Ni namna gani naweza jua kama laptop nayoenda kununua ni mpya ama refurbished?

Rad020

Member
Mar 18, 2017
47
51
Habar zenu wadau. Nataka kununua laptop lakini mimi sio mzoefu/sana na naogopa kupigwa mana siku hizi nimeskia wafanyabiashara wajanja wanauza laptop used kwa bei ya mpya, wanachofanya ni wanazisafisha na kuziweka ndani ya ganda, kitu kinaonekana brand new kumbe sio.

Je kuna namna unaweza angalia au kuna kitu specific unaweza cheki kujua kama hiyo mashine husika ni mpya au imeshatumika (refurb)?
 
Kwa kutumia common sense hakuna machine mpya ina gen za zamani mfano gen 1 hadi 9 ngumu kukuta mpya. Laptop haiwezi kukaa dukani miaka 10 ama 8.

Sababu PC ni pana na zinasafilishika vitu ngumu kutumika njia moja kujua yote, ila nitakupa mifano.

1. Kujua Uhai wa Hdd/ssd
Zipo program kama Crystaldiskinfo ambazo zinakuonesha hio Hdd ama ssd unayotumia imetumika mara ngapi na imekuwa on masaa mangapi, ukinunua mpya na inaonesha imetumika masaa elfu kadhaa unajua umepigwa, weakness ya hii njia ni kwamba mtu anaweza uza laptop refurbished ila akakuwekea ssd mpya.

2. Kuangalia Afya ya battery.
Battery mpya siku zote inakuwa na Afya asilimia 100, ukiangalia afya ya battery ipo 80 ama 70 ujue hapo ushapigwa na kitu kizito. Weakness ya hii njia battery zinabadilishika

Pitia hapa kupata command za kuangalia afya ya battery

3. Common sense nyingine kagua kwa macho
Vitu kama keyboard ya laptop iliotumika inakuwa na alama za vidole, USB zinakuwa loose, Earphone ama port nyingine kuwa na vumbi na uchafu etc.
 
Kwa kutumia common sense hakuna machine mpya ina gen za zamani mfano gen 1 hadi 9 ngumu kukuta mpya. Laptop haiwezi kukaa dukani miaka 10 ama 8.

Sababu pc ni pana na zinabafilishika vitu ngumu kutumka njia moja kujua yote, ila nitakupa mifano.

1. Kujua Uhai wa Hdd/ssd
Zipo program kama Crystaldiskinfo ambazo zinakuonesha hio Hdd ama ssd unayotumia imetumika mara ngapi na imekua on masaa mangapi, ukinunua mpya na inaonesha imetumika masaa elfu kadhaa unajua umepigwa, weakness ya hii njia ni kwamba mtu anaweza uza laptop refurbished ila akakuwekea ssd mpya.

2. Kuangalia Afya ya battery.
Battery mpya siku zote inakuwa na Afya asilimia 100, ukiangalia afya ya battery ipo 80 ama 70 ujue hapo ushapigwa na kitu kizito. Weakness ya hii njia battery zinabadilishika

Pitia hapa kupata command za kuangalia afya ya battery

3. Common sense nyengine kagua kwa macho
Vitu kama keyboard ya laptop iliotumika inakua na alama za vidole, Usb zinakuwa loose, Earphone ama port nyengine kuwa na vumbi na uchafu etc.
Asante sana chief kwa haya maarifa. As they say information is power, hii info itanisaidia san siku naenda chukua mashine.
 
Kwa kutumia common sense hakuna machine mpya ina gen za zamani mfano gen 1 hadi 9 ngumu kukuta mpya. Laptop haiwezi kukaa dukani miaka 10 ama 8.

Sababu pc ni pana na zinabafilishika vitu ngumu kutumka njia moja kujua yote, ila nitakupa mifano.

1. Kujua Uhai wa Hdd/ssd
Zipo program kama Crystaldiskinfo ambazo zinakuonesha hio Hdd ama ssd unayotumia imetumika mara ngapi na imekua on masaa mangapi, ukinunua mpya na inaonesha imetumika masaa elfu kadhaa unajua umepigwa, weakness ya hii njia ni kwamba mtu anaweza uza laptop refurbished ila akakuwekea ssd mpya.

2. Kuangalia Afya ya battery.
Battery mpya siku zote inakuwa na Afya asilimia 100, ukiangalia afya ya battery ipo 80 ama 70 ujue hapo ushapigwa na kitu kizito. Weakness ya hii njia battery zinabadilishika

Pitia hapa kupata command za kuangalia afya ya battery

3. Common sense nyengine kagua kwa macho
Vitu kama keyboard ya laptop iliotumika inakua na alama za vidole, Usb zinakuwa loose, Earphone ama port nyengine kuwa na vumbi na uchafu etc.
Vumbi wanasafisha na blower na ports za USB zikiwa loose wanazibana sema kuepuka kupigwa kwenye laptop refub ni mtihani kidogo hasa kama mtu hayuko aware na hayo uliyoyaandika.. Walimwengu hawana huruma kwenye swala la utafutaji kiujanja janja hasa ukutane na vijana wa kariakoo utajuta.
 
