Nimezisikia hizi habari kuwa r.a anaogopa kulala bongo hivyo huwa anafika tu bongo asubuhi na kuondoka zake jioni kurudi anakoishi ambako chanzo cha habari kimenambia kuwa huwa anaenda kenya au uganda.
Mwenye kujua zaidi atujuve
sosi: Mtu wa karibu sana na r.a anayefanyia caspian
Mwenye kujua zaidi atujuve
sosi: Mtu wa karibu sana na r.a anayefanyia caspian