Ni kweli ndoa ya Clouds Fm na CCM ishafungwa?

ili kitu nachoshukuru watu wengi wameisusia, kuna watu hata lile tangazo la Zain la kibonde likiwekwa wanabadilisha channel. kwa hiyo dawa yao ni kuendelea kuwasusia pamoja tunaweza

Asante Mkuu nikuwa nafikili ni mimi peke yangu kubadilisha Channel wakati kibonde akija na Tangazo la Zain, Nilianza kumuona kibonde kama mtu hovyo alipokuwa pale M.city kama eti Mhamasishaji...,then kaingia kwenye Tangazo cjui ZAIN walifikilia nini
 
Wajameni tuache ushabiki for the sake of ushabiki, kwa maoni yangu, Clouds wanafanya kazi mzuri ya kuipa jamii kile ilichokosa, japo nakubaliana na dhana nzima ya profesionalism kwenye kazi yoyote, utangazaji ni kipaji, sio elimu, watangazaji wazuri wote wa iliyokuwa RTD wengi wote walikuwa maForm Four Levers wenye pass za chini ambao hawakuweza kwenda form 5. Wale waliosoma RTD walipolekwa newsroom, huko ndiko profesionalism ya media inaaply, watangazaji kazi yao ilikuwa ni kubwabwaja, hata wasoma habari kazi yao ilikuwa ni kusoma tuu kitu walichoandikiwa na vichwa vya newsroom.

Kuwa mtangazaji mzuri, huhitaji kuwa kichwa, unahitaji kipaji tuu na moral standards kuwa hiki niseme, au hiki nisiseme, hivyo naombeni hoja ya elimu ya watangazaji wa Clouds tuondoe.

Kwa vile sasa tumeendelea zaidi, kazi ya utangazaji sio kubwabwaja tuu, ni pamoja na kufanya analysis na coments, hivyo kunahitajika just general knowledge ya mambo ya kawaida ambayo kwa kweli hii Clouds hawana.

Nimesema Clouds ni redio nzuri kwa sababu inawapatia watu kile walichokosa, miaka ya nyuma nikiwa mtaani, nikadhani magazeti ya udaku ni kwa ajili ya watu wa chini, mastandard 7 levers na wale watu wa uswahilini. Nilipojoin UDSM, nilidhani magazeti hayo hayawezi kuwa na soko sehemu ya wasomi kama Mlimani!, to my surprise ndio magazeti yanayonunuliwa sana na wanafunzi wa Chuo kuliko magazeti mengine yoyote, na huisha mapema zaidi wakati magazeti mengine kibao, hudoda! (japa sababu inaweza kuwa ni bei poa, wakati huo yakiuzwa Sh.100).

Ndivyo ilivyo Clouds Radio, ni radio ya vijana, mambo ya udaku udaku and such sort, wamejikuta kumbe kuna sehemu kubwa ya jamii hiki ndicho wanachokitaka, hivyo hawahitaji watangazaji wasomi na bado wasikilizaji ni kibao.

Kipindi cha Jahazi, cha Gadner na Kibonde, ndicho kipindi kinachosikilizwa kupita kipindi kingine chochote wakati huo, Clouds wanalijua hili, na Gadner na Kibonde pia wanalijua, matokeo yake sasa wamevimba vichwa mpaka wanaharibu. Mimi ni msikilizaji wao mzuri na ninaendelea kuwasikiliza japo huwa nakereka.

Siku walipoishukia JF, pia niliwasikiliza, kusema ukweli pamoja na vipaji vyao vya hali ya juu, wanabwabwaja kupindukia, hali inayopelekea kuvuka mipaka na hata kutumia lugha isiyofaa( Kibonde), kwa sababu amesifiwa amevimba kichwa, hivyo amejiweka juu na kuwaunder estimate wasikilizaji wake, kuwa mtangazaji ndio zaidi. Hii inapelekea wenye akili zao kuwaona they are just fools fulani wanafurahisha genge. Kibonde ni MC, lugha zake nyingi za utani na uwezo wa kuigiza sauti za watu mbalimbali, unakipa kipindi hicho ladha ya pekee na vionjo adimu, Gadner alionekana kama modarator akimdhibiti Kibonde asipitilize, lakini sasa lao limekuwa moja ndio kwanza Gadner anamchochea Kibonde kuzidi kumwaga upupu.