Vumbi wanasafisha na blower na ports za USB zikiwa loose wanazibana sema kuepuka kupigwa kwenye laptop refub ni mtihani kidogo hasa kama mtu hayuko aware na hayo uliyoyaandika.. Walimwengu hawana huruma kwenye swala la utafutaji kiujanja janja hasa ukutane na vijana wa kariakoo utajuta.
Kweli kabisa, matapel wanakuja na njia mpya na ubunifu mpya everyday kwenye kazi zao. Ila kuna maduka ambayo yasifika kuuza laptop na computer pamoja na simu original na mpya tu, maduka ambayo hawana janja janja. Hawa jamaa wa kwanza ni wahindi km sio warabu na naona vitu vyao ni OG kabisa.
1. Phone point
2. Laptop city
3. Metro zone telephonics
Kama kuna mwingine anaefaham lingine anaweza ongezea hapo
IMG_20230416_164030.jpg
 
Nauza laptop dell latitude 5289
Specs
Storage 256gb
Ram 16gb
Core i7
Condition good
 
Ni kweli kwamba wapo wafanyabiashara wajanja ambao wanaweza kuuza laptop iliyotumika kama mpya, lakini kuna njia kadhaa za kujiridhisha kama laptop ni mpya au imetumika. Hapa kuna njia kadhaa unazoweza kufuata:

1. Angalia ufungaji wa laptop: Kwa kawaida, laptop mpya huja na ufungaji ambao ni wa kipekee na unaonyesha kuwa haijatumika hapo awali. Angalia kwa makini ufungaji huo na hakikisha kuwa hakuna dalili yoyote ya ufungaji wa awali.

2. Angalia hali ya laptop: Laptop mpya kawaida inaonekana kuwa na hali nzuri, hakuna alama za matumizi, na vioo vya skrini na sehemu nyingine huwa havina madoa yoyote. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua inaonekana kuwa mpya na haionyeshi dalili yoyote ya matumizi.

3. Angalia viambatanisho: Laptop mpya huja na viambatanisho vyote vilivyotajwa kwenye ufungaji, kama vile chaja, betri, na vifaa vingine. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua ina viambatanisho vyote kama ilivyoainishwa kwenye ufungaji.

4. Angalia sifa za laptop: Laptop iliyotumika inaweza kuwa na sifa tofauti na laptop mpya, kama vile RAM iliyopungua, processor duni, au kadi ya grafiki ya chini. Hakikisha kuwa sifa za laptop unayotaka kununua zinaendana na sifa za laptop mpya.

5. Uliza maelezo kutoka kwa muuzaji: Uliza muuzaji kama laptop ni mpya au imechakachuliwa. Pia, unaweza kuuliza maswali kama vile ni lini laptop ilinunuliwa na kwa nini inauzwa. Kumbuka kuwa, kama jambo linaonekana kuwa la kweli sana, basi ni vyema kuwa makini.

6. Angalia chanzo cha kununua: Kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri na mteja anaweza kusaidia kupunguza hatari ya kununua bidhaa iliyotumika kama mpya.

Kwa ujumla, bora ni kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri. Kama una shaka, unaweza kuomba uhakiki wa laptop kutoka kwa mtaalamu kabla ya kununua.
 
Ni kweli kwamba wapo wafanyabiashara wajanja ambao wanaweza kuuza laptop iliyotumika kama mpya, lakini kuna njia kadhaa za kujiridhisha kama laptop ni mpya au imetumika. Hapa kuna njia kadhaa unazoweza kufuata:

1. Angalia ufungaji wa laptop: Kwa kawaida, laptop mpya huja na ufungaji ambao ni wa kipekee na unaonyesha kuwa haijatumika hapo awali. Angalia kwa makini ufungaji huo na hakikisha kuwa hakuna dalili yoyote ya ufungaji wa awali.

2. Angalia hali ya laptop: Laptop mpya kawaida inaonekana kuwa na hali nzuri, hakuna alama za matumizi, na vioo vya skrini na sehemu nyingine huwa havina madoa yoyote. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua inaonekana kuwa mpya na haionyeshi dalili yoyote ya matumizi.

3. Angalia viambatanisho: Laptop mpya huja na viambatanisho vyote vilivyotajwa kwenye ufungaji, kama vile chaja, betri, na vifaa vingine. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua ina viambatanisho vyote kama ilivyoainishwa kwenye ufungaji.

