kweli nchi inaendeshwa kishkaji...umenikumbusha kitu...!!
waziri masha ameshamlalamikia huyu jamaa kwa rais kuwa hawaheshimu yeye waala naibu wake.....na katika siku za karibuni habari za uhakika walikuwa kama paka na panya.....nadhani jk amechukia kwa nini jamaa hamuheshimu rafiki yake....kaamua kumpeleka dampo ya mahasimu wake wizara ya ardhi akakae pale na waziri magufuli!!!!
Kwani JK alishampeleka Magufuli Wizara ya Ardhi kutoka Mifugo?.......hee basi nimepitwa na mengi
pia natoa pongezi kwa salome sijaona ...kwani ni kati ya makatibu wakuu waadilifu.., ardhi kuna kashfa sana lakini sijapata kumsikia na tatizo pale......na amekaa miaka mingi sana pale.............
kudos salome!!
Kwa kweli Mama ni mchapa kazi muadilifu......nafikri Mrema wa TANROADS atakuwa amepata relief sana kusikia hizi habari..........
BTW.....Phil.....huyu Mama hizi siku zake za mwisho pale Wizarani amekuwa na pilika pilika nyingi sana kwenye mambo ya ardhi na hasa kule kwao........nahisi ndio alikuwa anajijengea channel ya ubunge..........ngoja tusubiri time will tell.............