa hasa kwa kina dada, kuchelewa ama kutopokea simu kabisa, kwa kweli nimeshashuhudia watu wakirushiana maneo sana kwa mtu kuchelewa kupokea ama kutopokea kabisa simu,
mwanzo na mimi nilkuwa kwenye huo mkumbo wa kulaumu, lakini baada ya uchunguzi wangu nikaja ona wakina dada/mama wana pilika nyingi sana (kupika, kulea, kufanya usafi, kufua nk) ambazo mara nyingi huwafanya wawe mbali na simu na pia kwa wale wanaoenda maofisini pia unaweza kukuta mwanadada/mama kaweka simu kwenye pochi mpaka asikie mlio ni issue

Hapa ndipo naungana na Great Thinker The Finest, unaweza kugombana na mtu kwa sababu hakupokea simu na yote hayo ni 'Dirty Mind' zako tu, unaweza kukwazika sana kwenye issue ya simu, lakini mwenzio anakupenda kufa na anakutunzia heshima vibaya mno

anyway kwa kweli ni bonge la ushauri umeutoa The Finest

Naitafutia hii kitu dawa yake bana hebu niambiedawa yake maana bana mimi mtu akichelewa kupokea simu dah!!
 
well said finest but we do most of the time take advantage ya mapenzi wanayotupa wale wanaotupenda sana kusamehe ni muhimu lakini mara nyingi yale makovu tunayoweka huwa ni ngumu sana kufutika ndio ile watu wanaendelea kuwepo tu kwa sababu labda ya watoto ,mtazamo wa jamii etc .

tujitahidi sana kuacha kuwafanyia mizaha wale wanaotupenda.mapenzi yakiingia majeraha ni sumu isiyotibika you will never be the same

Sina cha kuongeza umemaliza kila kitu :clap2::clap2::clap2:
 
Kwa mfano mi kunywa valuu sio kwamba eti lengo ni kumkera mamaa, ni mambo ya kibinadamu tuuu
 
Kwa mfano mi kunywa valuu sio kwamba eti lengo ni kumkera mamaa, ni mambo ya kibinadamu tuuu
The Following User Says Thank You to GY For This Useful Post:

The Finest (Today)

MKONO MTUPU HAULAMBWI NIDAI SCOTCH MBILI FOR THIS USEFUL POST BY THE HII POST UMEITUMA FROM SMART BLACK LABEL AU VICEROY???
 
The Following User Says Thank You to GY For This Useful Post:

The Finest (Today)

MKONO MTUPU HAULAMBWI NIDAI SCOTCH MBILI FOR THIS USEFUL POST BY THE HII POST UMEITUMA FROM SMART BLACK LABEL AU VICEROY???

Sent from blacklabel, smartdrink powered by dowans

tatizo haya mavaluu hatuwezi kuya DO-ONCE
 
unamkera seme hana namna inabidi avumilie au kama vipi ajidangaye anauzika kirahisi akuachee aona kama hao boys boys watamfwata tena.
Vipi yeye akiamua kuvuta sigara nyota?

Ni mambo ya kibinadamu tuu hata bibi yangu anavuta vyota
 
Wakati mwingine mtu anaweza kufanya mambo ya kukuumiza moyo na sio kwamba anafanya makusudi bali ni kujisahau kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu

Unajua katika mapenzi unaweza ukaishi na mtu akakupa tabu sana,ila uvumilivu ni
kitu cha busara,kwani inawezekana akakusumbua sana,akukera kutokana na mapungufu yake ya kibinadamu lakini bado unahitaji kuendelea kuwa naye maana licha ya kukukera ,ila anakupenda kwa dhati. kumbuka kuwa uvumilivu ni nguzo ya pekee ili tuweze kufika mbali katika mahusiano ukizingatia kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha.

Tusiachane jamani embu fikiria utaacha au kuachwa na wangapi kama ukiwa si
mvumilivu,wakati mwingine mtu anaweza akakukera lakini hakukusudia bado anahitaji uwepo wako hivyo ni muhimu kumsaidia kutokana na matatizo aliyonayo huenda kuna siku ataelewa vipi aishi na mwenzie,ingawa inawezekana ikachukua muda mrefu hasa kama atakuwa hapendi kufanyia kazi ushauri wa mwenzake.

UVUMILIVU NI WA MUHIMU KWANI VINGINEVYO HATUTAFIKA NA PIA NI MUHIMU KUYAGUNDUA MAPUNGUFU ULIYONAYO ILI UJIREKEBISHE.


Ni hayo tu.

Hapo kwenye red mhh, :coffee: Asante mkuu.
 
Kwa mfano mi kunywa valuu sio kwamba eti lengo ni kumkera mamaa, ni mambo ya kibinadamu tuuu

Kweli kabisa....mi nikipiga vichupa vyangu viwili,akili na nguvu ya kufanya kazi za nyumbani baada ya uchovu wa kazi ndo inakuwepo...

Naipenda valuuu jamani......l.o.l
 
Back
Top Bottom