Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Kwani huyo CAG naye si Fisadi tu, mahesabu kibao ya serikali yanapotea na hatoi taarifa, huyo naye Fisadi tu
Mimi nadhani Zitto katoa mwanga .So yule mtoa mada tena alikuwa na posts kama 2 ama tatu .Inawezekana kaja na kazi maalumu .Pokeeni ushauri na tuone akija atasema nini .Ama kama yupo anasoma ajitokeze ajibu hoja za Zitto .