Ni lini Kanisa Katoliki litasimama kuliomba radhi taifa hili kwa kutuzalishia wengi wa wasomi wasio wazalendo?

That's why nasema Kanisa linatakiwa liombe radhi Kwa kuzalishwa wasomi wa hovyo kizazi na kizazi hadi Leo hii.

Kwani suala Hilo SI ni nyinyi wenyewe mnajitamba Kwa jeuri kuwa wenye shule ni nyinyi?na sisi tusio na shule kazi zetu ni uswahili.

Awamu ya kwanza ya Nyerere ni awamu mbovu kuwahi kutokea,nchi ni almost ilikua imeanguka kiuchumi na kila sekta ya Maisha,unadhani sera ya kusema Ruksa ilikuja Kwa bahati MBAYA??may be umri wako ni mdogo huwezi kuelewa.

Awamu hiyo ya tatu,ndiyo wasomi wa awamu hiyo wa kanisa wakawa vinara kuuza na kubinfasisha mashirika ya umma Kwa bei Chee,hadi mwenyewe kiongozi kufikia hatua ya kukiri kujutia uozo kama ule.

Hiyo Bado haiondoi fact kuwa wasomi wote katika awamu hizo Bado ni hao hao wa Kanisa, wasomi wa kanisa wamekuwa disgrace Kwa Taifa hili
Nyerere usimfananushe na wahuni.
Kila taifa Lina Nabii wake na mbeba maono anayeweka dirá ya Nchi.
Nyerere ndiye aliyewekwa na Mungu kuweka mweleko Wa Nchi Hii.
Mwisho Wa Yote Tanzania litakua Taifa kubwa sana Kutokana na misingi aliyoiweka Mwalimu.
Leo WATANZANIA Karibu Wote wanamiliki ardhi Zao za asili Kwa Sababu ya Mwalimu kuwanyanganya mashetani waliotoka uarabuni na Ulaya na kuja kukalia ardhi ya waafrika walipewa na MUNGU.

Hivi WATANZANIA mil. 61 wangeishije Kama wangekua Hawana ardhi ya kulima na kujitafutia riziki Zao?

Kwa Mfano Ardhi anayomiliki No Wa Simba ni kubwa usawa Wa karbu Wilaya mbili kubwa . Je, wangeachwa Matajiri mia Mbili Nchi nzima . Wabakie wale waliomikiki maelfu ya mashamba ya Korosho Kule Kusini. Malaki ya hekari za mashamba ya ngano,Mahindi,maharage na shayiri, maelfu ya mashamba ya mpunga Kule mbarali, maelfu ya mashamba ya Pamba Kule shinyanga na Mwanza, maelfu ya ekari za mashamba ya Tumbakuku Kule Tabora . Mamia ya ekari za mashamba ya Kahawa Kule Kilimanjaro n.k.
Na Kwa utajiri wao wangekua wanaongeza mashamba Kila Siku .
Ni Shetani tu na mawakala wake ambao wanamsujudia Kwa ajili ya Mali za Dunia ámbao hawaoni kuwa kama SIO Mwalimu Nyerere WATANZANIA hasa Watanganyika tungekua watumwa kwenye mashamba na Viwanda vya Wageni milele kwenye ardhi aliyotupa MUNGU .

Maandamano ya Kudai ajira , mishahahara Dunia ,Makazi Duni, huduma Dunia za afya n.k yasingekoma.
Tungekua tunaishi kama waafrika wenzetu kule Afrika Kusini.
 
That's why nasema Kanisa linatakiwa liombe radhi Kwa kuzalishwa wasomi wa hovyo kizazi na kizazi hadi Leo hii.

Kwani suala Hilo SI ni nyinyi wenyewe mnajitamba Kwa jeuri kuwa wenye shule ni nyinyi?na sisi tusio na shule kazi zetu ni uswahili.

Awamu ya kwanza ya Nyerere ni awamu mbovu kuwahi kutokea,nchi ni almost ilikua imeanguka kiuchumi na kila sekta ya Maisha,unadhani sera ya kusema Ruksa ilikuja Kwa bahati MBAYA??may be umri wako ni mdogo huwezi kuelewa.

Awamu hiyo ya tatu,ndiyo wasomi wa awamu hiyo wa kanisa wakawa vinara kuuza na kubinfasisha mashirika ya umma Kwa bei Chee,hadi mwenyewe kiongozi kufikia hatua ya kukiri kujutia uozo kama ule.

