Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,513
Je, hao wanaume zaidi ya watatu wanao mtizamo wake?
bado ana search apate yule anayemfaa....yawezekana ana list ndefu tu,akimpata yule amatakaye atatulia
Je, hao wanaume zaidi ya watatu wanao mtizamo wake?
Sidhani kama hata wao wanajua wanachokitaka.Noted. lakini swali la kimsingi liko pale pale . . . Ni nini hasa Mwanamke anataka?
Ok. Kwa nini inakuwa hivyo na ni nini suluhisho la kumsaidia?
Kunipa kila kitu sio sababu hata unifanyie birthday kwenye ndege sitaridhika.
Mwanamke anahitaji:
Kupendwa hata kama yeye hapendi (kubali kataa lakini hiyo ndo hali)
Kudekezwa
Kubembelezwa hata kama amekosea yeye
Kuombwa samahani
Kuambiwa nakupenda sweet, baby na mengine
Kufanyiwa kila kitu na kuonyeshwa
Kujaliwa sana
Sita kwa sita pia imo
nk
Jamani tusikimbilie kuwafanyia vitu bila kuonyesha unajali, unampenda, unamuheshimu hasa katika maamuzi ndani ya nyumba,
Ndoa au mahusiano ni zaidi ya pesa za kunifungulia miradi na kunitafutia kazi.
Tunahitaji attention kubwa kutoka kwenu nyie wanaume kunipa magari na mabiashara yako si mali kitu kabisa bila kunijali.
Nitarudi
Noted with thanks.
Kwa nini wanaamua kufanya hizo njia zao?
Kunipa kila kitu sio sababu hata unifanyie birthday kwenye ndege sitaridhika.
Mwanamke anahitaji:
Kupendwa hata kama yeye hapendi (kubali kataa lakini hiyo ndo hali)
Kudekezwa
Kubembelezwa hata kama amekosea yeye
Kuombwa samahani
Kuambiwa nakupenda sweet, baby na mengine
Kufanyiwa kila kitu na kuonyeshwa
Kujaliwa sana
Sita kwa sita pia imo
nk
Jamani tusikimbilie kuwafanyia vitu bila kuonyesha unajali, unampenda, unamuheshimu hasa katika maamuzi ndani ya nyumba,
Ndoa au mahusiano ni zaidi ya pesa za kunifungulia miradi na kunitafutia kazi.
Tunahitaji attention kubwa kutoka kwenu nyie wanaume kunipa magari na mabiashara yako si mali kitu kabisa bila kunijali.
Nitarudi
Kwa huyu mwenzetu nadhani anachohitaji kwa sasa ni maombi tu....... maana anamapepo.
Ila kukujibu swali lako na kwa ninavyoelewa mimi mwanamke anahitaji upendo wa dhati kutoka kwa mume wake.
FA,lakini kuna trait ambazo ni almost common kwa wanawake wote.Every human being is unique, huwezi generalize nini mwanamke anataka. Utakachomfanyia au mpatia mwanamke mmoja, sio lazima mwanamke mwingine akiappreciate. Handle women individually.
hakuna binadamu anaweza kumpa mwenzie kila kitu anachokitaka.....kusema anamridhisha kwa kila kitu kimapenzi,kihali,kimali si kweli....kuna kitu tu huyu dada hajakipata na pengine hampendi huyu kaka.....waweza fikiri unampa mtu kila kitu lakini si kweli....moyo na akili ya mtu kuridhika ni kazi sana.....ni ile tu kujiheshimu,kumuogopa Mungu na kuthamini maisha ndo maana baadhi wametulia ila si kuwa wameridhika na kila kitu!!!:washing:
sisi sote ni binadamu,wapo wanaume wanafanyiwa mengi yaliyo ndani ya uwezo wa wake zao lakini bado wanaume wanatoka ndani....mimi kama mwanamke nachohitaji ni rafiki wa jinsia ya kiume ninayempenda na nitakayejihisi kuwa salama mikononi mwake na mwenye uwezo wa kunifanya kuwa bora zaidi kwa familia na jamii yangu...:washing:
Ni ngumu kujua mwanamke anataka nini!..
FA,lakini kuna trait ambazo ni almost common kwa wanawake wote.
Ili kujua jinsi ya kumhandle huyu binti inabidi tupate hadithi yake, yeye anasemaje?
Baada ya kupima story ya mwanamke na mwanaume, then itakuwa rahisi kufikiri namna ya kumhandle.
Dena mbona wengi wanapendwa na kubembelwa na hata kulambwa nonino lakini wapi wanatoka nje? kunani hapo?Kunipa kila kitu sio sababu hata unifanyie birthday kwenye ndege sitaridhika.
Mwanamke anahitaji:
Kupendwa hata kama yeye hapendi (kubali kataa lakini hiyo ndo hali)
Kudekezwa
Kubembelezwa hata kama amekosea yeye
Kuombwa samahani
Kuambiwa nakupenda sweet, baby na mengine
Kufanyiwa kila kitu na kuonyeshwa
Kujaliwa sana
Sita kwa sita pia imo
nk
Jamani tusikimbilie kuwafanyia vitu bila kuonyesha unajali, unampenda, unamuheshimu hasa katika maamuzi ndani ya nyumba,
Ndoa au mahusiano ni zaidi ya pesa za kunifungulia miradi na kunitafutia kazi.
Tunahitaji attention kubwa kutoka kwenu nyie wanaume kunipa magari na mabiashara yako si mali kitu kabisa bila kunijali.
Nitarudi
Haswa !ya wezekana huyu jamaa anampa vitu vyote hivyo but hamheshim au hamsikilizi nk
So kujadili hili linahitaji uwe umesikiliza pande zote mbili.
Ujue udhaifu wa kila mtu
Dena mbona wengi wanapendwa na kubembelwa na hata kulambwa nonino lakini wapi wanatoka nje? kunani hapo?