Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Sidhani kwamba ni kweli jua kabisa siku zote lisemwalo lipo!! unakumbuka kisa cha wayaudi weusi wabantu wa zimbabwe wale jamaa walikuwa wanaadithiwa hivi hivi na babu zao kuwa sisi asili yetu hasa ni wayaudi,watu wakawa wanawadharau na kuwacheka juzi mzungu kaenda kasikiliza stori akaona ngoja ajiridhishe akawapima DNA, shangaa!!
jamaa kumbe ni wayaudi kabisa tena damu yao ni ya kiyaudi kushinda hata wale wayaudi wazungu wa israel na marekani!!! hivi vitu vinaukweli hawawezi watu pwani yote wakatunga stori inayofanana.
Una maana ya Ethiopia au Zimbabwe? nakumbuka hii story ya Queen of Sheba kwa Wakushi wa kule Ethiopia.
Hii mbona iko wazi na inaingia akilini. Hiyo ya kuchukua samaki na kubanika kwenye jua km mil.90 haiingii akilini unless una elimu ya majini.