4. Angalia sifa za laptop: Laptop iliyotumika inaweza kuwa na sifa tofauti na laptop mpya, kama vile RAM iliyopungua, processor duni, au kadi ya grafiki ya chini. Hakikisha kuwa sifa za laptop unayotaka kununua zinaendana na sifa za laptop mpya.

5. Uliza maelezo kutoka kwa muuzaji: Uliza muuzaji kama laptop ni mpya au imechakachuliwa. Pia, unaweza kuuliza maswali kama vile ni lini laptop ilinunuliwa na kwa nini inauzwa. Kumbuka kuwa, kama jambo linaonekana kuwa la kweli sana, basi ni vyema kuwa makini.

6. Angalia chanzo cha kununua: Kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri na mteja anaweza kusaidia kupunguza hatari ya kununua bidhaa iliyotumika kama mpya.

Kwa ujumla, bora ni kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri. Kama una shaka, unaweza kuomba uhakiki wa laptop kutoka kwa mtaalamu kabla ya kununua.
Naona roboti limefanya kazi yake😂😂😂
 
Habar zenu wadau. Nataka kununua laptop lakini mimi sio mzoefu/sana na naogopa kupigwa mana siku hizi nimeskia wafanyabiashara wajanja wanauza laptop used kwa bei ya mpya, wanachofany ni wanazisafisha na kuziweka ndani ya ganda, kitu kinaonekana brand new kumbe sio. Je kuna namna unawez angalia au kuna kitu specific unawez cheki kujua kama hiyo mashine husika ni mpya au imeshatumika (refurb)?
Kwanza ujue maana ya refurb. Na utofautishe na used.

Refurb ni mashine yyt ambayo ilionekana ina dosari yyt mojawapo.

Refurb pia ni mashine iliyotumika kisha ikarejeshwa kiwandani na nikavadilishwa vifaa vyote vilivyoharibika na kuwekwa vipya.

Used ni kifaa kilichotumika na kuuzwa kikiwa ktk hali yake hiyo hiyo eitha kibovu au kizima lkn kimepitwa na wakati (toleo).

Kujua kifaa ni kipya au used Google bei ya kifaa hicho kwa bei ya uk ba us.

Zikiwa zinafafa hicho ni kipya. Bei ya africa ukiwa ya chini hicho ni refurb
 
Kweli kabisa, matapel wanakuja na njia mpya na ubunifu mpya everyday kwenye kazi zao. Ila kuna maduka ambayo yasifika kuuza laptop na computer pamoja na simu original na mpya tu, maduka ambayo hawana janja janja. Hawa jamaa wa kwanza ni wahindi km sio warabu na naona vitu vyao ni OG kabisa.
1. Phone point
2. Laptop city
3. Metro zone telephonics
Kama kuna mwingine anaefaham lingine anaweza ongezea hapoView attachment 2589962
Arusha ni benson&companies...ila bei sasa...
 
Ni kweli kwamba wapo wafanyabiashara wajanja ambao wanaweza kuuza laptop iliyotumika kama mpya, lakini kuna njia kadhaa za kujiridhisha kama laptop ni mpya au imetumika. Hapa kuna njia kadhaa unazoweza kufuata:

1. Angalia ufungaji wa laptop: Kwa kawaida, laptop mpya huja na ufungaji ambao ni wa kipekee na unaonyesha kuwa haijatumika hapo awali. Angalia kwa makini ufungaji huo na hakikisha kuwa hakuna dalili yoyote ya ufungaji wa awali.

2. Angalia hali ya laptop: Laptop mpya kawaida inaonekana kuwa na hali nzuri, hakuna alama za matumizi, na vioo vya skrini na sehemu nyingine huwa havina madoa yoyote. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua inaonekana kuwa mpya na haionyeshi dalili yoyote ya matumizi.

3. Angalia viambatanisho: Laptop mpya huja na viambatanisho vyote vilivyotajwa kwenye ufungaji, kama vile chaja, betri, na vifaa vingine. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua ina viambatanisho vyote kama ilivyoainishwa kwenye ufungaji.

4. Angalia sifa za laptop: Laptop iliyotumika inaweza kuwa na sifa tofauti na laptop mpya, kama vile RAM iliyopungua, processor duni, au kadi ya grafiki ya chini. Hakikisha kuwa sifa za laptop unayotaka kununua zinaendana na sifa za laptop mpya.

5. Uliza maelezo kutoka kwa muuzaji: Uliza muuzaji kama laptop ni mpya au imechakachuliwa. Pia, unaweza kuuliza maswali kama vile ni lini laptop ilinunuliwa na kwa nini inauzwa. Kumbuka kuwa, kama jambo linaonekana kuwa la kweli sana, basi ni vyema kuwa makini.

6. Angalia chanzo cha kununua: Kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri na mteja anaweza kusaidia kupunguza hatari ya kununua bidhaa iliyotumika kama mpya.

