Ni lini Kanisa Katoliki litasimama kuliomba radhi taifa hili kwa kutuzalishia wengi wa wasomi wasio wazalendo?

Tena akifeli form four ndio maana anataka kusiwe na mitihani kuanzia darasa la kwanza Hadi form four.
Loliondo iliuzwa na mkiristo, mkataba wa iptl, dowans kuuza bandari walikuwa wakiristo. Hawa vipaza ni shoda kuwapa nchi.
Proposal hizo lakin kapeleka msomi wa kanisa Pofesa Adolf mkenda kumbuka.

President yeye ni mpitishaji tuh wa hizo policy, remember Kuna policy makers,na hao ndiyo hao wasomi wa kanisa tunaowasema.
 
Tena akifeli form four ndio maana anataka kusiwe na mitihani kuanzia darasa la kwanza Hadi form four.
Loliondo iliuzwa na mkiristo, mkataba wa iptl, dowans kuuza bandari walikuwa wakiristo. Hawa vipaza ni shoda kuwapa nchi.
Kweli mimi ni mkatoliki nakubaliana kw akiasi kikubwa na hoja za mleta mada ila hawa wengine uliowataja hapa ni Mtihani Mkubwa sana.

Waislam wanasema inna Lilahih wa inna illah raj'un
 
Kweli mimi ni mkatoliki nakubaliana kw akiasi kikubwa na hoja za mleta mada ila hawa wengine uliowataja hapa ni Mtihani Mkubwa sana.

Waislam wanasema inna Lilahih wa inna illah raj'un
Ha ha ha...

Man needs to look smart either at the time to get married or buried...

Allahu Akbar...!
 
Friends and Our Enemies,

Italian philosopher and poetry Dante Alighieri,who partly was influenced by Muslim Philosopher Ibn Sina used to say that 'how you do anything is how you do everything'...

Kilchotokea kwenye Taifa hili mara baada tuh ya nchi hii kupata uhuru ni kupambana na maadui watatu ambao ni ujinga,maradhi na umaskini.

Nchi hii ili iweze kupambana na ujinga ilibidi ichukue kila ambacho mkoloni alikuwa ana kimiliki kiwe wakfu Kwa Taifa hili.

Either kama mkoloni alikuwa anamiliki plantations, alikuwa anamiliki hospitals, alikuwa anamiliki shule,alikua anamiliki viwanda,alikuwa anamiliki makanisani,etc etc...so long as vitu hivyo mkoloni alivichuma hapa kwenye ardhi hii Tena Kwa kuwatumia mababu zetu kama watumwa na vijakazi wake basi Mali hizo anazoacha baada ya yeye kuondolewa ni Mali za Taifa hili Kwa kuwa alizichuma illegally ndani ya ardhi yetu.

Kwenye suala la kuondoa ujinga,kanisa lilishika hatamu Kwa kias kikubwa Kwa sababu hata kipindi ambacho wakoloni wapo ndani ya Taifa hili,wanufaika wakubwa wa the so called elimu Dunia ni watoto wa vibaraka wao weusi,ambao Kwa namna yyte wao ndiyo waliopata loopholes za kwenda shule Kwa kutumia mgongo wa Imani ili waje kuwasadia katika administration issues za chini chini na baadhi ya kazi walizoona wao zinafaa.

Baada ya kuwakimbiza wanyonyaji hao Bado mifumo ilibakia chini ya hawa vibaraka wao kiasi kilichopelekea kuzalisha wasomi wengi kizaz baada ya kizaz ambao waliingia Moja Kwa Moja katika utumishi wa umma wa Taifa hili.

Watumishi hao wengi wao kama siyo wote bahata mbaya sana wakaja kubadilika na kukosa hofu ya mungu,ambayo hata hivyo haijawahi kufundishwa huko kwenye misingi Yao ya elimu kuwa utumishi wa umma ni ibada,watumishi hao wakawa wengi wakazidi kuzaliana kizazi na kizazi kiasi Cha kupelekea wao kujaa kwenye utumishi wa umma.

Taifa lolote linaongozwa na watumishi WAZALENDO,hao ndiyo watakuwa responsible kutengeneza sera imara Kwa ajili ya kilimo,ulinzi wa nchi,elimu,biashara, technology na kadhalika.

