Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Mbona sielewi?
Kuna kila dalili ya serikali ya JK kuangushwa bungeni!
Je ni nani tutarajie anakubalika na wabunge kuwa Waziri Mkuu mpya?
Unamaindi mitusi yake hee!.:A S-rap: Lusinde please........to ease the downfall!!!
Lowasa pekee kwa sasa! No body else!!
Edward Lowasa
Sasa tunakuwa Low thinkers kama tunafikiri kweli wabunge wa CCM watafanya mabadiliko. Chama kinashika hatamu