Mimi yangu macho na masikio, ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka, nawathibitishia wana JF, hii ngoma ya Jahazi, sasa yalia sana, inakaribia kupasuka!.
 
Wajameni tuache ushabiki for the sake of ushabiki, kwa maoni yangu, Clouds wanafanya kazi mzuri ya kuipa jamii kile ilichokosa, japo nakubaliana na dhana nzima ya profesionalism kwenye kazi yoyote, utangazaji ni kipaji, sio elimu, watangazaji wazuri wote wa iliyokuwa RTD wengi wote walikuwa maForm Four Levers wenye pass za chini ambao hawakuweza kwenda form 5. Wale waliosoma RTD walipolekwa newsroom, huko ndiko profesionalism ya media inaaply, watangazaji kazi yao ilikuwa ni kubwabwaja, hata wasoma habari kazi yao ilikuwa ni kusoma tuu kitu walichoandikiwa na vichwa vya newsroom.

Kuwa mtangazaji mzuri, huhitaji kuwa kichwa, unahitaji kipaji tuu na moral standards kuwa hiki niseme, au hiki nisiseme, hivyo naombeni hoja ya elimu ya watangazaji wa Clouds tuondoe.

Kwa vile sasa tumeendelea zaidi, kazi ya utangazaji sio kubwabwaja tuu, ni pamoja na kufanya analysis na coments, hivyo kunahitajika just general knowledge ya mambo ya kawaida ambayo kwa kweli hii Clouds hawana.

Nimesema Clouds ni redio nzuri kwa sababu inawapatia watu kile walichokosa, miaka ya nyuma nikiwa mtaani, nikadhani magazeti ya udaku ni kwa ajili ya watu wa chini, mastandard 7 levers na wale watu wa uswahilini. Nilipojoin UDSM, nilidhani magazeti hayo hayawezi kuwa na soko sehemu ya wasomi kama Mlimani!, to my surprise ndio magazeti yanayonunuliwa sana na wanafunzi wa Chuo kuliko magazeti mengine yoyote, na huisha mapema zaidi wakati magazeti mengine kibao, hudoda! (japa sababu inaweza kuwa ni bei poa, wakati huo yakiuzwa Sh.100).

Ndivyo ilivyo Clouds Radio, ni radio ya vijana, mambo ya udaku udaku and such sort, wamejikuta kumbe kuna sehemu kubwa ya jamii hiki ndicho wanachokitaka, hivyo hawahitaji watangazaji wasomi na bado wasikilizaji ni kibao.

Kipindi cha Jahazi, cha Gadner na Kibonde, ndicho kipindi kinachosikilizwa kupita kipindi kingine chochote wakati huo, Clouds wanalijua hili, na Gadner na Kibonde pia wanalijua, matokeo yake sasa wamevimba vichwa mpaka wanaharibu. Mimi ni msikilizaji wao mzuri na ninaendelea kuwasikiliza japo huwa nakereka.

Siku walipoishukia JF, pia niliwasikiliza, kusema ukweli pamoja na vipaji vyao vya hali ya juu, wanabwabwaja kupindukia, hali inayopelekea kuvuka mipaka na hata kutumia lugha isiyofaa( Kibonde), kwa sababu amesifiwa amevimba kichwa, hivyo amejiweka juu na kuwaunder estimate wasikilizaji wake, kuwa mtangazaji ndio zaidi. Hii inapelekea wenye akili zao kuwaona they are just fools fulani wanafurahisha genge. Kibonde ni MC, lugha zake nyingi za utani na uwezo wa kuigiza sauti za watu mbalimbali, unakipa kipindi hicho ladha ya pekee na vionjo adimu, Gadner alionekana kama modarator akimdhibiti Kibonde asipitilize, lakini sasa lao limekuwa moja ndio kwanza Gadner anamchochea Kibonde kuzidi kumwaga upupu.