Hiyo Bado haiondoi fact kuwa wasomi wote katika awamu hizo Bado ni hao hao wa Kanisa, wasomi wa kanisa wamekuwa disgrace Kwa Taifa hili
Dr. Abdalah kigoda alikuwa mseminari
 
Friends and Our Enemies,

Italian philosopher and poetry Dante Alighieri,who partly was influenced by Muslim Philosopher Ibn Sina used to say that 'how you do anything is how you do everything'...

Kilchotokea kwenye Taifa hili mara baada tuh ya nchi hii kupata uhuru ni kupambana na maadui watatu ambao ni ujinga,maradhi na umaskini.

Nchi hii ili iweze kupambana na ujinga ilibidi ichukue kila ambacho mkoloni alikuwa ana kimiliki kiwe wakfu Kwa Taifa hili.

Either kama mkoloni alikuwa anamiliki plantations, alikuwa anamiliki hospitals, alikuwa anamiliki shule,alikua anamiliki viwanda,alikuwa anamiliki makanisani,etc etc...so long as vitu hivyo mkoloni alivichuma hapa kwenye ardhi hii Tena Kwa kuwatumia mababu zetu kama watumwa na vijakazi wake basi Mali hizo anazoacha baada ya yeye kuondolewa ni Mali za Taifa hili Kwa kuwa alizichuma illegally ndani ya ardhi yetu.

Kwenye suala la kuondoa ujinga,kanisa lilishika hatamu Kwa kias kikubwa Kwa sababu hata kipindi ambacho wakoloni wapo ndani ya Taifa hili,wanufaika wakubwa wa the so called elimu Dunia ni watoto wa vibaraka wao weusi,ambao Kwa namna yyte wao ndiyo waliopata loopholes za kwenda shule Kwa kutumia mgongo wa Imani ili waje kuwasadia katika administration issues za chini chini na baadhi ya kazi walizoona wao zinafaa.

Baada ya kuwakimbiza wanyonyaji hao Bado mifumo ilibakia chini ya hawa vibaraka wao kiasi kilichopelekea kuzalisha wasomi wengi kizaz baada ya kizaz ambao waliingia Moja Kwa Moja katika utumishi wa umma wa Taifa hili.

Watumishi hao wengi wao kama siyo wote bahata mbaya sana wakaja kubadilika na kukosa hofu ya mungu,ambayo hata hivyo haijawahi kufundishwa huko kwenye misingi Yao ya elimu kuwa utumishi wa umma ni ibada,watumishi hao wakawa wengi wakazidi kuzaliana kizazi na kizazi kiasi Cha kupelekea wao kujaa kwenye utumishi wa umma.

Taifa lolote linaongozwa na watumishi WAZALENDO,hao ndiyo watakuwa responsible kutengeneza sera imara Kwa ajili ya kilimo,ulinzi wa nchi,elimu,biashara, technology na kadhalika.

Bahati mbaya watumishi hawa,ambao Mimi nawaona Kwa kiwango kikubwa ni Zao za shle za kanisa katoliki na mengine hawaja na msaada katika Taifa hili, wengi wao wamekuwa wabinafsi,wezi,Wala rushwa na ambao wamekosa ubunifu wa kufanya Yale yanayostahiki kufanywa kulingana na elimu Yao ili kulipeleka mbele Taifa hili.

Tunawauliza Sasa hawa wasomi wa kanisa,lini watapata uzalendo na kulitumikia Taifa hili kwa weledi na hofu ya mungu Kwa kuacha rushwa,wizi, ufisadi na kadhalika??

Ninasema hivyo kwa kujiamini Kwa sababu ni kweli wao wenyewe ndiyo wanasema ndani ya nchi hii wasomi ni wao,na serikalini wamejaa wao,sisi wengine wavaa kobazi hakuna la maana tunajua zaidi ya elimu akhera.

Je,lini kanisa katoliki LITASIMAMA kuomba radhi Kwa KUTUZALISHIA wasomi wengi ambao wamekuwa disgrace Kwa Taifa letu??
Una inferiority complex!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hao Jamáa na genge lake walikua wananunua ardhi ekari Moja Kwa Sh.mil. 2 kisha wanauzia NSSF Kwa bil. Moja.
Ndiyo maana akasema wasomi hao minions kwa Rome wanalifelisha taifa. Walipaswa wazibe mianya kama hiyo. Amka usingizini, tafadhali.

