Chuki zako tu anamchango mkubwa sanaaOrodha yako yenyewe tu kichefuchefu. Kama na udini ni disqualification Bi Mkubwa anafuata nini kwenye list?
Ww ndoo takatakaaaMbona kuna watu wa Hovyo huku....
Kama Faiza, lizbon......
Umeolewa mke mdogo basi kila kitu kikisemwa na mwanaume tu unakiita chukiChuki zako tu anamchango mkubwa sanaa
CHIEF-MKWAWAHabari zenu wakubwa,
Matumaini yetu ni kuwa nyote ni wazima wa afya na mnaendelea vema na shughuli zenu ili kuepuka kusoma namba.
Malengo ya uzi huu ni kuweka utaratibu wa kuweza kupata mwanaJF bora wa mwaka hasa jukwaa la siasa, mambo ya kimataifa na mengineyo.
Mambo yafuatayo ndiyo vigezo vitakavyotumika kumpata;
1. Mwenye hoja na uchambuzi mzuri wa masuala yanayohusu taifa letu kwa ujumla
2. Anayechambua mambo ya kisiasa kwa wigo sawa bila kuegemea au kupendelea upande wowote ule, kaka ni CHADEMA au CCM au CUF yuko tiyari kukosoa kwa hoja haijarishi ni chama chake
3. Mwenye nidhamu juu ya majibu anayowapa wengine na mwenye kujibu bila kubagua au kukejeli wengine na kuwadharau au kuwatamkia matusi(makosa yanayopelekea ban)
4. Mwenye michango mingi ya kuelimisha jamii,
5. Asiye mdini au mkabila wala asiyechanbua kwa kupendelea kabila/dini yake na kukashfu za wengie,
6. Mwenye kuheshimu wengine na mamlaka ya nchi haijarishi kamchagua kiongozi aliyeko madarakan au lah.
Orodha yangu ni kama ifuatavyo, ninyi ndio mtapiga kura kwenye poll na kupata mshindi;
1. The Boss
2. Faiza foxy
3. Mzee mwanakijiji
4. BAK
5. Lizaboni
6. Pasco
7. Heaven sent
8. Victorie
9. Technically
10. Mshana jr
Haimaanishi ambao hawajawekwa hawakuchangia hapana wamechangia sana ila kwa mwaka huu hawakufika viwango vya hawa hapa.
PIGA KURA YAKO.
Umeolewa mke mdogo basi kila kitu kikisemwa na mwanaume tu unakiita chuki
Michezo yenu hiyo, mimi kwetu bara, ukinigusa tu sehemu ya makalio tafrani yake haiwi ndogo.TABIAA YAKO YA KUGONGWA NYU??????MAAA HUJAACHAA BADO MAANA UNACHUKI UKIKOSA UARAIBUA WAKO