Ni Nini Hasa Mwanamke Anahitaji?

Superman

JF-Expert Member
Mar 31, 2007
5,695
1,696

Ni nini hasa Mwanamke anahitaji kutoka kwa Mwanamume na katika Maisha yake?


Assume:


1. Ni binti Mrembo wa asili wazazi wako ni watu makini, waelewa, wasomi na wanaoheshimika sana katika jamii na wamekulea vema, ukapata mume makini anayejiheshimu na mwenye upendo wa kweli akakuoa - Hutaki kutulia macho juu juu, memeo akagundua nyendo zako na kukukanya, ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaendelea.

2. Ulikuwa huna kazi, mumeo akakukabidhi kampuni uiendeshe, ukaifanya kampuni kijiwe cha mashoga zako na mawasiliano na wanaume zako na kisha kutafuna mapato ya kampuni, mumeo akakuondoa kukunusuru wewe na kampuni. Ukakusamehe makosa yako maisha yakaendelea.

3. Mumeo kwa upendo ili usiwe bored akakutafutia kazi nzuri na makini ya kuheshimika, ukaanza kufanya kazi lakini kiwango chako cha utendaji kikawa chini na pia bado unajihusisha na wanaume nje ya ndoa. Mumeo akagundua, kakukanya tena ukaomba msamaha. Mwajiri akaamua kukuondoa kazini kwa kuwa kazi huwezi.

4. Mumeo akaamua kukutafutia mtaji mkubwa ufanye biashara zako, ukatumia bado nafasi hiyo kuendeleza mambo yako na wanaume.

5. Bado mumeo kakununulia gari na unaweza kutumia magari mengine yaliyopo nyumbani, lakini bado huonekani kuridhika.

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.

7. Elimu yako ilikuwa ya chini akakuendeleza kufikia level ya Chuo Kikuu (Degree), lakini bado wewe na wanaume tu kila kukicha.

8. Mumeo kwa upendo hakutaka mambo yako yajulikane nje hata hivyo mara kadhaa katumia rafiki yake wa familia wa karibu sana kukuonya ili ujirekebishe, kila wakati unaomba msamaha utaacha na kujirekebisha lakini huachi. Anajitahidi kukuchukua mara kwa mara mkapime HIV ili kujinusuru na kukufanya uwe makini lakini somo halieleweki.

9. Mumeo anakuchukua nje ya nchi mahali kwa likizo muwe wawili tu mpate kudumisha mapenzi na kurelax, lakini muda mwingi wewe unautumia kupiga simu kuongea na wanaaume wako na SMS kibao.


10. Hatimaye mume wako anaamua kukufuatilia ajue ni nini shida yako hasa, anagundua miaka yote mliyopo katika ndoa umekuwa na mahusiano na wanaume wengine na kibaya zaidi ni kuwa si moja tu bali ni zaidi ya watatu. Ili kusikia kauli yako kama ni kweli unafanya hayo mambo safari hii anamuhusisha mama yako mzazi ambaye ndoyo tegemeo la mwisho la kwako, unakubali mbele ya mama na mumeo kuwa ni kweli hayo mambo umekuwa ukiyafanya na kutahayari kuonyesha kuchanganyikiwa na sasa mume umeamua "Kujiweka Pembeni, kuepusha msongamano".


Lakini bado hili jambo linaaacha maswali mengi moja wapo ni hili: NI NINI HASA MWANAMKE ANAHITAJI KUTOKA KWA MWANAUME NA KATIKA MAISHA YAKE?
 
Attention na muda .
Labda huyo jamaa yuko busy zaidi na kutafuta pesa kasahau kuwa anatakiwa kuwa na muda wa kuwa na mke wake.
 
