Nimesikiliza maoni ya watu wakiwemo watazamaji wa ITV kwenye kipindi cha Kipima joto jana ambapo wengi wameelezea kuwa tatizo la undugunaizesheni ndani ya serikali ndio chimbuko la wizi na ufisadi.
wamesema watuhumiwa wa ufisadi wanashindwa hatua kutokana na baadhi yao kuwa na mafungamano na wakubwa hivyo suala la kuwajishana linakuwa gumu licha ya Mh Rais Samia kuagiza wahusika wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG watupishe.
wamesema watuhumiwa wa ufisadi wanashindwa hatua kutokana na baadhi yao kuwa na mafungamano na wakubwa hivyo suala la kuwajishana linakuwa gumu licha ya Mh Rais Samia kuagiza wahusika wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG watupishe.