Siku hizi MTU anaiba kisha anajitokeza kufanya shughuli za kidini na kupigiwa makofi badala ya Kupigwa makofi.
Hii nimeipenda; umekuwa mwanamashairi nawe kama Dante. :)
 
Mwambie huyu Pimbi.Kasahau Mwinyi aliuza Loliondo kwa Waarabu na huyu mwingine kauza Bandari huko huko sasa sijui walisoma Seminar zipi ?.
Na Mkapa je?Tena Bora hizo za mwinyi ni story za vijiwe vya mwamposa,Mkapa alikuja kukiri mwenyewe msomi wa kanisa yule kuuza mashirika ya umma Kwa bei cheeh...
 
Friends and Our Enemies,

Italian philosopher and poetry Dante Alighieri,who partly was influenced by Muslim Philosopher Ibn Sina used to say that 'how you do anything is how you do everything'...

Kilchotokea kwenye Taifa hili mara baada tuh ya nchi hii kupata uhuru ni kupambana na maadui watatu ambao ni ujinga,maradhi na umaskini.

Nchi hii ili iweze kupambana na ujinga ilibidi ichukue kila ambacho mkoloni alikuwa ana kimiliki kiwe wakfu Kwa Taifa hili.

Either kama mkoloni alikuwa anamiliki plantations, alikuwa anamiliki hospitals, alikuwa anamiliki shule,alikua anamiliki viwanda,alikuwa anamiliki makanisani,etc etc...so long as vitu hivyo mkoloni alivichuma hapa kwenye ardhi hii Tena Kwa kuwatumia mababu zetu kama watumwa na vijakazi wake basi Mali hizo anazoacha baada ya yeye kuondolewa ni Mali za Taifa hili Kwa kuwa alizichuma illegally ndani ya ardhi yetu.

Kwenye suala la kuondoa ujinga,kanisa lilishika hatamu Kwa kias kikubwa Kwa sababu hata kipindi ambacho wakoloni wapo ndani ya Taifa hili,wanufaika wakubwa wa the so called elimu Dunia ni watoto wa vibaraka wao weusi,ambao Kwa namna yyte wao ndiyo waliopata loopholes za kwenda shule Kwa kutumia mgongo wa Imani ili waje kuwasadia katika administration issues za chini chini na baadhi ya kazi walizoona wao zinafaa.

Baada ya kuwakimbiza wanyonyaji hao Bado mifumo ilibakia chini ya hawa vibaraka wao kiasi kilichopelekea kuzalisha wasomi wengi kizaz baada ya kizaz ambao waliingia Moja Kwa Moja katika utumishi wa umma wa Taifa hili.

Watumishi hao wengi wao kama siyo wote bahata mbaya sana wakaja kubadilika na kukosa hofu ya mungu,ambayo hata hivyo haijawahi kufundishwa huko kwenye misingi Yao ya elimu kuwa utumishi wa umma ni ibada,watumishi hao wakawa wengi wakazidi kuzaliana kizazi na kizazi kiasi Cha kupelekea wao kujaa kwenye utumishi wa umma.

Taifa lolote linaongozwa na watumishi WAZALENDO,hao ndiyo watakuwa responsible kutengeneza sera imara Kwa ajili ya kilimo,ulinzi wa nchi,elimu,biashara, technology na kadhalika.

Bahati mbaya watumishi hawa,ambao Mimi nawaona Kwa kiwango kikubwa ni Zao za shle za kanisa katoliki na mengine hawaja na msaada katika Taifa hili, wengi wao wamekuwa wabinafsi,wezi,Wala rushwa na ambao wamekosa ubunifu wa kufanya Yale yanayostahiki kufanywa kulingana na elimu Yao ili kulipeleka mbele Taifa hili.

Tunawauliza Sasa hawa wasomi wa kanisa,lini watapata uzalendo na kulitumikia Taifa hili kwa weledi na hofu ya mungu Kwa kuacha rushwa,wizi, ufisadi na kadhalika??

Ninasema hivyo kwa kujiamini Kwa sababu ni kweli wao wenyewe ndiyo wanasema ndani ya nchi hii wasomi ni wao,na serikalini wamejaa wao,sisi wengine wavaa kobazi hakuna la maana tunajua zaidi ya elimu akhera.

Je,lini kanisa katoliki LITASIMAMA kuomba radhi Kwa KUTUZALISHIA wasomi wengi ambao wamekuwa disgrace Kwa Taifa letu??
Wanaojiita walisomea Seminari upuuzi mtupu
 
Ndiyo maana akasema wasomi hao minions kwa Rome wanalifelisha taifa. Walipaswa wazibe mianya kama hiyo. Amka usingizini, tafadhali.