Oooops hii ni mitihani ya maisha ,hili zito nitakuja baadae na mchango wangu lakini kwa kifupi Kinguru hafugiki,Na je upande wa chumba cha mawasiliano 6 x 6 mme anajiweza ?
bado natafakari
 
Superman,hii mada imenigusa ni hatari,haya unayoyasema nimeyashuhudia mara nyingi.Superman achana na wanawake,vichwa vyao wanavijua wenyewe.Kuna jamaa namfahamu katoka Loliondo majuzi kumpeleka mkewe,mambo yenyewe haya haya ,mara amfumanie na dereva wa nyumbani fukuza dereva,mara amfumanie na kijana mfanyakazi kwenye biashara ya mzee fukuza kazi,mradi tu vituko haviishi.Ukiangalia nyumbani mama anatimiziwa kila kitu na majuzi kwenye routine check mama kaukwaa baba ndo akamchukua wamekimbilia kwa Babu Loliondo.Sijui nisemeje yaani hatuwezi kuishi bila wanawake na kuishi nao ni misukosuko,bifu,timbwili,mawenge,yaani taaaaaaaaaabu kweli kweli,Mungu tu anajua.
 
Attention na muda .
Labda huyo jamaa yuko busy zaidi na kutafuta pesa kasahau kuwa anatakiwa kuwa na muda wa kuwa na mke wake.

Refer No. 6. inasema:

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.
 
Oooops hii ni mitihani ya maisha ,hili zito nitakuja baadae na mchango wangu lakini kwa kifupi Kinguru hafugiki,Na je upande wa chumba cha mawasiliano 6 x 6 mme anajiweza ?
bado natafakari
FL kunguru hafugiki kweli na sikio la kufa halisikii dawa,mwisho wake kwa hali ya magonjwa ya siku hizi ni disaster tu.
 
Oooops hii ni mitihani ya maisha ,hili zito nitakuja baadae na mchango wangu lakini kwa kifupi Kinguru hafugiki,Na je upande wa chumba cha mawasiliano 6 x 6 mme anajiweza ?
bado natafakari

No. 6:

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.
 
Superman,hii mada imenigusa ni hatari,haya unayoyasema nimeyashuhudia mara nyingi.Superman achana na wanawake,vichwa vyao wanavijua wenyewe.Kuna jamaa namfahamu katoka Loliondo majuzi kumpeleka mkewe,mambo yenyewe haya haya ,mara amfumanie na dereva wa nyumbani fukuza dereva,mara amfumanie na kijana mfanyakazi kwenye biashara ya mzee fukuza kazi,mradi tu vituko haviishi.Ukiangalia nyumbani mama anatimiziwa kila kitu na majuzi kwenye routine check mama kaukwaa baba ndo akamchukua wamekimbilia kwa Babu Loliondo.Sijui nisemeje yaani hatuwezi kuishi bila wanawake na kuishi nao ni misukosuko,bifu,timbwili,mawenge,yaani taaaaaaaaaabu kweli kweli,Mungu tu anajua.

A very sad true story. Nini chanzo?
 
No. 6:

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.


wa namna hii ni wa talaka fasta kama ndoa ya kikatoliki utajuta
 
Vitu vya kupewa si vizuri kwa wengi huvi abuse kwa vile hawajui uchungu wa kuvikosa. Huyu binti kalelewa mambo safi kuanzia kwao hadi kwa mume. Hajui shida wala kutafuta. Mfano ni hapo wazazi wake walipokuwa na heshima na elimu lakini binti kaja kusomeshwa na mumewe. Ina maana wazazi walishamshindwa.

Tuwalee watoto wetu vyema ili wajue na waweze kutofautisha kupata na kukosa.
 
Compatibility...
Sio kila uyaonayo ni mazuri mkeo atayaona mazuri....simply hamko kwenye uelekeo mmoja....
 
hv inawzekana eeh? Huyo atakuw ni knguru na kngru hafugk! Achana nae cz yeye co samak pekee bhrn. Kscho rdhik hakilk. Jiweke pemben! Utakfa na Aids.
 

Ni nini hasa Mwanamke anahitaji kutoka kwa Mwanamume na katika Maisha yake?


Assume:


1. Ni binti Mrembo wa asili wazazi wako ni watu makini, waelewa, wasomi na wanaoheshimika sana katika jamii na wamekulea vema, ukapata mume makini anayejiheshimu na mwenye upendo wa kweli akakuoa - Hutaki kutulia macho juu juu, memeo akagundua nyendo zako na kukukanya, ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaendelea.

2. Ulikuwa huna kazi, mumeo akakukabidhi kampuni uiendeshe, ukaifanya kampuni kijiwe cha mashoga zako na mawasiliano na wanaume zako na kisha kutafuna mapato ya kampuni, mumeo akakuondoa kukunusuru wewe na kampuni. Ukakusamehe makosa yako maisha yakaendelea.

3. Mumeo kwa upendo ili usiwe bored akakutafutia kazi nzuri na makini ya kuheshimika, ukaanza kufanya kazi lakini kiwango chako cha utendaji kikawa chini na pia bado unajihusisha na wanaume nje ya ndoa. Mumeo akagundua, kakukanya tena ukaomba msamaha. Mwajiri akaamua kukuondoa kazini kwa kuwa kazi huwezi.

4. Mumeo akaamua kukutafutia mtaji mkubwa ufanye biashara zako, ukatumia bado nafasi hiyo kuendeleza mambo yako na wanaume.

5. Bado mumeo kakununulia gari na unaweza kutumia magari mengine yaliyopo nyumbani, lakini bado huonekani kuridhika.

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.

7. Elimu yako ilikuwa ya chini akakuendeleza kufikia level ya Chuo Kikuu (Degree), lakini bado wewe na wanaume tu kila kukicha.

8. Mumeo kwa upendo hakutaka mambo yako yajulikane nje hata hivyo mara kadhaa katumia rafiki yake wa familia wa karibu sana kukuonya ili ujirekebishe, kila wakati unaomba msamaha utaacha na kujirekebisha lakini huachi. Anajitahidi kukuchukua mara kwa mara mkapime HIV ili kujinusuru na kukufanya uwe makini lakini somo halieleweki.

9. Mumeo anakuchukua nje ya nchi mahali kwa likizo muwe wawili tu mpate kudumisha mapenzi na kurelax, lakini muda mwingi wewe unautumia kupiga simu kuongea na wanaaume wako na SMS kibao.


10. Hatimaye mume wako anaamua kukufuatilia ajue ni nini shida yako hasa, anagundua miaka yote mliyopo katika ndoa umekuwa na mahusiano na wanaume wengine na kibaya zaidi ni kuwa si moja tu bali ni zaidi ya watatu. Ili kusikia kauli yako kama ni kweli unafanya hayo mambo safari hii anamuhusisha mama yako mzazi ambaye ndoyo tegemeo la mwisho la kwako, unakubali mbele ya mama na mumeo kuwa ni kweli hayo mambo umekuwa ukiyafanya na kutahayari kuonyesha kuchanganyikiwa na sasa mume umeamua "Kujiweka Pembeni, kuepusha msongamano".


Lakini bado hili jambo linaaacha maswali mengi moja wapo ni hili: NI NINI HASA MWANAMKE ANAHITAJI KUTOKA KWA MWANAUME NA KATIKA MAISHA YAKE?

Mkuu
Binadamu wote hawaridhiki
Ila kwa kizazi cha sasa ukimfanyia yote haya mwanamke umeumia
 
Vitu vya kupewa si vizuri kwa wengi huvi abuse kwa vile hawajui uchungu wa kuvikosa. Huyu binti kalelewa mambo safi kuanzia kwao hadi kwa mume. Hajui shida wala kutafuta. Mfano ni hapo wazazi wake walipokuwa na heshima na elimu lakini binti kaja kusomeshwa na mumewe. Ina maana wazazi walishamshindwa.

Tuwalee watoto wetu vyema ili wajue na waweze kutofautisha kupata na kukosa.

Hii ndiyo sababu ya mambo anayofanya?

Assume alisomeshwa kiwango cha Advanced Diploma na wazazi . . . .

Hata hivyo swali la msingi halijajibiwa.
 
Compatibility...
Sio kila uyaonayo ni mazuri mkeo atayaona mazuri....simply hamko kwenye uelekeo mmoja....

Nakusoma. Je hao mahusiano na wanaume 3 au zaidi ana compatibility nao au hana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom