Kesi iliyofunguliwa na jopo la wanasheria wazalendo kule Mbeya kupinga mkataba wa bandari kila mtanzania ana hamu ya kufahamu nini kitaendelea mahakamani katika kesi hiyo.
Lkn cha kushangaza media za hapa bongo zimekaa kimchongo, kichawa na kinafiki badala ya kujipanga na kurusha kesi hiyo moja kwa moja.
Nchi hii Ina mambo ya kijinga kuanzia ikulu mpk mitaani.
Bora ningezaliwa mbwa Ulaya.
Lkn cha kushangaza media za hapa bongo zimekaa kimchongo, kichawa na kinafiki badala ya kujipanga na kurusha kesi hiyo moja kwa moja.
Nchi hii Ina mambo ya kijinga kuanzia ikulu mpk mitaani.
Bora ningezaliwa mbwa Ulaya.