johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,724
Aisee yaani kukuona umepost tu nimefarijika. Kweli tunaendeshwa na siasaMkuu angalia kigezo namba 2.
Halafu tuambie huyo kwenye namba 5.
Ulizingatia vigezo gani.
Ushauri member wengi wa JF wapo based ki majukwaa mfano mimi jukwaa langu humu ni moja tu lakini mengine huwa napita kusoma kisha nalala mbele.
Thread yako inge noga kama ungezingatia hilo.