Ni Nini Hasa Mwanamke Anahitaji?

Tupe unachofahamu.

Mkuu
Mi naona hili suala ni la kisaikolojia zaidi kuweza kutambua kwanini binadamu haridhiki.
Lakin tukija kuangalia namna ya kumdhibiti huyu mwanadamu na tamaa zake basi ndipo inapokuja inclusion ya imani. kwa maana ya dini.
So dini itamfundisha binadamu aache tamaa kwa kuwa Mungu hapendi
Kwa sababu binadamu ni mali ya Mungu, basi lazima ataogopa sana kumchukiza Mwenyezi Mungu na hivyo atatulia
 
Katika suala hili unaweza kuuliza ni nini hakufanyiwa huyu binti tutafute majibu kwa muhusika, lakini ukweli halisi ni kama ulivyoandikwa na binti muhusika analikubali hilo.

Na hata tuki-assume kuwa haridhishwi, je kwa hao wanaume zaidi ya watatu anao wa maintain, ina ashiria nini?

Ukweli halisi anaujua yeye....yawezekana hasemi ukweli halisi na pengine wala hajui kwanini anafanya hivyo....hao wanaume hata wangekuwa mia,wapo wanachompa amabcho hapati kwa mumewe.......:washing:
 
Just ask specific question, tutaleta majibu yake.


To be fair katika ushauri wa kimahusiano, huwezi toa judgement kwa kutumia information toka upande mmoja. Hata kama hii ni story yako
bado msuluhishi au mtoa ushauri hawezi kutumia maelezo ya upande mmoja. Kila mwamba ngoma ngzi huivutia kwake.

Hata hivyo, wewe umetaka kujua nini mwanamke anahitaji. Umegeneralise. Halafu unataka specific questions. How unfair you are.
Any verdict itakuwa ya kikandamizaji kwa vile unaonekana kutaka kuukandamiza ukweli.
 
Hapo tu ndo panakuwa shida heshima iwe mbele mipesa na migari yako ni vya ziada tu havisaidii.

Kuna mtu mmoja mie niliexperience kwenye msiba (Mbulu) alikuwa jamaa anafanya halimashauri na ni mhasibu bana yule jamaa alikuwa na gari nzuri nyumba nzuri watoto wanasoma Arusha international school nk. sasa huyu jamaa kila ikitokea misiba anafika anaangalia daftri tu anaweka mchango tena si wakitoto mkubwa hasa na hakuna atakayeufikia halafu anakula lapa harusi hivyo hivy Mungu alimpa bonge ya kofi mkewe alifariki (R.I.P ) watu walimfanyia hivyo hivyo walikuwa wanakwenda kusign na kuondoka anashangaa kwani nini ndo mzee mmoja akamwambia unakosea omba msamaha kwa kijiji unavyofanya kwenye misiba ya watu ndo wamekufanyia uone kwamba pesa si zaidi ya utu kukaa kwenye msiba ni zaidi ya kutoa pesa. Alishika adabu.

So wanaume hatuhitaji pesa zenu bila utu wenu
Pesa sabuni ya roho mama,money can't buy you happiness but it can make you live comfortably! zikipungua nyumbani mama na mikwaruzo inaongezeka,tena wengine wanabeba na begi kabisaaa na kuupwaka tena kwa visingizio kibao!
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!
 
Noted with thanks.

Kwa nini wanaamua kufanya hizo njia zao?
Nakutolea mfano mmoja kuna dada mmoja yeye alikuwa anapewa kila kitu na mume wake i mean kila kitu mpaka mumewe alifikia hatua ya kumfungulia biashara lakini still akawa anatoka nje ya ndoa yake, anahonga wanaume hela ambazo ni mumewe anampatia, watu wakimuuliza kwanini unafanya hivyo yeye anasema ndio tabia yake hawezi kubadilika sasa luckly enough siku mume alipokuja kugundua mbaya zaidi ni pale ambapo alikuwa ametembea karibia na every tom dick and harry katika mtaa wanaoishi so sometimes ni hulka ya mtu mwingine ndio inakuwa hivyo
 
To be fair katika ushauri wa kimahusiano, huwezi toa judgement kwa kutumia information toka upande mmoja. Hata kama hii ni story yako
bado msuluhishi au mtoa ushauri hawezi kutumia maelezo ya upande mmoja. Kila mwamba ngoma ngzi huivutia kwake.