Kwa ujumla, bora ni kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri. Kama una shaka, unaweza kuomba uhakiki wa laptop kutoka kwa mtaalamu kabla ya kununua.
AI kwenye moja na mbili
 
Kwanza ujue maana ya refurb. Na utofautishe na used.

Refurb ni mashine yyt ambayo ilionekana ina dosari yyt mojawapo.

Refurb pia ni mashine iliyotumika kisha ikarejeshwa kiwandani na nikavadilishwa vifaa vyote vilivyoharibika na kuwekwa vipya.

Used ni kifaa kilichotumika na kuuzwa kikiwa ktk hali yake hiyo hiyo eitha kibovu au kizima lkn kimepitwa na wakati (toleo).

Kujua kifaa ni kipya au used Google bei ya kifaa hicho kwa bei ya uk ba us.

Zikiwa zinafafa hicho ni kipya. Bei ya africa ukiwa ya chini hicho ni refurb
Bongo hio hio refurb unpigwa bei ghali kushinda hata mpya.
 
Habar zenu wadau. Nataka kununua laptop lakini mimi sio mzoefu/sana na naogopa kupigwa mana siku hizi nimeskia wafanyabiashara wajanja wanauza laptop used kwa bei ya mpya, wanachofanya ni wanazisafisha na kuziweka ndani ya ganda, kitu kinaonekana brand new kumbe sio.

Je kuna namna unaweza angalia au kuna kitu specific unaweza cheki kujua kama hiyo mashine husika ni mpya au imeshatumika (refurb)?
Mkuu usipate sijui kuangalia condition sio solution kwa sababu wanatabia ya ku badilisha frame au housing ya laptop ukiiona inakuwa Kama mpya njia nzuri ya kuua chukua serial number ingia kwa manufacturing mfano dell, HP, Lenovo check warranty status hii itakuonyesha tokea imetoka kiwandani Ina muda gani sokoni...! Hii kitu wafanyabiashara hawezi ku bypass kwa sababu PC bila Seria number huwaga ikiwaga itatoa beep code mfano manufacturer anaweza kujua PC ipi ipo nchi gani kwa kutumia S/N only na pia inamsadia kujua mashine gani zinapitia gray market mambo ni mengi mkuu kwa machache hata nawasilisha ukijumlisha na michango wadau wengine itakuwa umepata kitu mkuu
 
Mi nina shida nilinunua laptop mpya kabisa kwenye box .tatizo ikiwaka haiwashi taa kwenye keyboard sasa sijui tatizo ni nini
 
Ni kweli kwamba wapo wafanyabiashara wajanja ambao wanaweza kuuza laptop iliyotumika kama mpya, lakini kuna njia kadhaa za kujiridhisha kama laptop ni mpya au imetumika. Hapa kuna njia kadhaa unazoweza kufuata:

1. Angalia ufungaji wa laptop: Kwa kawaida, laptop mpya huja na ufungaji ambao ni wa kipekee na unaonyesha kuwa haijatumika hapo awali. Angalia kwa makini ufungaji huo na hakikisha kuwa hakuna dalili yoyote ya ufungaji wa awali.

2. Angalia hali ya laptop: Laptop mpya kawaida inaonekana kuwa na hali nzuri, hakuna alama za matumizi, na vioo vya skrini na sehemu nyingine huwa havina madoa yoyote. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua inaonekana kuwa mpya na haionyeshi dalili yoyote ya matumizi.

3. Angalia viambatanisho: Laptop mpya huja na viambatanisho vyote vilivyotajwa kwenye ufungaji, kama vile chaja, betri, na vifaa vingine. Hakikisha kuwa laptop unayotaka kununua ina viambatanisho vyote kama ilivyoainishwa kwenye ufungaji.

4. Angalia sifa za laptop: Laptop iliyotumika inaweza kuwa na sifa tofauti na laptop mpya, kama vile RAM iliyopungua, processor duni, au kadi ya grafiki ya chini. Hakikisha kuwa sifa za laptop unayotaka kununua zinaendana na sifa za laptop mpya.

5. Uliza maelezo kutoka kwa muuzaji: Uliza muuzaji kama laptop ni mpya au imechakachuliwa. Pia, unaweza kuuliza maswali kama vile ni lini laptop ilinunuliwa na kwa nini inauzwa. Kumbuka kuwa, kama jambo linaonekana kuwa la kweli sana, basi ni vyema kuwa makini.

6. Angalia chanzo cha kununua: Kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri na mteja anaweza kusaidia kupunguza hatari ya kununua bidhaa iliyotumika kama mpya.

Kwa ujumla, bora ni kununua laptop kutoka kwa muuzaji anayejulikana na aliye na sifa nzuri. Kama una shaka, unaweza kuomba uhakiki wa laptop kutoka kwa mtaalamu kabla ya kununua.
Bot's expression
 
Back
Top Bottom