Msimu huu wa bunge umetawaliwa na taarifa ya CAG ambayo inaonesha wizi mkubwa serikalini. Tatizo malalamiko ya wabunge yanalenga taasisi za serikali na watendaji wake bila kuwataja mawaziri ambao ni wabunge wenzao. Ukweli ni kwamba mawaziri wote wa serikali ya rais Samia wanashindana kuiba pesa za serikali.
Kuna uhakika kwamba waziri wa kilimo anajenga vituo 11 vya mafuta ktk njia ya Kibaha hadi Chalinze. Waziri wa maji yeye ameshatajwa kuiba pesa inayorudishwa kwenye mabonde kwa ajili ya kazi mbali mbali na tatizo kubwa imekuwa ni ushirikianio uliopo kati ya PCCB na hao wanaohisiwa ktk wizi.
Waziri wa fedha ndo hivyo tena na biashara za kununua mabasi rundo na kuyaweka ndani ya kampuni za usafirishaji.
Waziri wa ujenzi anaendesha kampuni ndani ya wizara na pale dodoma sasa naye yuko kwenye tenda za ujenzi wa uwanjka wa ndege wa Msalato.
Pale UDOM kuna shopping Mall ambalo tunaambiwa ni rais wa nchi anjenga; mtu ambaye kisha sema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Kwa ujumla hatuna serikali. Tangu juu hadi chini ni mashindano ya wizi. Mitandaoni wamewekwa wapambe kutetea wizi huo kwa kuomba ushahidi.
Bungeni wanashambuliwa watendaji wa taasisi tu. Taasisi haiwezi kuwa na wizi bila waziri na katibu mkuu kuruhusu.
Kuna uhakika kwamba waziri wa kilimo anajenga vituo 11 vya mafuta ktk njia ya Kibaha hadi Chalinze. Waziri wa maji yeye ameshatajwa kuiba pesa inayorudishwa kwenye mabonde kwa ajili ya kazi mbali mbali na tatizo kubwa imekuwa ni ushirikianio uliopo kati ya PCCB na hao wanaohisiwa ktk wizi.
Waziri wa fedha ndo hivyo tena na biashara za kununua mabasi rundo na kuyaweka ndani ya kampuni za usafirishaji.
Waziri wa ujenzi anaendesha kampuni ndani ya wizara na pale dodoma sasa naye yuko kwenye tenda za ujenzi wa uwanjka wa ndege wa Msalato.
Pale UDOM kuna shopping Mall ambalo tunaambiwa ni rais wa nchi anjenga; mtu ambaye kisha sema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Kwa ujumla hatuna serikali. Tangu juu hadi chini ni mashindano ya wizi. Mitandaoni wamewekwa wapambe kutetea wizi huo kwa kuomba ushahidi.
Bungeni wanashambuliwa watendaji wa taasisi tu. Taasisi haiwezi kuwa na wizi bila waziri na katibu mkuu kuruhusu.