The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Superman kuna watu ambao wakiishaamua kufuata njia zao hata ufanyeje, hata uwape kitu gani nothing will change them.
Hii ndiyo sababu ya mambo anayofanya?
Assume alisomeshwa kiwango cha Advanced Diploma na wazazi . . . .
Hata hivyo swali la msingi halijajibiwa.
Refer No. 6. inasema:
6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.
Nakusoma. Je hao mahusiano na wanaume 3 au zaidi ana compatibility nao au hana?
Hii ndiyo sababu ya mambo anayofanya?
Assume alisomeshwa kiwango cha Advanced Diploma na wazazi . . . .
Hata hivyo swali la msingi halijajibiwa.
Every human being is unique, huwezi generalize nini mwanamke anataka. Utakachomfanyia au mpatia mwanamke mmoja, sio lazima mwanamke mwingine akiappreciate. Handle women individually.
No. 6:
6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.
Kumbe Great Thinkers bado mpo....! I appreciated your thinking capacity....! Keep it up...Vitu vya kupewa si vizuri kwa wengi huvi abuse kwa vile hawajui uchungu wa kuvikosa. Huyu binti kalelewa mambo safi kuanzia kwao hadi kwa mume. Hajui shida wala kutafuta. Mfano ni hapo wazazi wake walipokuwa na heshima na elimu lakini binti kaja kusomeshwa na mumewe. Ina maana wazazi walishamshindwa.
Tuwalee watoto wetu vyema ili wajue na waweze kutofautisha kupata na kukosa.
Case ya huyu binti, unafikiri alikuwa anatakiwa awe handled namna gani?
Every human being is unique, huwezi generalize nini mwanamke anataka. Utakachomfanyia au mpatia mwanamke mmoja, sio lazima mwanamke mwingine akiappreciate. Handle women individually.