Bahati mbaya watumishi hawa,ambao Mimi nawaona Kwa kiwango kikubwa ni Zao za shle za kanisa katoliki na mengine hawaja na msaada katika Taifa hili, wengi wao wamekuwa wabinafsi,wezi,Wala rushwa na ambao wamekosa ubunifu wa kufanya Yale yanayostahiki kufanywa kulingana na elimu Yao ili kulipeleka mbele Taifa hili.

Tunawauliza Sasa hawa wasomi wa kanisa,lini watapata uzalendo na kulitumikia Taifa hili kwa weledi na hofu ya mungu Kwa kuacha rushwa,wizi, ufisadi na kadhalika??

Ninasema hivyo kwa kujiamini Kwa sababu ni kweli wao wenyewe ndiyo wanasema ndani ya nchi hii wasomi ni wao,na serikalini wamejaa wao,sisi wengine wavaa kobazi hakuna la maana tunajua zaidi ya elimu akhera.

Je,lini kanisa katoliki LITASIMAMA kuomba radhi Kwa KUTUZALISHIA wasomi wengi ambao wamekuwa disgrace Kwa Taifa letu??
Katiba yetu ndio inatoa nafasi ya kutokuwa na viongozi wazalendo.
Haiwabani , Haiwashitaki
 
Na Mkapa je?Tena Bora hizo za mwinyi ni story za vijiwe vya mwamposa,Mkapa alikuja kukiri mwenyewe msomi wa kanisa yule kuuza mashirika ya umma Kwa bei cheeh...
Kukiri ni uungwana mkubwa na ni ujasiri.

Hata mwinyi alikiri kuwa waliua Azimio la Arusha na kuruhusu kweka soko huria badala yake likawa Soko holela.
Alisema alifanya Kwa Nia njema kama MTU anayefungua Dirisha ili hewa iingie ndani lakini mbu na nzi hutumia mwanya Huo kuingia ndani pia.

Kwa hiyo Hata mwinyi alikiri kuwa kuna MAHALI alikosea na Mkapa pia.
Yote hakukiri Kwa Babu Ya Dini yake Wala Kanisa Katoliki Bali ni udhaifu Binafsi unaotokana na mamlaka aliyopewa na Katiba na Chama chake.
 
Kukiri ni uungwana mkubwa na ni ujasiri.

Hata mwinyi alikiri kuwa waliua Azimio la Arusha na kuruhusu kweka soko huria badala yake likawa Soko holela.
Alisema alifanya Kwa Nia njema kama MTU anayefungua Dirisha ili hewa iingie ndani lakini mbu na nzi hutumia mwanya Huo kuingia ndani pia.

Kwa hiyo Hata mwinyi alikiri kuwa kuna MAHALI alikosea na Mkapa pia.
Yote hakukiri Kwa Babu Ya Dini yake Wala Kanisa Katoliki Bali ni udhaifu Binafsi unaotokana na mamlaka aliyopewa na Katiba na Chama chake.
Asante sana,tupo pamoja...

Besides, hatuwezi kuwatwisha Moja Kwa Moja hawa viongozi wakuu wa Taifa kama Maraisi.

Lakini Maraisi wanakuwa na washauri na watumishi wanaotengeneza sera na kuongoza Taasisi niaba yake.

Watumishi hao wengi ni wasomi,na wasomi ndani ya Taifa hili wengi ni Zao la wasomi wa kanisa,hapo ndiyo unakuja hoja kuwa wameshindwa kulisaidia Taifa HILI.
 
Friends and Our Enemies,

Italian philosopher and poetry Dante Alighieri,who partly was influenced by Muslim Philosopher Ibn Sina used to say that 'how you do anything is how you do everything'...

Kilchotokea kwenye Taifa hili mara baada tuh ya nchi hii kupata uhuru ni kupambana na maadui watatu ambao ni ujinga,maradhi na umaskini.

Nchi hii ili iweze kupambana na ujinga ilibidi ichukue kila ambacho mkoloni alikuwa ana kimiliki kiwe wakfu Kwa Taifa hili.