Mimi yangu macho na masikio, ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka, nawathibitishia wana JF, hii ngoma ya Jahazi, sasa yalia sana, inakaribia kupasuka!.


Mkuu underline nakushauri uache kabisa kusikiliza hii Radio
 
Jamani hii redio ni watu ambao wanadhani wanaweza kudondokewa na viti maalum. Hivyo wanajua ngoja tujitahidi. Sijawahi kumsikia Kibonde na Gadna wako upande wa wananchi hata siku moja sijui wanataka nini hawa. Hawajui ndo wanajiuza kwa bei nafuu sijui ni uchache wa vielimu vyao ndo vinawatoa confidence ya kuongea ! Kero nyingi hawa jamaa wanakuwa upande wa serikali. JAMANI SIO SIRI REDIO CLOUDS NILIIPENDA SANA POWER BREAKFAST PINDI MASOUD NA FINA WAKIWA PALE. Kama mnakumbuka wale jamaa walikuwa wanasimamia issue za maslahi ya umma mpaka yanapatikana. Mpaka wakakaribishwa bungeni wapewe pipi lakini wapi. Sasa hawa jamaa wawili wanaolelewa hawajui kutafuta life wamezoea cheap wanadhani watapata dondokea kama ile mshikaji aliyoipata ...

Na wale akina fina na Masoud wapiganaji bwana siunaona wanavyopeta tu, jamii imewakaribisha vizuri tu baada ya juacha kazi pale kwa vihiyo. Na mpaka leo nikiwa sina gabari ya kuvutia kwenye gazeti la mwananchi lazima ninunue nione kikatuni cha masoud.

Mimi Mavipindi mengine siyasikilizi ni uchafu tu Kibonde uwezo wa kuchanganua mambo ZERO, na mwenzake.
 
Jamani hii redio ni watu ambao wanadhani wanaweza kudondokewa na viti maalum. Hivyo wanajua ngoja tujitahidi. Sijawahi kumsikia Kibonde na Gadna wako upande wa wananchi hata siku moja sijui wanataka nini hawa. Hawajui ndo wanajiuza kwa bei nafuu sijui ni uchache wa vielimu vyao ndo vinawatoa confidence ya kuongea ! Kero nyingi hawa jamaa wanakuwa upande wa serikali. JAMANI SIO SIRI REDIO CLOUDS NILIIPENDA SANA POWER BREAKFAST PINDI MASOUD NA FINA WAKIWA PALE. Kama mnakumbuka wale jamaa walikuwa wanasimamia issue za maslahi ya umma mpaka yanapatikana. Mpaka wakakaribishwa bungeni wapewe pipi lakini wapi. Sasa hawa jamaa wawili wanaolelewa hawajui kutafuta life wamezoea cheap wanadhani watapata dondokea kama ile mshikaji aliyoipata ...

Na wale akina fina na Masoud wapiganaji bwana siunaona wanavyopeta tu, jamii imewakaribisha vizuri tu baada ya juacha kazi pale kwa vihiyo. Na mpaka leo nikiwa sina gabari ya kuvutia kwenye gazeti la mwananchi lazima ninunue nione kikatuni cha masoud.

Mimi Mavipindi mengine siyasikilizi ni uchafu tu Kibonde uwezo wa kuchanganua mambo ZERO, na mwenzake.

Hapa no comment
 
WanaJF nimekuwa msikilizaji mzuri wa hii Radio Clouds FM but now naona inaanza kunitia kichefuchefu,Nashindwa kuelewa kama hii Radio imegeuga uwanja wa kisiasa mara wanawashutumu CCJ, mara TUCTA mara MR Mkoba wa walimu, mpaka sasa sijailewa hii clouds ina mlengo gani, WanaJF nisadie
Simple. They're a bunch of brainless homosapiens.
Kusaga ni mission town .......yuko tayari kufanya chochote ilimradi a-survive hapa mjini!
 
