Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,918
- 32,335
Hawa ndio viongozi wanaotaka tuwakabidhi nchi yetu watuongoze, nchi inaongozwa na utawala wa kisheria sasa huyu Mbunge wa Chadema SUGU anasema watu wapigwe mawe yaani ni upuuzi kuwa na wabunge kama hawa, tatizo kuongozwa na wahuni 'washarobaro' pumba tupu huyu Sugu abakie kwenye bongo fleva akatoe matusi yake huku. nyie Chadema Tanzania ni nchi ya amani msituletee uhuni wenu na wabunge wenu wavuta bangi