The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #61
Ha ha ha ha haKijana acha fujo unajua tutashindwa kuvumiliana ujue
Ukishindwa kumvumilia, mvulie!
Ha ha ha ha haKijana acha fujo unajua tutashindwa kuvumiliana ujue
Ukishindwa kumvumilia, mvulie!
GY, Dena na Michelle wanachakachua umeona eheee Chauro
Haswaaaaaaaaaa umenena mkuu. Umeona Michelle kanikumbusha Valuu mie na anajua huku hazipo yaani huyu bwana sijui yukoje
mmmhhhhhhhh
naogopa kusema neno.....
Kijana acha fujo unajua tutashindwa kuvumiliana ujue
Ukishindwa kumvumilia, mvulie!
NIMEIPENDA.....kwako uhuru unamaanisha nini GY???
Say something sweetheart please
hebu ongea bana....i'll take anything from you....l.o.l
Pole Dia ila fanya ivi PUSH: P - Pray U- Until S - Something H - Happens
naomba usikasirike mpenzi
lakini kwa kiasi fulani kidogo sana sikubaliani na wewe
Habari yake valuuuu??!!! Dah michelle umenipa hamu mie ahhh
Kumbe una adabu hivyo sikujua dah!!!
mi pia nina hamu,unaonaje tuvuliane Dena??:msela:
Hivi ulikuwa hujagundua thread za siku hizi zilivyooo? Ukianzisha ikishachangiwa na watu kama 20 tu kwisha habari yake
INAGEUKA CHAT ROOM
mi pia nina hamu,unaonaje tuvuliane Dena??:msela:
Michelle hapo juu control spidi kidogo tafadhali.....
Tuvuliane kabisa na hii hamu tuliyonayo ni mwisho
Just say it mpenzi najua kwamba sio kila siku tuko wote positive on what we are thinking, just go ahead and say itnaomba usikasirike mpenzi
lakini kwa kiasi fulani kidogo sana sikubaliani na wewe
Ndo maana yake Dena....TF katoa ushauri....so hakuna ziada...ni ku-chat tu sasa.....life is short na uhuru kwangu unamaanisha kuchat JF na watu nisiowajua.......:laugh::laugh: