Ni sheria zipi nchini Tanzania zinazokataza Mahusiano ya Kimapenzi kati ya ndugu?

Sheria Na. 4 ya 2004 Jedwali. 158(1 )(a) kujamiiana kwa maharimu (iwapo mwanamke ana umri chini ya miaka kumi na nane). Anaweza kukamata bila hati.. Kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka thelathini. Mahakama ya Chini. (1)(b) ... kujamiiana kwa maharimu (iwapo mwanamke ana umri wa miaka kumi na nane na zaidi). Anaweza kukamata bila hati. Kifungo kisichopungua miaka ishirini au faini isiyozidi shilingi mia tatu au vyote kwa pamoja na fidia. Mahakama ya chini (2)…. Iwapo mwanamke ana umri chini ya miaka kumi na mbili. Anaweza kukamata bila hati. Kifungo cha maisha (3)…. . Kujaribu kutenda kosa la kujamiiana baina ya maharimu. Anaweza kukamata bila hati. Kifungo cha miaka miwili. 160 ... Kujamiiana kwa mharimu wa kike.
 
Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Ancestry).
Ni Kanuni ya adhabu (Penal code) vifungu vya 158 na 160, na ufafanuzi wa relationship zenyewe ni 161. just google "Tanzania Penal code" itakuletea, usome hivyo vifungu. inaitwa Incest, sio ancestry.
 
Ni Kanuni ya adhabu (Penal code) vifungu vya 158 na 160, na ufafanuzi wa relationship zenyewe ni 161. just google "Tanzania Penal code" itakuletea, usome hivyo vifungu. inaitwa Incest, sio ancestry.
Yes, shukrani.. Ni kweli nilikosea, ni Incest
 
although, sijui kama inatumika vyema hii sheria, kwasababu kwa mfano waburushi na baadhi ya makabila ya waarabu, wanaoana ndugu kabisa aisee. hadi aibu.
 
Ila I feel good ukioa Dada yako au kuingia kwenye mahusiano na dada yako wa kuzaliwa naye au kufanya maye mapenz serkali inakuchapa Nyundo Ishirini bila huruma (Na hapo akiwa na miaka 18 na zaidi)..

Kwa mujibu wa Kanuni ya Adhabu ya makosa ya Jinai "Penal Code" Kifungu namba 158
 
Noma imekaa vibaya
Hapana Ni kutokana na Sehemu uliyopo tu chief..
Kwa mfano Tanga hiyo ni kitu cha kawaida..
Kuoa Binamu..

Niliwah kwenda Ukerewe kwa wajita na wakerewe kwao Binamu ni Ndugu zaidi ya Mtoto wa Baba yako akiwa wa kike au Ndugu wa upande wa Mjomba wana nguvu kuliko Ndugu wa Upande wa baba..
Yote ni Kutokana na sehemu/mazingira na kabila ulilotoka
 
Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Incest).


(d) WAFUNGA NDOA WASIWE MAHARIMU:
Maharimu ni watu walio na mahusiano ya karibu ya
damu au kindugu.
Wawli wanaoamua kufunga ndoa wasiwe na
uhusiano wa karibu kindugu. Inakatazwa katika
kifungu cha 14 cha Sheria ya ndoa ya mwaka
1971 mtu kuoa au kuolewa na mzazi wake, mtoto
au mjukuu wake, kama ni dada yake, mama au
shangazi au baba wa mjomba wake, baba au mama
wa kambo na mwanaye alyemfanya kuwa mtoto
wake (adopted chld).
 
Habari za wakati huu wakuu,
Bila kupoteza muda, na kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kujua kuhusu sheria za Tanzania zinazokataza mahusiano ya kimapenzi au kuzaliana kati ya ndugu (Incest).
Punguza kutazama porn itakusaidia. Unachokiona kwenye Porn ni uharibifu mtupu. Ukiendelea utakuja kubaka mama au dada yako mwisho wako uwe mbaya.
 
although, sijui kama inatumika vyema hii sheria, kwasababu kwa mfano waburushi na baadhi ya makabila ya waarabu, wanaoana ndugu kabisa aisee. hadi aibu.
Yes naona hii ni common practice kwa waarabu.. Mimi ni mpenzi sana wa hizi movie zilizotafsiriwa kwenye Azam Tv. Nimejifunza mengi sana kwa hawa waarabu wa uturuki. Yani ndugu kwa ndugu wanaoishi nyumba moja hapo ndani wanaoana aisee. Na hii ni dhairi kwenye movies nyingi za hawa jamaaa.. Nadhani hata watazamaji wenzangu maofatilia hizi movie za waturuki ambao kwa sasa wanakuja kwa kasi mmeliona hili.
 
Back
Top Bottom