Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,638
Najiuliza ina maana DECEPTION alisema kweli kipindi kile au wanahamasisha watu wasiogope UKIMWI?
Je, kuna watu hawaambukizwi HIV?
Ni kweli mtu akitumia vizuri dawa ARV haambukizi wengine?
Je, UKIMWI ni fix tu?