la magica
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,815
- 2,753
😅Sijawahi sikia/ kuona rangi inayoitwa dhahabu kwa upande wangu.
😅Sijawahi sikia/ kuona rangi inayoitwa dhahabu kwa upande wangu.
Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Wizara ya Mambo ya Ndani imepiga marufuku kutumia wimbo wa taifa isivyo sahihi. Katika tangazo hilo lililosambaa mitandaoni serikali imepiga marufuku kuimba wimbo wa taifa mahali popote pale bila kibali isipokuwa kwenye dhifa au shughuli za kitaifa.
Katika hatua nyingine serikali imekataza matumizi ya neno njano kwenye bendera ya taifa. Kwa mujibu wa serikali bendera ya taifa ina rangi nne ambazo ni
BLUE
NYEUSI
DHAHABU na
KIJANI
Hii ni tofauti na inavyofahamika na wengi ambao huitaja rangi ya njano kama mojawapo ya rangi za bendera ya taifa badala ya rangi ya dhahabu inayotambuliwa katika sheria mbalimbali.
View attachment 965324View attachment 965325View attachment 965326View attachment 965327
Maelekezo yanahitaji ufafanuzi zaidi hasa hapo kwenye dhifa zinazotakiwa kuombea kibali kupiga wimbo na kusimika Bendera
Jeiwii wataelekezaIle rangi ni manjano fullstop.
Wala usijali. Tatizo ni juzi wapinzani walipoimba pale hotelini kabla ya kikao chao. Ndomaana wamekataza maana wale sio Watanzania bali ni Wabongo.Hata North Korea 🇰🇵 kuna nafuu kuliko kuishi Tanzania
Katazame bendera ya Tanzania utaona😅
Kweli kazi hawanaaa... Itakuwa wanataka na wimbo wa taifa tuuulipie Kodi...Hawana kazi za kufanya, wacha wadesigne nonsense.