Makaimati
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 462
- 87
mama alikuwa muislam, ndugu zangu wote wa upande wa mama ni waislam, na hata jina langu la kwanza ni la kiislam hadi kupelekea watu kuhisi mimi nili'kigwangala jina la shule coz jina langu haliendani na dini yangu, mimi ni msambaa na tunaishi mbeya na kujenga mbeya, dada yangu kaolewa na mnyamwezi, kaka yangu kaoa mngoni, ukabila na udni kwenye familia yetu kwishney!
Mkuu mara nyingi humu kuna watu ambao wanapojadili masuala ya Zanzibar na "muungano" huu, huzungumza kwa kejeli na dharau kama kwamba, kuikalia Zanzibar ni jambo la fahari kwao na kwamba sisi hatuna haki ya kujiamulia mustakbali wetu kama nchi.
Hawaoni kwamba "muungano" huu haukutusaidia sana sisi Zanzibar wala Tanganyika.
Ukisoma thread moja humu JF, utaona wale wale wanapinga Zanzibar kurudisha Utaifa wake, wanasema tuvunje ndoa na Wakenya kwa sababu ya EAC. Wanasahau kua sababu zile zille zile ndo sababu zetu.
Ahsante sana Mkuu, nimekuelewa.