chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
very true mamito, but waliopendana kiukweli hadi wakafunga hizo pingu za maisha ni wachache, na nafikiri ni bahati ila ukimshirikisha Mungu, na kuwa mwaminifu ktk amri zake kwa kumaanisha, waweza kuwa katika kundi la wenye bahati, otherwise kama ushabugi step u have to carry your burnens & sorrows.Si kweli WOS wengine waliingia kwenye ndoa kwa sababu ya fashions na wao waonekane wanandoa :A S-rose:
Wengine waliingia kwenye ndoa kwa kujilazimisha
Wengine walibeba mimba ikawalazimu kuingia kwenye ndoa
Wengine wamefata pesa au mali ndani ya ndoa
Wengine wanajiegesha jua litulie kisha waendelee na safari
Wengine wapo kwa ajili ya heshima ya wazazi.
wengine ni kweli wanapendana..:A S-rose:
NK. Nk.