Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Wakuu nimegutushwa jambo hapa hivi kweli mshahara wa 315000 mara wafanyakazi 350000 kwa miezi 12 ni trillion 6? Au rais kutusanii kama ilivyo kawaida yake?
315,000 x 350000 =110,250,000,000.00 x 12=1,323,000,000,000.00
6trillion maana yake ni Tsh 6,000,000,000.00
Kuna Balance ya Tsh 5,000,000,000.00
Balance analipia safari za ndege kwenda kutembelea nchi za ulaya kutafuta wawekezaji.
Haya ni mawazo yangu tu.