Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,613
Ni swali rahisi mno! NI MBEGE, hata shirika la viwango linatambua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wazee wenzangu tuliokulia kijijini,vitu vya kienyej tumepitia. Sasa we unahis kipi cha ukwel? Mie japo sio mhehe ila jamani 'ULANZI' mtamu. Yan kila unapopiga funda utamu unaongezeka huku na wewe unalewa taratiiibu!
Pingu kali yaoKwa wale wazee wenzangu tuliokulia kijijini,vitu vya kienyej tumepitia. Sasa we unahis kipi cha ukwel? Mie japo sio mhehe ila jamani 'ULANZI' mtamu. Yan kila unapopiga funda utamu unaongezeka huku na wewe unalewa taratiiibu!
Ya wapi hii mkuuTekawima