Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Kila jambo hupangwa na Mungu na kwa makusudi yake, akisema YES hakuna wa kusema NO. Ni suala la muda tu.
better is not good enough the best is yet to come.
hili nalo pia litapita
La hawla wala quwwata....ila billaahil-aliyyil-adhiim.
(hakuna ujanja wa aina yeyote...wala hakuna nguvu aina yeyote...kwenye jambo lolote...ispokua Mungu atake...alie juu ya kila kitu...na ni mkubwa kuliko kila kitu) hii tafsir ndio sahihi ya hayo maneno kwa ufafanuzi wake.