1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
**Kawawa alizikwa Kwa heshima wa Makamu wa Rais (Mstaafu).
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
**Kawawa alizikwa Kwa heshima wa Makamu wa Rais (Mstaafu).
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?