Kibonde ni nafiki anayejidai anaipinga na kuikosoa serikali wakati huo huo anajipendekeza kwa Kikwete na CCM yake! I hate him that day at Mlimani City.. Aende akawe Publicist Secretary wa CCM
 
Kibonde ni nafiki anayejidai anaipinga na kuikosoa serikali wakati huo huo anajipendekeza kwa Kikwete na CCM yake! I hate him that day at Mlimani City.. Aende akawe Publicist Secretary wa CCM

Mimi nilipoangalia TV nilikuwa cmujui kibonde siku za nyuma but nilipomuana LIVE pale M.city nilisikia kichefuchefu. Atanisamee
 
pumzikeni na hizi mambo za hawa watu jamani.........
 
Comments zao kuhusu hotuba ya JK kuhusina na TUCTA ndio inadhihirisha walivyokula mlungula na kuwa vibaraka wa CCM, pumba tupu
 
Comments zao kuhusu hotuba ya JK kuhusina na TUCTA ndio inadhihirisha walivyokula mlungula na kuwa vibaraka wa CCM, pumba tupu

Sikupata muda wa kusikiliza hotuba ya Mkuu wakati anahutubia kwa muda huo but wakati naenda home nikawa nimetune clouds kimakosa ndo nikasikia pumba hizi "kibonde" "mheshimiwa katoa hotuba ya Mwaka kaongea kama Rais wa Jamhuri ya Tanzania" i was so interested kusikia alichoongea mheshimiwa niliwai home fasta mida ya saa 3 usiku wakaweka marudio Mzee mzima nililia mana ckujua kama ni Rais Wangu anaongea hotuba sio hotuba
 
...Clouds ni Radio ya wabwabwaji tu. Kipindi pekee chenye akili ni kipindi cha Michezo cha akina Shafii Dauda, Luambano na Maestro tu.
 
Mmesahau kwamba Kibonde alikuwa MC wakati wa uzinduzi wa ile shughuli ya CCM na kesho yake kwenye Jhazi kipindi chote anasimulia CCM?Redio ya chama hiyo,ila Bonge peke yake kama ana akili vile!

Halo halo Kibonde nasikia unataka kugombea mwezi wa kumi,sijui ubunge au udiwani,usijari tutakupa,umejituma sana mkuu kukitangaza chama
 
Sikupata muda wa kusikiliza hotuba ya Mkuu wakati anahutubia kwa muda huo but wakati naenda home nikawa nimetune clouds kimakosa ndo nikasikia pumba hizi "kibonde" "mheshimiwa katoa hotuba ya Mwaka kaongea kama Rais wa Jamhuri ya Tanzania" i was so interested kusikia alichoongea mheshimiwa niliwai home fasta mida ya saa 3 usiku wakaweka marudio Mzee mzima nililia mana ckujua kama ni Rais Wangu anaongea hotuba sio hotuba

hahaaaa lol!!! wewe King unanikwaza sasa unaona nimerudi tena???? umenichekesha sana

komenti kama hizo alizitoa pia PJ jana asubuhi kwenye uchambuzi wa magazeti........
 
huyu Kibonde, Gadna ni waganga njaa town.....
nilipataga tetesi kuwa Fisadi mkuu Manji ni sehemu ya wamiliki wapya wa ile kampuni, zilikua ni tetesi ambazo hazijawahi kukanushwa.
 
hahaaaa lol!!! wewe King unanikwaza sasa unaona nimerudi tena???? umenichekesha sana

komenti kama hizo alizitoa pia PJ jana asubuhi kwenye uchambuzi wa magazeti........

BHT asante kwa kurudi tena
 
Nadhani Mkuchika hapa anatakiwa kutueleza makosa wanayofanya wanaofungiwa kwa kukiuka idont know hat hawa hawafanyi yote hayo. Mengi kuoneshwa kwenye TV yake hadi tume iliundwa lakini hawa kujidai wasemaji wa jamii na kuhukumu nani kawapa mamlaka hayo? Kukiwa na issue hatabinafsi watakwenda nayo studio wanatafuta sehemu ya kuichomekea watapaka ile mbaya. Nani kawapa uhuru huo? Wanatafuta cheap popularity. Ni wanahabari hawa au makanjanja maana kama una taaluma ya habari hauwezi kufanya upuuzi ule.
 
Back
Top Bottom