Either kama mkoloni alikuwa anamiliki plantations, alikuwa anamiliki hospitals, alikuwa anamiliki shule,alikua anamiliki viwanda,alikuwa anamiliki makanisani,etc etc...so long as vitu hivyo mkoloni alivichuma hapa kwenye ardhi hii Tena Kwa kuwatumia mababu zetu kama watumwa na vijakazi wake basi Mali hizo anazoacha baada ya yeye kuondolewa ni Mali za Taifa hili Kwa kuwa alizichuma illegally ndani ya ardhi yetu.

Kwenye suala la kuondoa ujinga,kanisa lilishika hatamu Kwa kias kikubwa Kwa sababu hata kipindi ambacho wakoloni wapo ndani ya Taifa hili,wanufaika wakubwa wa the so called elimu Dunia ni watoto wa vibaraka wao weusi,ambao Kwa namna yyte wao ndiyo waliopata loopholes za kwenda shule Kwa kutumia mgongo wa Imani ili waje kuwasadia katika administration issues za chini chini na baadhi ya kazi walizoona wao zinafaa.

Baada ya kuwakimbiza wanyonyaji hao Bado mifumo ilibakia chini ya hawa vibaraka wao kiasi kilichopelekea kuzalisha wasomi wengi kizaz baada ya kizaz ambao waliingia Moja Kwa Moja katika utumishi wa umma wa Taifa hili.

Watumishi hao wengi wao kama siyo wote bahata mbaya sana wakaja kubadilika na kukosa hofu ya mungu,ambayo hata hivyo haijawahi kufundishwa huko kwenye misingi Yao ya elimu kuwa utumishi wa umma ni ibada,watumishi hao wakawa wengi wakazidi kuzaliana kizazi na kizazi kiasi Cha kupelekea wao kujaa kwenye utumishi wa umma.

Taifa lolote linaongozwa na watumishi WAZALENDO,hao ndiyo watakuwa responsible kutengeneza sera imara Kwa ajili ya kilimo,ulinzi wa nchi,elimu,biashara, technology na kadhalika.

Bahati mbaya watumishi hawa,ambao Mimi nawaona Kwa kiwango kikubwa ni Zao za shle za kanisa katoliki na mengine hawaja na msaada katika Taifa hili, wengi wao wamekuwa wabinafsi,wezi,Wala rushwa na ambao wamekosa ubunifu wa kufanya Yale yanayostahiki kufanywa kulingana na elimu Yao ili kulipeleka mbele Taifa hili.

Tunawauliza Sasa hawa wasomi wa kanisa,lini watapata uzalendo na kulitumikia Taifa hili kwa weledi na hofu ya mungu Kwa kuacha rushwa,wizi, ufisadi na kadhalika??

Ninasema hivyo kwa kujiamini Kwa sababu ni kweli wao wenyewe ndiyo wanasema ndani ya nchi hii wasomi ni wao,na serikalini wamejaa wao,sisi wengine wavaa kobazi hakuna la maana tunajua zaidi ya elimu akhera.

Je,lini kanisa katoliki LITASIMAMA kuomba radhi Kwa KUTUZALISHIA wasomi wengi ambao wamekuwa disgrace Kwa Taifa letu??
Hao 🌈 kwani wanajali Hilo? Ilimradi kwao pesa safi na Chafu imeingia.
 
Asante sana,tupo pamoja...

Besides, hatuwezi kuwatwisha Moja Kwa Moja hawa viongozi wakuu wa Taifa kama Maraisi.

Lakini Maraisi wanakuwa na washauri na watumishi wanaotengeneza sera na kuongoza Taasisi niaba yake.

Watumishi hao wengi ni wasomi,na wasomi ndani ya Taifa hili wengi ni Zao la wasomi wa kanisa,hapo ndiyo unakuja hoja kuwa wameshindwa kulisaidia Taifa HILI.
Watumish wenyewe ccm sasa hamna kitu hapo.

They only look into what the earn at their belly level.
 
Nyie akili zenu za madrasa hamuwezi kunielewa
Ndivyo mnavyosema hata kwenye madili & upigaji. My friend, Rome is irredeemably corrupt. Halafu top tens ndio wale wanajiita viongozi wa dini.

Wanavyopotosha Ukristu na kuudhalilisha, ndivyo wanavyofanya hadi kwenye masuala ya umma.

Rejea nukuu ya mfilosofia Dante; huo ni unabii wenu 100% unawahusu.
 
Back
Top Bottom