Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
umri wa kuoa kwa mujibu wa wataalamu
27 had 30
Hakuna mtaalam wa ndoa wewe, ndoa inahitaji maturity. Kuna vijana wanapevuka kiakili wakiwa U20 na wanaaminika na jamii, ilhali kuna watu wana miaka 40 na bado ni wapumbavu.