kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Ni kweli ameyasema haya, na ni makosa makubwa sana kwake kisiasa....tatizo ameshindwa kutofautisha ethics za Bongo Fleva na Ubunge..mwenyekiti alifanya kazi ya ku-qualify statements za Sugu palepale jukwaani..ilikua ni aibu sana aiseee..
Aibu ya wapi wewe?mnalalamika kuhusu wizi alafu wenyewe tena mnatetea wizi,namuunga mkono SUGU tena napenda wazo hilo liingie kwenye katiba,we unasemaje?