Hii nimeipenda; umekuwa mwanamashairi nawe kama Dante. :)
Ha ha ha,Kawa Dante Alighieri,teh teh teh...

Before me,there were no created things...


Ha ha ha,man needs to look smart either at the time to get married or buried....
 
Understand this,ww msomi wa kanisa lielewe hili...Rais aliepo madarakani Hana ubavu wa kuwafanya hao wasomi waache kuiba,ndiyo maana Kuna mahakama,polisi,takukuru na kadhalika,hiyo yote ni kudeal na hao wanaojiita wasomi.

Hata magufuli ambae kwako ww unaweza sema kuwa alikuwa anapambana na ufisadi,Bado wasomi waliojaa kwenye utumishi ambao wengi ni wasomi wa kanisa hawakuisha kuliibia Taifa hili na kuingia mikataba mibovu,hadi akifika hatua magufuli akasema sijui kabudi unawafundisha Nini huko chuo.

Sisi Bado tunataka Kanisa lituambie lini litaomba radhi Kwa niaba ya wasomi wao hawa.
Shida ni ccm.
 
Friends and Our Enemies,

Italian philosopher and poetry Dante Alighieri,who partly was influenced by Muslim Philosopher Ibn Sina used to say that 'how you do anything is how you do everything'...

Kilchotokea kwenye Taifa hili mara baada tuh ya nchi hii kupata uhuru ni kupambana na maadui watatu ambao ni ujinga,maradhi na umaskini.

Nchi hii ili iweze kupambana na ujinga ilibidi ichukue kila ambacho mkoloni alikuwa ana kimiliki kiwe wakfu Kwa Taifa hili.

Either kama mkoloni alikuwa anamiliki plantations, alikuwa anamiliki hospitals, alikuwa anamiliki shule,alikua anamiliki viwanda,alikuwa anamiliki makanisani,etc etc...so long as vitu hivyo mkoloni alivichuma hapa kwenye ardhi hii Tena Kwa kuwatumia mababu zetu kama watumwa na vijakazi wake basi Mali hizo anazoacha baada ya yeye kuondolewa ni Mali za Taifa hili Kwa kuwa alizichuma illegally ndani ya ardhi yetu.

Kwenye suala la kuondoa ujinga,kanisa lilishika hatamu Kwa kias kikubwa Kwa sababu hata kipindi ambacho wakoloni wapo ndani ya Taifa hili,wanufaika wakubwa wa the so called elimu Dunia ni watoto wa vibaraka wao weusi,ambao Kwa namna yyte wao ndiyo waliopata loopholes za kwenda shule Kwa kutumia mgongo wa Imani ili waje kuwasadia katika administration issues za chini chini na baadhi ya kazi walizoona wao zinafaa.

Baada ya kuwakimbiza wanyonyaji hao Bado mifumo ilibakia chini ya hawa vibaraka wao kiasi kilichopelekea kuzalisha wasomi wengi kizaz baada ya kizaz ambao waliingia Moja Kwa Moja katika utumishi wa umma wa Taifa hili.

Watumishi hao wengi wao kama siyo wote bahata mbaya sana wakaja kubadilika na kukosa hofu ya mungu,ambayo hata hivyo haijawahi kufundishwa huko kwenye misingi Yao ya elimu kuwa utumishi wa umma ni ibada,watumishi hao wakawa wengi wakazidi kuzaliana kizazi na kizazi kiasi Cha kupelekea wao kujaa kwenye utumishi wa umma.

Taifa lolote linaongozwa na watumishi WAZALENDO,hao ndiyo watakuwa responsible kutengeneza sera imara Kwa ajili ya kilimo,ulinzi wa nchi,elimu,biashara, technology na kadhalika.

Bahati mbaya watumishi hawa,ambao Mimi nawaona Kwa kiwango kikubwa ni Zao za shle za kanisa katoliki na mengine hawaja na msaada katika Taifa hili, wengi wao wamekuwa wabinafsi,wezi,Wala rushwa na ambao wamekosa ubunifu wa kufanya Yale yanayostahiki kufanywa kulingana na elimu Yao ili kulipeleka mbele Taifa hili.

Tunawauliza Sasa hawa wasomi wa kanisa,lini watapata uzalendo na kulitumikia Taifa hili kwa weledi na hofu ya mungu Kwa kuacha rushwa,wizi, ufisadi na kadhalika??

Ninasema hivyo kwa kujiamini Kwa sababu ni kweli wao wenyewe ndiyo wanasema ndani ya nchi hii wasomi ni wao,na serikalini wamejaa wao,sisi wengine wavaa kobazi hakuna la maana tunajua zaidi ya elimu akhera.