Hata hivyo, wewe umetaka kujua nini mwanamke anahitaji. Umegeneralise. Halafu unataka specific questions. How unfair you are.
Any verdict itakuwa ya kikandamizaji kwa vile unaonekana kutaka kuukandamiza ukweli.

I agree:smash:
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!
Susy wapo wanaopata kila kitu lakini wapi hiyo kwenye red wengi wanatumia kama kisingizio
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!

jogoo waga anapanda wapi Susy?mi nawaonaga kwenye tambarare tu bandani kwao...kuna wanaopanda milima?....l.o.l:lol:
 
Hapo tu ndo panakuwa shida heshima iwe mbele mipesa na migari yako ni vya ziada tu havisaidii.

Kuna mtu mmoja mie niliexperience kwenye msiba (Mbulu) alikuwa jamaa anafanya halimashauri na ni mhasibu bana yule jamaa alikuwa na gari nzuri nyumba nzuri watoto wanasoma Arusha international school nk. sasa huyu jamaa kila ikitokea misiba anafika anaangalia daftri tu anaweka mchango tena si wakitoto mkubwa hasa na hakuna atakayeufikia halafu anakula lapa harusi hivyo hivy Mungu alimpa bonge ya kofi mkewe alifariki (R.I.P ) watu walimfanyia hivyo hivyo walikuwa wanakwenda kusign na kuondoka anashangaa kwani nini ndo mzee mmoja akamwambia unakosea omba msamaha kwa kijiji unavyofanya kwenye misiba ya watu ndo wamekufanyia uone kwamba pesa si zaidi ya utu kukaa kwenye msiba ni zaidi ya kutoa pesa. Alishika adabu.

So wanaume hatuhitaji pesa zenu bila utu wenu

Item No. 6 in the main post refers.
 
Pesa sabuni ya roho mama,money can't buy you happiness but it can make you live comfortably! zikipungua nyumbani mama na mikwaruzo inaongezeka,tena wengine wanabeba na begi kabisaaa na kuupwaka tena kwa visingizio kibao!

Pesa haiwezi kushinda utu Bishanga inapooza tu lakini eti kuwin maisha haiwezi. Sitakubali kupewa mamilion halafu mtu anakudharau na kukutukana kila saa eti kisa pesa akae na mapesa yake huko huko
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!

Susy nae kwa kuchomekea ishu za MAJOGOO simuwezi
 
Item No. 6 in the main post refers.

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.


Hii point yako no. 6 sita hainisaidii chochote kama hutaki kuniheshimu na kuona utu wangu uko wapi. Heshima iko wapi hapo, kunisikiliza katika maamuzi iko wapi hapo??? Na huwezi kunipa kila kitu bana
 
Ukweli ni kwamba complete satisfaction is impossible.
Bali kwa hofu ya kumkasirisha Mungu ndio inawezekana kuzuia tamaa zisizo za msingi kwa wanadamu
 
To be fair katika ushauri wa kimahusiano, huwezi toa judgement kwa kutumia information toka upande mmoja. Hata kama hii ni story yako
bado msuluhishi au mtoa ushauri hawezi kutumia maelezo ya upande mmoja. Kila mwamba ngoma ngzi huivutia kwake.

Hata hivyo, wewe umetaka kujua nini mwanamke anahitaji. Umegeneralise. Halafu unataka specific questions. How unfair you are.
Any verdict itakuwa ya kikandamizaji kwa vile unaonekana kutaka kuukandamiza ukweli.

I requested ask any specific question ya kukufanya utoe fair judgement I will get answers for u toka kwa weahusika.

Ni nini kigumu kelewa hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom