How do you do it pleaseCopy ziingie kwenye simu (Phone) kisha weka laini iyo ya pili, then copy tena zitoke kwenye simu ziingine kwenye laini.
Unatumia simu gani?How do you do it please
InfinixUnatumia simu gani?
asante sana, let me tryFungua App ya Contacts, Kisha bonyeza Fix & manage kisha bonyeza Import from SIM hafu utaselect contacts unazotaka kuzicopy kutoka kwenye laini ziingie kwenye Phone.
Nimefanikiwa, thanks again! JF kisiwa cha maarifa.Fungua App ya Contacts, Kisha bonyeza Fix & manage kisha bonyeza Import from SIM hafu utaselect contacts unazotaka kuzicopy kutoka kwenye laini ziingie kwenye Phone.
🤣View attachment 2361955unataka kukwepa Tozo ee
Uzi ufutwee 😁Nimefanikiwa, thanks again! JF kisiwa cha maarifa.
Usifutwe tuanze kujadili umbea Sasa..😂Uzi ufutwee 😁
Nini? Sharti la umbea uwe specific and straight!Usifutwe tuanze kujadili umbea Sasa..😂
Vipi umeacha tabia za kuchukua nanilii wa watu..?
why? utawasaidia na wengineUzi ufutwee 😁
Si unataka u specific haya umeacha kuchukua wababa wa watu..?Nini? Sharti la umbea uwe specific and straight!
Sijaacha, do you want me to take you too??Si unataka u specific haya umeacha kuchukua wababa wa watu..?
How can you do it by a mere transfer of numbers from one line to another?View attachment 2361955unataka kukwepa Tozo ee
Nilimaanisha ufungwe mkuu 😂why? utawasaidia na wengine
ngoja nikuache upite salamaNilimaanisha ufungwe mkuu 😂