Je,lini kanisa katoliki LITASIMAMA kuomba radhi Kwa KUTUZALISHIA wasomi wengi ambao wamekuwa disgrace Kwa Taifa letu??
Bora sisi tunazalisha watu wa madrasa ambao ni wazalendo kwa waarabu. Uongo? Inshallah tutafika tu siku moja uarabuni.
 
Moderators hivi mumekubali mtu mmoja alichafue jukwaa hili kila siku kwa mada zake muflisi kulitukana Kanisa Katoliki na Ukristo kwa ujumla wake? Anawalipa kiasi gani hadi mnamruhusu kufanya jukwaa kama kijiwe cha kuukashifu Ukristo? Jee mtatuvumilia wengine tuanze kumwaga shombo kwa Uislam? Tusifikishane huko ila kama mtaendelea kumhamasisha The Big Show atudhalilishe hapatatosha. Pigeni life ban huyu mkorofi.
 
Wanaojiita walisomea Seminari upuuzi mtupu
Exactly, exactly...uozo mwingi sana katika utumishi wa umma hawawez kukwepa hawa wasomi wa kanisa,Mimi nafurahi Kwa wakati mwingine si wanasema sisi hatuna shule?Sasa wao wenye shule tunaona uozo wanaofanya katika utumishi wa umma,wizi,madili,rushwa na ufisadi...Kisha hodari wa kutoa sadaka makanisani....
 
Exactly, exactly...uozo mwingi sana katika utumishi wa umma hawawez kukwepa hawa wasomi wa kanisa,Mimi nafurahi Kwa wakati mwingine si wanasema sisi hatuna shule?Sasa wao wenye shule tunaona uozo wanaofanya katika utumishi wa umma,wizi,madili,rushwa na ufisadi...Kisha hodari wa kutoa sadaka makanisani....
Seminari sijui JKT uzalendo ni bosheni tu.
 
Moderators hivi mumekubali mtu mmoja alichafue jukwaa hili kila siku kwa mada zake muflisi kulitukana Kanisa Katoliki na Ukristo kwa ujumla wake? Anawalipa kiasi gani hadi mnamruhusu kufanya jukwaa kama kijiwe cha kuukadhifu Ukristo? Jee mtatuvumilia wengine tuanze kumwaga shombo kwa Uislam? Tusifikishane huko ila kama mtaendelea kumhamasisha The Big Show atudhalilishe hapatatosha. Pigeni life ban huyu mkorofi.
Oooh pole sana Mkuu kama nimeumiza hisia zako.

But,hili ni jukwaa huru kutoa mawazo yako,wapi nimeudhalilisha ukristo??

Kwani ni uongo kuwa kwenye utumishi wa umma wengi ni nyinyi??

Na je wewe unaridhika na weledi wa hao watumishi?
 
Moderators hivi mumekubali mtu mmoja alichafue jukwaa hili kila siku kwa mada zake muflisi kulitukana Kanisa Katoliki na Ukristo kwa ujumla wake? Anawalipa kiasi gani hadi mnamruhusu kufanya jukwaa kama kijiwe cha kuukashifu Ukristo? Jee mtatuvumilia wengine tuanze kumwaga shombo kwa Uislam? Tusifikishane huko ila kama mtaendelea kumhamasisha The Big Show atudhalilishe hapatatosha. Pigeni life ban huyu mkorofi.
Katoliki kama kawaida yao anataka tena kutumia mamlaka kuzima ufisadi wake usitajwe. Huku ni kufilisika fikra.
 
Seminari sijui JKT uzalendo ni bosheni tu.
Magufuli alianzisha zoezi la kuhakiki watumishi hewa na watu walioghushi vyeti na kujipatia ajira kipindi kileee.

Kuja kutahamaki Majibu yake loooh,wengi wao ni vijana wa kanisa,Hali ikaja kuwa mbaya sana katika kuwachomoa wezi wale,hawakuamini walichokiona kabisa.
 
Magufuli alianzisha zoezi la kuhakiki watumishi hewa na watu walioghushi vyeti na kujipatia ajira kipindi kileee.

Kuja kutahamaki Majibu yake loooh,wengi wao ni vijana wa kanisa,Hali ikaja kuwa mbaya sana katika kuwachomoa wezi wale,hawakuamini walichokiona kabisa.
Na makonda pia ni kijana wa kanisa?
 
Back
Top Bottom