mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,440
yaan unaniombea mabaya ee?
Noo by the tym nafika 35 mtakua mmeshaachana...!!!!
Noo by the tym nafika 35 mtakua mmeshaachana...!!!!
Noo by the tym nafika 35 mtakua mmeshaachana...!!!!
Ndoa miaka mitano,
Mtoto wa kwanza miaka mitano,
vip mkeo ulimjua kabla hata ya kuoa nini?:smash:
yaan unaniombea mabaya ee?
Mabaya kwake ni mema kwangu!!!!:nod:
asante ndugu, wife alikuwa na miaka 22 kama mimi
umri huo tutakua na watoto wetu watau..ama vipi honey mwananthropolojia
Hakuna kipya?? go home you are drunk MKATA KIU!!!!
Wakati wahenga wanakuambia the beautiful ones aren't yet born..why hurry! ;-)
Thank you..umeliona nililoliona!!!!:smash::smash:
ni kweli wakati ninaoa nilikuwa tayari ana ujauzito wangu...ila no body forced me to marry her..it was my decision
...hata nikitaka kuoa we nambie ntamuoa nani..aaaaargghhhh...mi nimeahidiwa miaka 80.
35 - get married.
36 - first kid.
39 - second. (twins, I close)
42 - Third.
.
.
.
.
.
kulea
.
.
.
.
kulea
.
.
.
.
i die.:smash:
in the word i have highlited.....you want to brand me as a muongo na mtu ninaefanya mambo kwa kufwata upepo.........but am not of that type and .....what do i benefit of lying you??...just belive what i say or ignore!!
Bora ww 22 mm nimeweka jiko na miak 20 na kaka zangu bdo hawajaoa na mm nawasaidia kila kitu..kuna katabia eti hmna kuoa mpka kaka zako waoe ujinga tu